Imani kwa wanaume imekwisha

Imani kwa wanaume imekwisha

Tusubiri sensa iishe tupate takwimu sahihi za idadi ya wanaume na wanawake ndiyo tutajua mbivu na mbichi
 
Kuna ukweli japo kidogo kwenye hii mada yangu baby wangu.

Sasa hivi hali ni mbaya sana, machoko wamekuwa wengi sana hadi wale ambao unawaheshimu na wengine uliwaona ni role model wako.

Fikiria tu watu kama R, O, A, M, B, P, H etc

Hali ni mbaya sana baby wangu ndio maana nakupenda sana wewe.

Arusha, Dar sasa hivi hakufai, vijana wanajiuza mchana kweupe bila woga wala aibu.
Ukuaji wa miji ndo tatizo watu kupenda kila fursa ili wapate pesa.
 
Toka jamaa akimbie kwa tukio lako lile, naona Sasa umeamua utupondee kiaina.
 
Vipi kuhusu matom boy bibie? wanatuchukulia pisi lakini pia hao hao pia chakula chetu.
 
Back
Top Bottom