Imani kwa wanaume imekwisha

Masikini siye😱
 
🤣🤣🤣🤣🤦
 
Hii hali hata kama imeshaingia pakubwa hapa Afrika lakini pia siyo kwwa maneno hayo,tutaacha michongo sasa na washikaji au kubadilishana mawazo ya maisha kwa sababu ya mashoga, hali hii iko sana huko mwambao wa bahari, lakini mimi binafsi bado nalaumu serikali kwa sababu naamini kupitia wao Mashoga na Masagaji yanaweza yakapotea ktk uso wa nchi, huko South Africa yamewin mbaya kabisa yaani yako wazi wazi
 
Tanzania kwenyewe mbona hawajifichi mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…