Umerudi!!!Watu wanashindana kufanya mema sio maovu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umerudi!!!Watu wanashindana kufanya mema sio maovu.
Kutokea wapi?Umerudi!!!
Wampe mzee Chenge, pamoja na watu kumchafua sana huko nyuma ila ni moja ya hazina tuliyonayo.Hili ni tarajio la wengi
Katiba inaruhusu
Wapo watu wenye busara nje ya bunge
and corruptChange nakubaliana na ww
The man is brilliant and wisely
Tatu Tulia amekuwa aki provoke Mawaziri na wabunge walio nje ya kundi lao wakati wa vikao vya bunge na kuwapa credit wale walio katika kundi lao almaarufu "Sukuma Gang".Kwanza ni mfuasi na kiongozi mwandamizi wa lile kundi alilotoka Ndugai, kundi lililotaka Rais Samia asigombee 2025 na kupanga mikakati ya kumdhoofisha Mh. Rais...
Stephen MaseleHili ni tarajio la wengi
Katiba inaruhusu
Wapo watu wenye busara nje ya bunge
Laiti watu wangejua Duniani tunapita tu Ingependeza sana !!!Watu wanashindana kufanya mema sio maovu.
Zinatakiwa fikra mpya, muelewe akili nazo huchoka !!!Wampe mzee Chenge, pamoja na watu kumchafua sana huko nyuma ila ni moja ya hazina tuliyonayo.
Tulia anafaa kuwa spika, au hata nafasi ya waziri mkuu inamfaa.
Ulikopotelea!Kutokea wapi?