Imani ya Bunge haiwezi kujengwa chini ya Tulia Ackson

Imani ya Bunge haiwezi kujengwa chini ya Tulia Ackson

Waendelee kung'atana hadi watakapo tambua umuhimu na haja ya kuurejelea mchakato was katiba mpya ya wananchi.

Na katiba mpya hawawezi kuikubali mkuu, maana tu Tutaanza kuanzia nyerere katiba lazima iondoe Kinga kw raisi, spika, jaji mkuu... kwahiyo hawawezi kujubali maana tutafukua makaburi na wataishia jela
 
Na katiba mpya hawawezi kuikubali mkuu, maana tu Tutaanza kuanzia nyerere katiba lazima iondoe Kinga kw raisi, spika, jaji mkuu... kwahiyo hawawezi kujubali maana tutafukua makaburi na wataishia jela
Tutaelewana TU Hadi kieleweke.
 
Kwanza ni mfuasi na kiongozi mwandamizi wa lile kundi alilotoka Ndugai, kundi lililotaka Rais Samia asigombee 2025 na kupanga mikakati ya kumdhoofisha Mh. Rais.

Pili ni mtu asiyeamini katika kazi za Rais Samia, Tulia hakuwahi kuvaa barakoa wala kuhamasisha chanjo hadharani sio ndani wala nje ya bunge.

Tatu Tulia amekuwa aki provoke Mawaziri na wabunge walio nje ya kundi lao wakati wa vikao vya bunge na kuwapa credit wale walio katika kundi lao almaarufu "Sukuma Gang".

Nne Kundi la upinzani kwa Rais Samia bungeni almaarufu kama Sukuma Gang linamtegemea Tulia kama muhimili wao katika kujiimarisha kuelekea 2025 baada ya Ndugai kufurushwa

Tano Tulia hajawahi kujivunia kuwa na Rais Mwanamke. Tangu Samia aingie madarakani tulia is upset hatujui sababu ni msiba ule au ana conflict binafsi na Madam President

Vipimo vya uzani, vinakataa kuwa Tulia anaweza kubahatika kuwa kiongozi kwenye muhimili wa Bunge ama Spika ama kuendelea kuwa Naibu baada ya hili sakata la boss wake ambaye yeye ni mtu wa jikoni kabisa.

Vipimo vinasoma chini ya uzani wa wastani.

Rais Samia 2025
KAZI IENDELEE
Kumbe cheo cha Spika ni kwa ajili ya maslahi ya Rais na si maslahi ya wananchi?

Hayo yote uliyoyaeleza yanaendana na haiba anayostahili kuwa nayo Spika wa bunge la wananchi kikatiba?
 
Hii ni sababu anakaimu kiti hadi Spika apatikane
Niko ndani kabisa hawezi kuwa Spika mark my words
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]..."niko ndani kabisa"... haka kamsemo kanataka kuwa msamiati sasa!
 
Ndio upeo wako ulipoishia.

Ndugai alishapeleka deni na tozo zikajadiliwa bungeni na zikapitishwa, kiranga gani kilichomtuma azipeleke hoja hizo kwa wagogo wenzanke? Tunasema "Kiranga komo".

Tunawafahamu mna "fever ya 2025".
Kumbe mama una Tshirt la kijani umelivaa kabisa!
 
Wampe mzee Chenge, pamoja na watu kumchafua sana huko nyuma ila ni moja ya hazina tuliyonayo.
Watu walimchafua au alijichafua mwenyewe!

Lakini waTz wa ajabu sana!

Tayari kashifa zote zile alizozifanya kwa kiburi cha uanasheria, tayari mmekwisha kusahau!

Mara hii mmeshaanza kampeni ya kulisafisha joka la makengeza lililochafuka kwa kujichafua lenyewe!

Makubwa!
 
Watu walimchafua au alijichafua mwenyewe!

Lakini waTz wa ajabu sana!

Tayari kashifa zote zile alizozifanya kwa kiburi cha uanasheria, tayari mmekwisha kusahau!

Mara hii mmeshaanza kampeni ya kulisafisha joka la makengeza lililochafuka kwa kujichafua lenyewe!

Makubwa!
Kashfa ipi? Taja
 
Tulia hafai kuwa Speaker wa bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ukichangia na zile clip zake zakucheza hivo aisee Hadi Mimi naona aibu
 
Kashfa ipi? Taja
Mkuu si nitajaza sever kwa kashifa za huyo mtu ambazo hazijawahi kusafishwa!

A.k.a yake ya mzee wa vijisent unajua ilitokana na nini?

Mikataba mibovu ya Trl nk nk, yote hayo wewe hauyajui au kwako hizo siyo kashifa au miaka hiyo ulikuwa bado shule?
 
Nchi inapokuwa haina mambo ya maana yanayoendelea zaidi ya mapambano ya kugombea madaraka, manabii wanaibuka kutoka kila kona.

Ombwe la fikara na harakati za maendeleo linajazwa na ubazazi, fitina, na nadharia za njama ambazo haziongezi chochote kwenye ustawi wa taifa.

Anyway. I ‘ve always been for live and let live.
 
Tulia ni low grade hawezi kuwa speaker.
Labda Jenister Mhagama,Zungu, Polepole speaker inatakiwa mtu asiye na jazba mhimilivu wa hoja, mwenye kureason
 
Unapoteza mda na kujichosha bure,Spika no Tulia

Screenshot_20220122-195025.png


Screenshot_20220121-205728.png
 
Back
Top Bottom