Imani ya Mwarabu na Myahudi zinafanana kwa karibu sana, wote walimkataa Yesu ndio maana laana ya damu inawasumbua

Imani ya Mwarabu na Myahudi zinafanana kwa karibu sana, wote walimkataa Yesu ndio maana laana ya damu inawasumbua

Nkobe

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2013
Posts
2,204
Reaction score
3,277
Nimeisoma kwa kiasi fulani Imani ya Kiarabu na Kiyahudi. Hizi imani mbili zinafanana, zote zinamkana Yesu Christu ndio maana maisha yao ni ya laana ya vita hadi hadi Yesu arudi. Warabu na Waarabu Wanafanana katika yafuatayo
1. Wote hawaamini kuwa Yesu ni Masiha
2.Wote hawaamini katika utatu mtakatifu
3. Wote hawali Nguruwe
4. Wote wanaamini kuna majini, jin (Mwarabu), Shedim (Myahudi). Utofauti ni kwamba Myahudi hana ubia na majini,Mwarabu ana ubia na majini
5. Wote wanaamini kwenye visasi
6. Wote wanaamini kwenye aina ya chakula, Halal (Mwarabu), Kosher (Myahudi)
7. Mwarabu anasali akitizama Mecca, Myahudi akitizama Jerusalem
8. Imani zao zina rangi (Blue Myahudi), Kijani (Mwarabu)
9. Wote wanaamini kuna mfupa fulani kwenye mgongo ambao hauozi na siku ya mwisho utakua na kurudisha ombo la mtu husika, Mwarabu anauita Ajbu al Thanab
10. Wote wanaamini binadamu wa kawaida kuwa ndio Masiha wao, Mwarabu (Mohammad), Myahudi (Musa)
11. Wote wana chuki na Wakristu kwa sababu bado hawajampokea Yesu (ni vigumu kuona kanisa Uarabuni), Pia kuna sheria huko Uyahudi hawapendelei sana Makanisa

Kwa ujumla Myahudi na Mwarabu wote walimkataa Yesu, ndio maana wanakosa neema na upendo wa Yesu na matokeo yake wamebaki kuuwana kwa visasi.

NB:Sijataja dini, hapa ni Mwarabu vs Myahudi

NB: Mwarabu halisi ni Msaudi Arabia, Myahudi halisi ni Yule ambae hajachanganya damu na wazungu
 
Ndo maana Yesu alisema ufalme utahama kutoka mashariki ya kati ambako ufahamu wa majira saba ulianzia kwenda taifa lingine litakalomtolea Muumba matunda yake.

Mathayo 21:43
Kwa sababu hiyo nawaambia, Ufalme wa Mungu utaondolewa kwenu, nao watapewa taifa lingine lenye kuzaa matunda yake.
 
Uislam gani uliomkataa yesu kuwa si masihi?
Kumkana Yesu ni kumkataa mafundisho yake. Mfano Yeye anasema atasurubiwa, Mwarabu anasema hukusurubiwa, Yesu anasema wabatizeni kwa jina la Baba, Mwana na Roho Mtakatifu, Mwarabu anasema tunamtambua Mmoja tu, wewe na Roho mtakatifu hatukutambui, Yesu anasema kulala na mwanamke zaidi ya mmoja ni uzinzi kama uzinzi mwingine, Mwarabu anasema mimi nitalala na wanawake hata wanne
 
Kumkana Yesu ni kumkataa mafundisho yake. Mfano Yeye anasema atasurubiwa, Mwarabu anasema hukusurubiwa, Yesu anasema wabatizeni kwa jina la Baba, Mwana na Roho Mtakatifu, Mwarabu anasema tunamtambua Mmoja tu, wewe na Roho mtakatifu hatukutambui, Yesu anasema kulala na mwanamke zaidi ya mmoja ni uzinzi kama uzinzi mwingine, Mwarabu anasema mimi nitalala na wanawake hata wanne
hivi vizazi vilivyoishi kabla ya kuzaliwa yesu vilipokufa vilienda wapi au vipo jahanamu tu
 
Nimeisoma kwa kiasi fulani Imani ya Kiarabu na Kiyahudi. Hizi imani mbili zinafanana, zote zinamkana Yesu Christu ndio maana maisha yao ni ya laana ya vita hadi hadi Yesu arudi. Warabu na Waarabu Wanafanana katika yafuatayo
1. Wote hawaamini kuwa Yesu ni Masiha
2.Wote hawaamini katika utatu mtakatifu
3. Wote hawali Nguruwe
4. Wote wanaamini katika majini, jin (Mwarabu), Shedim (Myahudi)
5. Wote wanaamini kwenye visasi
6. Wote wanaamini kwenye aina ya chakula, Halal (Mwarabu), Kosher (Myahudi)
7. Mwarabu anasali akitizama Mecca, Myahudi akitizama Jerusalem
8. Imani zao zina rangi (Blue Myahudi), Kijani (Mwarabu)
9. Wote wanaamini kuna mfupa fulani kwenye mgongo ambao hauozi na siku ya mwisho utakua na kurudisha ombo la mtu husika, Mwarabu anauita Ajbu al Thanab
10. Wote wanaamini binadamu wa kawaida kuwa ndio Masiha wao, Mwarabu (Mohammad), Myahudi (Musa)
11. Wote wana chuki na Wakristu kwa sababu bado hawajampokea Yesu (ni vigumu kuona kanisa Uarabuni), Pia kuna sheria huko Uyahudi hawapendelei sana Makanisa

Kwa ujumla Myahudi na Mwarabu wote walimkataa Yesu, ndio maana wanakosa neema na upendo wa Yesu na matokeo yake wamebaki kuuwana kwa visasi.

NB: Mwarabu halisi ni Msaudi Arabia, Myahudi halisi ni Yule ambae hajachanganya damu na wazungu
إِذْ قَالَتِ الْمَلَائِكَةُ يَا مَرْيَمُ إِنَّ اللَّهَ يُبَشِّرُكِ بِكَلِمَةٍ مِنْهُ اسْمُهُ الْمَسِيحُ عِيسَى ابْنُ مَرْيَمَ وَجِيهًا فِي الدُّنْيَا وَالْآخِرَةِ وَمِنَ الْمُقَرَّبِينَ
Na pale Malaika walipo sema: Ewe Maryamu! Hakika Mwenyezi Mungu anakubashiria (mwana) kwa neno litokalo kwake. Jina lake ni Masihi Isa mwana wa Maryamu, mwenye hishima katika dunia na Akhera, na miongoni mwa walio karibishwa (kwa Mwenyezi Mungu). QUR'AN 3:45
Usiwe unajitia ujuaji kwenye mambo usiyoyajua,yesu kacheza na majini akawa anajua namna ya kuyafukuza
 
Back
Top Bottom