kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,779
- 4,982
Katika akili yangu sijawahi kuamini uwepo wa uchawi
Lakini kila nikijaribu kukumbuka baadhi ya matukio mbali mbali ambayo nimewahi kushuudia na kuona katika maisha yangu kunanifanya niwe na maswali mengi juu ya imani hii
Mwaka 2014 kuna brother fulani ambaye tulikuwa tunaishi naye village moja alifanikiwa kupata visa yake ya kwenda Australia baada ya mke wake kumfanyia reunification
Jamaa akafanya sherehe akaalika ndugu zake na marafiki watu waka
Jioni ya siku hiyo jamaa alipotea wakaanza kumtafuta cha ajabu walikuta amejinyonga porini
Mkasa mwingine ambao unanifanyaga mimi niamini ukweli uchawi unaweza ukawepo
Ni kutokana na tukio fulani ambalo lilinikuta mimi na rafiki yangu
Usiku kuna siku mimi na rafiki yangu tulikwenda kumcheki demu fulani usiku wa saa 2 tu tukarudi uko saa 5 usiku sasa kuna njia fulani ambayo tulikuwa tunapita p kila siku njia hiyo ilikuwa na kapori kidogo na pia palikuwa fesi kwasababu kulikuwa na mantaki ya maji
Sasa siku hiyo mimi na rafiki yangu tulikuta na mtu ambaye hatuelewi alikuwa mzimu au mchawi na wakati mwingine na semaga labda ulikuwa uoga wetu
Mtu uyo alikuwa na nywele nyingi na tulikuwa hatumuoni usoni vizuri kwasababu ya nywele zake zilikuwa zimefunika sura kabla ya kufika alipokuwa tulianza kusikia harufu mbaya na nywele zikawa kama zinakokotwa na mwili kusinyaa tulivyomuona tu tukakimbia mbio alikuwa anasimama kwenye mti
Tukio ilo linanipaga maswali mengi sana juu ya imani hii
Inawezekana ikawepo kweli
Na matukio mbali mbali nimesikia ya kutisha kabisa
Inawezekana hii imani ipo kweli au ni uongo
Lakini kila nikijaribu kukumbuka baadhi ya matukio mbali mbali ambayo nimewahi kushuudia na kuona katika maisha yangu kunanifanya niwe na maswali mengi juu ya imani hii
Mwaka 2014 kuna brother fulani ambaye tulikuwa tunaishi naye village moja alifanikiwa kupata visa yake ya kwenda Australia baada ya mke wake kumfanyia reunification
Jamaa akafanya sherehe akaalika ndugu zake na marafiki watu waka
Jioni ya siku hiyo jamaa alipotea wakaanza kumtafuta cha ajabu walikuta amejinyonga porini
Mkasa mwingine ambao unanifanyaga mimi niamini ukweli uchawi unaweza ukawepo
Ni kutokana na tukio fulani ambalo lilinikuta mimi na rafiki yangu
Usiku kuna siku mimi na rafiki yangu tulikwenda kumcheki demu fulani usiku wa saa 2 tu tukarudi uko saa 5 usiku sasa kuna njia fulani ambayo tulikuwa tunapita p kila siku njia hiyo ilikuwa na kapori kidogo na pia palikuwa fesi kwasababu kulikuwa na mantaki ya maji
Sasa siku hiyo mimi na rafiki yangu tulikuta na mtu ambaye hatuelewi alikuwa mzimu au mchawi na wakati mwingine na semaga labda ulikuwa uoga wetu
Mtu uyo alikuwa na nywele nyingi na tulikuwa hatumuoni usoni vizuri kwasababu ya nywele zake zilikuwa zimefunika sura kabla ya kufika alipokuwa tulianza kusikia harufu mbaya na nywele zikawa kama zinakokotwa na mwili kusinyaa tulivyomuona tu tukakimbia mbio alikuwa anasimama kwenye mti
Tukio ilo linanipaga maswali mengi sana juu ya imani hii
Inawezekana ikawepo kweli
Na matukio mbali mbali nimesikia ya kutisha kabisa
Inawezekana hii imani ipo kweli au ni uongo