Imani Yangu: Simba Sc Itapita kwenye kundi lake kwenye CCL

Imani Yangu: Simba Sc Itapita kwenye kundi lake kwenye CCL

Group D #CAFCL
-Al Ahly Sc(Egy)
-Simba Sc(Tan)
-JS Saoura(Alg)
-Association Sportivè de Victorié/Vita Club(DRC)

Nimejaribu kuangalia Makundi yote manne yaliyopangwa Jana na CAF na nimekuja kugundua kuwa Simba imepata kundi lenye uafadhali kidogo kuliko angepangwa kundi A au C.

Imani yangu ni kwamba Simba Ina uwezo wa kushinda mechi kuanzia mbili hapa Taifa na angalau kupata sare Moja but Kufungwa simba Taifa ni Ndoto na haiwezekani.

Ukiangalia kwa makini Kundi la Simba unaweza kuhisi kuwa timu tishio ni Za Kiarabu Kwa maana kwamba Al Ahly na hiyo JS Saoura lakini kwa Maoni na imani yangu ni kwamba timu tishio kwa Simba kwenye Kundi lake ni AS Vita ya Kinshasa kwani Jamaa wana kasi na Ukiangalia soka letu linaendana hasa ukizingatia kuwa tunatoka ukanda mmoja.

Ndio maana naamini kuwa kwenye michezo yetu mitatu ya Home Sio Al Ahly au Saoura atayekuwa tatizo kwa simba bali AS Vita Ya Congo......ila point 9 home na sare angalau moja ugenini Kwa simba ni inevitable kabisa.

Angalizo: Msiidharau Simba hasa katika hatua hii kwani dhamira na malengo ni makubwa mno.

#ThisIsSimba
#SimbaNguvuMoja
#Yes-We-Can

UPDATES
It's over
-Al Ahly 10pts
-Simba Sc 9pts

-Js Saoura 8pts
As Vita 7pts

Hatimaye yametimia Simba Hiyooo ¼fainali ya Total Caf Champions League...mliokuwa mnapuuza ahsanteni kwa Kushiriki😂😂😂😂😂
Imani yako imekuponya
 
KOCHA TP MAZEMBE: WASITAFUTE SABABU MAPEMA,TUMEJIPANGA KUSHINDA USHINDI WA KISHINDO:

Lubumbashi- Congo

Kocha wa miamba ya soka Barani Afrika amesikia taarifa za kutoka kwa viongozi wa Simba ikihusisha Timu yake kufanya hujuma ya kubadili waamuzi ili waweze kuifunga Simba katika mchezo wao wa marudio unaotarajiwa kupigwa siku ya jumamosi tarehe 13/04/2019.Baada ya kusikia taarifa hizo kocha huyo amezibeza na kusema kuwa ni uoga wa ajabu sana kufanywa na timu iliyofuzu hatua hiyo ngumu ya robo fainali CCL."Nimesikia habari za viongozi wa Simba kuhusisha kitendo cha CAF kubadili waamuzi wa mchezo wetu na hujuma za kupanga matokeo,niwaombe tu hao viongozi wa timu hii dhaifu wasianze kutafuta visingizio na huruma mapema kutoka kwa mashabiki wao,wakae watafakari kuwa sisi sio mara kwanza kucheza michuano hii kwa hatua hii,tumefika mara nyingi na hata kuchukua ubingwa tena tukipambana na timu kubwa sembuse timu ndogo ambayo imekuwa ikitegemea ushirikina ili kushinda mechi zao za nyumbani?" Alipoulizwa kuhusu ugumu wa mechi hiyo itakayoamua timu inayoenda kucheza nusu fainali ya michuano hiyo alisema hana wasi wasi na timu ya Simba kwani ana uhakika wa kushinda mechi hiyo tena kwa idadi kubwa ya magoli ikianzia 8 na kuendelea."Tupo vizuri hatuna hofu yoyote kuhusu mechi hiyo,nilisema toka awali kuwa tutatumia mchezo huu kuzifundisha timu zisizo na sifa ya kucheza hatua hii ngumu ya mashindano haya,timu hii haina sifa ya kufika hatua hii ngumu hivyo tutawafurahisha mashabiki wetu kwa ushindi mnene wa magoli yasiyopungua 8"
Timu hizo zote zina nafasi ya kutinga hatua ya nusu fainali ya michuano hiyo hasa timu ya TP Mazembe ambayo imekuwa ikitumia uwanja wao vizuri kwa kupata matokeo na idadi kubwa ya magoli huku rekodi yao kubwa kwenye mashindano ya mwaka huu ni kuifunga miamba ya soka ya Afrika Club Africain kwa magoli 8-0.Simba ina wakati mgumu katika mchezo huo kwani katika mechi 3 walizocheza ugenini wamepoteza zote kwa idadi kubwa ya magoli kwa kila mechi.
 
KOCHA TP MAZEMBE: WASITAFUTE SABABU MAPEMA,TUMEJIPANGA KUSHINDA USHINDI WA KISHINDO:

Lubumbashi- Congo

Kocha wa miamba ya soka Barani Afrika amesikia taarifa za kutoka kwa viongozi wa Simba ikihusisha Timu yake kufanya hujuma ya kubadili waamuzi ili waweze kuifunga Simba katika mchezo wao wa marudio unaotarajiwa kupigwa siku ya jumamosi tarehe 13/04/2019.Baada ya kusikia taarifa hizo kocha huyo amezibeza na kusema kuwa ni uoga wa ajabu sana kufanywa na timu iliyofuzu hatua hiyo ngumu ya robo fainali CCL."Nimesikia habari za viongozi wa Simba kuhusisha kitendo cha CAF kubadili waamuzi wa mchezo wetu na hujuma za kupanga matokeo,niwaombe tu hao viongozi wa timu hii dhaifu wasianze kutafuta visingizio na huruma mapema kutoka kwa mashabiki wao,wakae watafakari kuwa sisi sio mara kwanza kucheza michuano hii kwa hatua hii,tumefika mara nyingi na hata kuchukua ubingwa tena tukipambana na timu kubwa sembuse timu ndogo ambayo imekuwa ikitegemea ushirikina ili kushinda mechi zao za nyumbani?" Alipoulizwa kuhusu ugumu wa mechi hiyo itakayoamua timu inayoenda kucheza nusu fainali ya michuano hiyo alisema hana wasi wasi na timu ya Simba kwani ana uhakika wa kushinda mechi hiyo tena kwa idadi kubwa ya magoli ikianzia 8 na kuendelea."Tupo vizuri hatuna hofu yoyote kuhusu mechi hiyo,nilisema toka awali kuwa tutatumia mchezo huu kuzifundisha timu zisizo na sifa ya kucheza hatua hii ngumu ya mashindano haya,timu hii haina sifa ya kufika hatua hii ngumu hivyo tutawafurahisha mashabiki wetu kwa ushindi mnene wa magoli yasiyopungua 8"
Timu hizo zote zina nafasi ya kutinga hatua ya nusu fainali ya michuano hiyo hasa timu ya TP Mazembe ambayo imekuwa ikitumia uwanja wao vizuri kwa kupata matokeo na idadi kubwa ya magoli huku rekodi yao kubwa kwenye mashindano ya mwaka huu ni kuifunga miamba ya soka ya Afrika Club Africain kwa magoli 8-0.Simba ina wakati mgumu katika mchezo huo kwani katika mechi 3 walizocheza ugenini wamepoteza zote kwa idadi kubwa ya magoli kwa kila mechi.
Nitakuwa wa mwisho kuamini hii taarifa....
 
KOCHA TP MAZEMBE: WASITAFUTE SABABU MAPEMA,TUMEJIPANGA KUSHINDA USHINDI WA KISHINDO:

Lubumbashi- Congo

Kocha wa miamba ya soka Barani Afrika amesikia taarifa za kutoka kwa viongozi wa Simba ikihusisha Timu yake kufanya hujuma ya kubadili waamuzi ili waweze kuifunga Simba katika mchezo wao wa marudio unaotarajiwa kupigwa siku ya jumamosi tarehe 13/04/2019.Baada ya kusikia taarifa hizo kocha huyo amezibeza na kusema kuwa ni uoga wa ajabu sana kufanywa na timu iliyofuzu hatua hiyo ngumu ya robo fainali CCL."Nimesikia habari za viongozi wa Simba kuhusisha kitendo cha CAF kubadili waamuzi wa mchezo wetu na hujuma za kupanga matokeo,niwaombe tu hao viongozi wa timu hii dhaifu wasianze kutafuta visingizio na huruma mapema kutoka kwa mashabiki wao,wakae watafakari kuwa sisi sio mara kwanza kucheza michuano hii kwa hatua hii,tumefika mara nyingi na hata kuchukua ubingwa tena tukipambana na timu kubwa sembuse timu ndogo ambayo imekuwa ikitegemea ushirikina ili kushinda mechi zao za nyumbani?" Alipoulizwa kuhusu ugumu wa mechi hiyo itakayoamua timu inayoenda kucheza nusu fainali ya michuano hiyo alisema hana wasi wasi na timu ya Simba kwani ana uhakika wa kushinda mechi hiyo tena kwa idadi kubwa ya magoli ikianzia 8 na kuendelea."Tupo vizuri hatuna hofu yoyote kuhusu mechi hiyo,nilisema toka awali kuwa tutatumia mchezo huu kuzifundisha timu zisizo na sifa ya kucheza hatua hii ngumu ya mashindano haya,timu hii haina sifa ya kufika hatua hii ngumu hivyo tutawafurahisha mashabiki wetu kwa ushindi mnene wa magoli yasiyopungua 8"
Timu hizo zote zina nafasi ya kutinga hatua ya nusu fainali ya michuano hiyo hasa timu ya TP Mazembe ambayo imekuwa ikitumia uwanja wao vizuri kwa kupata matokeo na idadi kubwa ya magoli huku rekodi yao kubwa kwenye mashindano ya mwaka huu ni kuifunga miamba ya soka ya Afrika Club Africain kwa magoli 8-0.Simba ina wakati mgumu katika mchezo huo kwani katika mechi 3 walizocheza ugenini wamepoteza zote kwa idadi kubwa ya magoli kwa kila mechi.
Acha kumlisha maneno kocha wa TP Mazembe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom