Mr the dragon
JF-Expert Member
- Apr 14, 2017
- 1,937
- 3,718
Siwezi kukubali kwa sababu hakuna uthibitisho ambao ni convincing.Argument unayotumia ni argument ya first cause au design ambayo haina nguvu.Kwanza tukubaliane kuwa binaadamu ana fundi aliyemuunda,ama aliyeunda mazingira na sababu za kupatikana binaadamu,Kuhusu dizaina wa huyo alietudizaini sisi huo ni mjadala mwengine.
Utampasua mwenzio ubongo kwa maswali fikirishi mazito sana nakati hujui hata kiwango cha uwezo wake ulivyo katika akili zake.Ina maana mkuu wewe unaweza kuthibitisha kuwa yupo dizaina(japo hajulikani) na si vinginevyo?
Mfano mfu sababu hauendani na mada husika ya mtoa mada.chige
At the risk of sounding pompously self congratulating and uppity.
Kwa mtu aliyesoma statistics na kujua standard /bell curve/ normal distribution ataelewa umeandika nini hapo.
Na kwa nini napata tabu sana kuelezea Mungu hayupo, kwa sababu nabishana na majority iliyo chini ya bell curve.
Haha hahaaaaaaaa....kufa pekeyako huko wala usitake kuja kusaidiwa moto utakaokukaanga katika lile ziwa la moto/Jehanamu.Ahsante sana. Karibu kwenye upagani.
Ikifika jioni kama haitajaza page 300 nikumbushe plz!Mada nzuri!
HAKIKA.Kwa uelewa wangu mkuu huku kusema kwamba masuala ya Mungu hayapaswi kuhojiwa,huja pale watu wanapotaka kuhoji vitu ambavyo hatuna elimu navyo. Kuna mambo ambayo hatuyajui kwa sababu hatuna elimu nayo,na ndiyo hapa nilipopakusudia mimi na ndiyo nikasema hakuna wa kuhojiwa hayo masuala.
Kwahiyo yale ambayo tuna elimu nayo wapo wa kwenda kuwauliza,ila zaidi ya hapo huko ndiyo nadhani penye makatazo.
Kama bado tunatafautiana kuhusu uwepo ww muuundaji mkuu,itakuwa ngumu kujadili kuwa huyu alietuunda sisi na yeye kaundwa na nani.Siwezi kukubali kwa sababu hakuna uthibitisho ambao ni convincing.Argument unayotumia ni argument ya first cause au design ambayo haina nguvu.
Ukisema binadamu mwili wake ni complex hivyo lazima awe na designer, then hata Mungu atahitaji awe na designer pia.
Je Mungu designer wake ni nani?
Tatizo je mtoa mada anajua namna ya kumuhoji Mungu(VIGEZO NA MASHARTI KUZINGATIWA)???Mimi nasoma biblia lakini sijaona Mungu kakataza kumhoji, Isaya 43:26 unikumbushe na tuhojiane, eleza mambo yako upate kupewa haki yako.
Mungu katoa ruksa kumhoji kwa lengo la kufaham ili tusiwe na mashaka mioyoni, shida tunayowauliza hao viongozi was dini wao pia hawayajui hapo lazima wakusukumie issue ya kukufuru.
Kwa kifupi hatujui mengi hata Yesu alilisema hilo "bado nikali ninayo mengi ya kuwambia lakini nikiwambia sasa mtaburst vichwa(mtakua machizi). Ndo maana kuna level za kujifunza level one, level two till advanced one, hivyo kaa mbele za Mungu anza kuuliza na kuhoji yeye anajua namna atakavyokuletea majibu ya matamanio ya moyo wako.
UWONGO WA HALI YA JUU SAAAAANA.Unaona sasa... "Mungu ametoa ruksa ya kumhoji kwa lengo la kumfahamu..."
Ukiangalia hiyo sentensi ni kwamba, mosi unatakiwa kuamini kwanza uwepo wake na ndipo uhoji hili na lile ili upate kumfahamu vizuri! Na hata ukienda kwenye Imani 12 za Kikristo, ya kwanza kabisa ni kuamini uwepo wa Mwenyezi Mungu.... na ndivyo ilivyo kwa Waislamu na Wayahudi.
Kwa maana nyingine, as long as wewe ni Mkristo, tayari unakuwa umeshaamini uwepo wa Mwenyezi Mungu! Na kama umeshaamini, huwezi tena kuhoji uwepo wake!
sikuliona hii comment ama skumbuki kama nilikujibu,Hatujakataa kuwa dizaina yupo ila mnapaswa kuthibitisha kuwa mnayemtaja ndo yeye haswa?
Umemaliza kila kitu Mheshimiwa, na tayari katika ile thawabu yako ya uzima wa milele nina imani utakuwa umeshaipokea kwa imani.Ungekuwa unapata kila unacho kitaka usingetambua uwepo wa mungu
Ni sawa na wewe unavyokutana na mke wako mkijamiiana akiwa katika tarehe hatarishi kwa kushika ujauzito.Kwa mantiki hiyo tunategemea huyo designer atakuwa complex kuliko sisi alio tudizaini.Hivyo tutataka tujue je yeye alidizainiwa na nani? Na series itaendelea na kuendelea
TruthfulKwanza tukubaliane kuwa binaadamu ana fundi aliyemuunda,ama aliyeunda mazingira na sababu za kupatikana binaadamu,Kuhusu dizaina wa huyo alietudizaini sisi huo ni mjadala mwengine.
AMINAmkuu jibu langu la haraka haraka ni kuwa dizaina yupo na zaidi ya kudizaini na kutuunda sisi pia ndiye alieunda sayari hii ambayo kwa kiasi kikubwa iko suited kwa maisha ya binaadamu na viumbe,na ndie aliyeunda laws of nature na laws of the universe,na kwakuwa yeye ndie masta dizaina wa kila kitu hata reality yake yaweza kuwa tafauti na reality yetu hapa duniani,kama imewezekana black hole kuwa tafauti na solar system yetu,kuna uwezekano pia kuna reality,logic tafauti nyengine ya uumbaji na maisha.
"ETC" END OF THINKING CAPACITY.Ni ngumu kukubaliana kwa sababu hakuna ushahidi au uthibitisho convincing.Dhana unayoitumia wewe ni argument of first cause na design ambazo zote ni mfu.
Ukisema binadamu ni complex lazima awe na designer, then hata Mungu lazima naye atatakiwa awe na designer.
Je aliyemdesign Mungu ni nani?
Pamoja na kuandika kwa herufi kubwa kama ishara ya shouting but unfortunately you're shouting out of the context!!!UWONGO WA HALI YA JUU SAAAAANA.
NANI KAKWAMBIA KUWA UKISHAAMINI MUNGU YUPO BASI HUPASWI KUMUHOJI?
MBONA MIMI NAMUHOJI MUNGU NIWAPO NAYE KATIKA MAZUNGUMZO NA ANANIJIBU KATIKA MATOKEO ANAYONIAHIDI KUNIDHIHIRISHIA?
USIPOKUWA NA IMANI, BASI UMESHAFELI KATIKA KILA JAMBO SI HAPA DUNIANI TU, HATA KATIKA KUURITHI UFALME WA MBINGUNI.
Hapa ameshalazwa kwa presha, huwa wanakamatikaga katika maswali kama haya hawa viumbe.Kama bado tunatafautiana kuhusu uwepo ww muuundaji mkuu,itakuwa ngumu kujadili kuwa huyu alietuunda sisi na yeye kaundwa na nani.
Kwanza tujadili uwepo ama kutokuwepo kwa muundaji,tukishakubaliana kwenye hilo ndio tunaweza kuanza kujadili origin yake.
Swali langu kwako ni je tumeundwa na muundaji au la na kama hatuna muundaji tumeundikaje?.
Kama bado tunatafautiana kuhusu uwepo ww muuundaji mkuu,itakuwa ngumu kujadili kuwa huyu alietuunda sisi na yeye kaundwa na nani.
Kwanza tujadili uwepo ama kutokuwepo kwa muundaji,tukishakubaliana kwenye hilo ndio tunaweza kuanza kujadili origin yake.
Swali langu kwako ni je tumeundwa na muundaji au la na kama hatuna muundaji tumeundikaje?.
Kwa nini unakadhania muundaji na isiwe tulitokea tu,kutokana na forces kwenye spaceKama bado tunatafautiana kuhusu uwepo ww muuundaji mkuu,itakuwa ngumu kujadili kuwa huyu alietuunda sisi na yeye kaundwa na nani.
Kwanza tujadili uwepo ama kutokuwepo kwa muundaji,tukishakubaliana kwenye hilo ndio tunaweza kuanza kujadili origin yake.
Swali langu kwako ni je tumeundwa na muundaji au la na kama hatuna muundaji tumeundikaje?.
Hili swali wanalikimbiaga I don't know whyHapa ameshalazwa kwa presha, huwa wanakamatikaga katika maswali kama haya hawa viumbe.
Akishindwa kukujibu, basi ni lazima ajilete kwako kwa kukuuliza maswali mengine ambayo ni tofauti na ulivyomuuliza.
Hiyo staili huifanya ili waweze kujilinda/kujikinga(SELF DEFENSIVE MECHANISM) mara nyingi tu na kwao ni bora zaidi kuliko kushindwa/kukubali.
Inamaana wewe huwa huna akili?Pamoja na kuandika kwa herufi kubwa kama ishara ya shouting but unfortunately you're shouting out of the context!!!
Sasa ikiwa umeshaamini kwamba yupo, how come tena uhoji uwepo wake?! Unahoji vp uwepo wake wakati unadai unamuhoji wakati unapokuwa nae?!
Unahoji uwepo wake au unahoji uwezo wake?!