Imani Yetu Kuhusu Uwepo wa Mungu Inakiuka Uwezo Wetu wa Kufikiri Katika Kupatia!!!

Kwanza tukubaliane kuwa binaadamu ana fundi aliyemuunda,ama aliyeunda mazingira na sababu za kupatikana binaadamu,Kuhusu dizaina wa huyo alietudizaini sisi huo ni mjadala mwengine.
Siwezi kukubali kwa sababu hakuna uthibitisho ambao ni convincing.Argument unayotumia ni argument ya first cause au design ambayo haina nguvu.

Ukisema binadamu mwili wake ni complex hivyo lazima awe na designer, then hata Mungu atahitaji awe na designer pia.

Je Mungu designer wake ni nani?
 
Mfano mfu sababu hauendani na mada husika ya mtoa mada.
 
HAKIKA.

MFANO;

Unapolala kila siku unaelewa ni kipi kinachokufanya ulale(catalyst)?

Unalalaga saa ngapi na ni kipi kinachokuamsha?

Ndoto unazootaga ni nani anazianzisha ukiwa usingizini kila siku?

Na kwanini huyo anayekuanzishia hizo ndoto zipo zitazotafsirika na zingine hazitatafsirika, je kwanini akupangie masharti kwa namna ya hizo ndoto zitakavyokujia?

So upeo wetu Binadamu ni 0% kwa aliyetupatia pumzi/uhai, sema tu sababu "kwenye msafara wa mamba kenge hawakosekani" ndiyomaana unakutana na mbegu zisizojielewa kama akina hawa waleta mada.

Maana tunajiuliza vitu ambavyo hata tukipewa miaka 1000 ya kuvifanyia utafiti, bado hatutaweza kuvipatia ufumbuzi, maana yeye aliyetuumba tayari alishatuwekea ukomo wa ufahamu wetu kwa vile ambavyo hatupaswi kuvifahamu.
 
Kama bado tunatafautiana kuhusu uwepo ww muuundaji mkuu,itakuwa ngumu kujadili kuwa huyu alietuunda sisi na yeye kaundwa na nani.
Kwanza tujadili uwepo ama kutokuwepo kwa muundaji,tukishakubaliana kwenye hilo ndio tunaweza kuanza kujadili origin yake.
Swali langu kwako ni je tumeundwa na muundaji au la na kama hatuna muundaji tumeundikaje?.
 
Tatizo je mtoa mada anajua namna ya kumuhoji Mungu(VIGEZO NA MASHARTI KUZINGATIWA)???
 
UWONGO WA HALI YA JUU SAAAAANA.

NANI KAKWAMBIA KUWA UKISHAAMINI MUNGU YUPO BASI HUPASWI KUMUHOJI?

MBONA MIMI NAMUHOJI MUNGU NIWAPO NAYE KATIKA MAZUNGUMZO NA ANANIJIBU KATIKA MATOKEO ANAYONIAHIDI KUNIDHIHIRISHIA?

USIPOKUWA NA IMANI, BASI UMESHAFELI KATIKA KILA JAMBO SI HAPA DUNIANI TU, HATA KATIKA KUURITHI UFALME WA MBINGUNI.
 
Hatujakataa kuwa dizaina yupo ila mnapaswa kuthibitisha kuwa mnayemtaja ndo yeye haswa?
sikuliona hii comment ama skumbuki kama nilikujibu,

Ni hivi kama tunakubaliana kuhusu kuwa dizaina yupo basi mimi na wewe tuko on the same page.Kuhusu kuthibitisha kuwa nayemwamini mimi ndiye hasa huyo dizaina nadhani ni mjadala mwengine,Hoja yangu ilikuwa kuwa dizaina yupo.
 
Kwa mantiki hiyo tunategemea huyo designer atakuwa complex kuliko sisi alio tudizaini.Hivyo tutataka tujue je yeye alidizainiwa na nani? Na series itaendelea na kuendelea
Ni sawa na wewe unavyokutana na mke wako mkijamiiana akiwa katika tarehe hatarishi kwa kushika ujauzito.

Hatimaye mke wako hupata ujauzito ambapo wote hamjui namna ulivyojitunga, si sekunde, dakika, saa, siku, mwezi, mwaka wala aina ya kiumbe kilichojitunga tumboni mwa Mke kwa wakati husika wa kutungwa kwa huo ujauzito(kiumbe).

So tuwe wapole tu kwa vitu vilivyotuzidi maarifa na uwezo maana ndivyo tulivyoumbwa hivi.
 
AMINA
 
"ETC" END OF THINKING CAPACITY.
 
Pamoja na kuandika kwa herufi kubwa kama ishara ya shouting but unfortunately you're shouting out of the context!!!

Sasa ikiwa umeshaamini kwamba yupo, how come tena uhoji uwepo wake?! Unahoji vp uwepo wake wakati unadai unamuhoji wakati unapokuwa nae?!

Unahoji uwepo wake au unahoji uwezo wake?!
 
Hapa ameshalazwa kwa presha, huwa wanakamatikaga katika maswali kama haya hawa viumbe.

Akishindwa kukujibu, basi ni lazima ajilete kwako kwa kukuuliza maswali mengine ambayo ni tofauti na ulivyomuuliza.

Hiyo staili huifanya ili waweze kujilinda/kujikinga(SELF DEFENSIVE MECHANISM) mara nyingi tu na kwao ni bora zaidi kuliko kushindwa/kukubali.
 
Kwa nini unakadhania muundaji na isiwe tulitokea tu,kutokana na forces kwenye space
 
Hili swali wanalikimbiaga I don't know why
 
Inamaana wewe huwa huna akili?

Haujawahi kujihoji kuwa una akili/utakuwa na akili kabla ya kufanya/kuamua kutenda kitu chochote katika maisha yako?

Kwa hapo sasa ndipo inamaanisha kuwa huna akili kwa sababu unajihoji matokeo(positively & negatively) ya kitu utachokitenda kabla ya kukitenda?

Akili yako si ndiyo inayokuongoza katika kutenda jambo lolote?

Kwanini ujiulize na kujijibu kabla ya kufanya kitu chochote na kwanini hiyo akili yako ndiyo itayokuruhusu na kukuchagulia ufanye kipi au usifanye kipi na kwa muda upi?

My name is...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…