a sinner saved by Christ
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 611
- 993
Amina ,huyu ndiye Mungu mwenye nguvu,ninayemjua ninayemwabudu anavyofanya kazi,kwake hakuna linaloshindikana,na hiyo ndiyo nguvu ya sadaka madhabahu ya Mungu wa kweli.Mungu wetu ni MUNGU mwenye nguvu na uwezo anayeokoa,na kutusaidia.Ameen
Umelioaje.madeni?Nina mengi ila nakupa ushuhuda mdogo sana.
Nilikuwa na madeni ambayo chanzo chake ni uchawi/roho ya chumaulete. Coworkers nao ni washirikina na wamepigana kuniharibu, na taarifa zote napata kupitia ndoto/ulimwengu wa roho ambazo ni za uhalisia, na mwishowe kupata matokeo yake ktk ulimwengu wa mwili. I was suffer kinyamaaa!
Uzuri nilikuwa natoa taarifa kwa kulalamika kwa mchungaji na viongozi wengine wa dhehebu langu, so mchungaji akanishauri kuvunja madhabahu walizojenga maadui zangu kwa kutoa sadaka. Baada ya hapo akanishauri kuanza kutoa 10%. Imagine nina madeni na ninapaswa kutoa 10%! Ni ngumu sana mzee ila ilinibidi nitumie imani ya KIMUNGU, nilitoa 10% kabla sijatumia pesa yoyote ktk mshahara wangu even kulipa deni! Guess what happen? Baadhi wafanyakazi wenzangu wakaanza kunikwepa na mwingine kuniita mchawi na mambo maovu yakaanza kuwarudia wao.
Sijakuelewa!Umelioaje.madeni?
Asee ni kweliiNimesikia kua ukiwa na biashara fulani ukatolea zaka mtaji wako na baada ya hapo ukawa mwaminifu kulipa fungu la kumi katika faida unazovuna.. hapa UTAKUA UMEMALIZA MZIZI WA FITINA WA CHUMA ULETE. hivi hii inabe applied kwa vipi wabobezi wa imani naomba ufafanuzi.
Zinaenda kupigiwa maomba na Baba Maaskofu kule, nishakupa jibuhivi hii inabe applied kwa vipi wabobezi wa imani naomba ufafanuzi.
Ukiona umelipa ZAKA sehemu Fulani na hufanikiwi, chunguza madhabahu hiyo, yaezakuwa wanatumia ushurikina, wachungaji na watumishi wa UONGO ni wengi sana nowadays.KWA TABU NILIYO PATA NA KANISA HAKUNA LILICHO NISAIDIA
WAKAJA KUNISAIDIA WATU WENGINE AMBAO HATA KANISANI HUWA HAWAFIKI
HAPO NDIPO NILIPO FAHAMU NINI MAANA YA UPENDO NA NDIPO NILIPO BADILI MAAMUZI
FUNGU LA KUMI LANGU NITAMNUNULIA HATA MPIGA DEBE MSOSI STENDI
Acha uzushi,Mchungaji akiumwa anapelekwa hospital kubwa Muumini akiumwa aombewe 😁😁 hata Yesu Anashangaa huu unafiki
Nilisahau alama ya kuuliza..... Haiwezi kuwa hivi....?Kwamba no nguvu yeyote ya MUNGU inazuia unyama wa chuma ulete?
AmenSababu kuu ni kuwa,
Usipolipa ZAKA, Mungu huondoa ulinzi kwenye Uchumi, AFYA, kibali nk nk, na hapo ndipo Shetani hupata nafasi ya kukutesa kupitia chuma ulete, magonjwa nk nk
Sasa ukilipa ZAKA, umemkaribisha Mungu alinde mambo Yako, sasa Kwa kuwa Mungu ni zaidi ya shetani, lazima shetani atimuliwe mbali.
Mimi nimepractice jambo Hilo najua Kwa uhalisia.