Imeandikwa: Usimuache mwanamke mchawi aishi! Nimeapa kulipiza kwa gharama yoyote

Imeandikwa: Usimuache mwanamke mchawi aishi! Nimeapa kulipiza kwa gharama yoyote

Wachawi na waganga ilitakiwa wauliwe wote wao ndio chanzo cha maovu kwenye Jamii Ulaya walifanya hivyo wakapata kizazi kipya kinachofikiri kwa kutegemea akili walizopewa na Mwenyezi Mungu. Waganga ndio uwapa nguvu wezi majambazi wote ya kutenda uhalifu, wachawi awataki watu wawe na maendeleo. Waganga na washirikina wameharibu akili za watu kwa kuwapotosha eti huwezi fanikiwa bila dawa.
Swala la kuua wachawi ilikuwa ni Amri ya Torati kwa sasa Tuko kipindi cha neema ...

Mauaji ya mchawi (kimwili) ni Dhambi ya Mauaji na Ina adhabu yake Mbele za Mungu na Sheria za Nchi Pia.
 
Swala la kuua wachawi ilikuwa ni Amri ya Torati kwa sasa Tuko kipindi cha neema ...

Mauaji ya mchawi (kimwili) ni Dhambi ya Mauaji na Ina adhabu yake Mbele za Mungu na Sheria za Nchi Pia.
Kuua wakala wa shetani yaani mganga, mchawi na mwizi huwezi pata laana, damu zao hazina password hio laana ikupatie wapi. Wao mbona wanatuua sana.
Maana mganga, mchawi na mwizi wote ni ukoo mmoja huwezi kuwa kwenye kundi hili bila kumwaga damu.
-Mwizi anaua Ili akupore mali yako.
-Mchawi anaua Ili amfurahishe shetani
-mganga anaua Ili amfurahishe shetani azidi kumbariki uganga wake Ili apate pesa.
So ni makundi yasiyo na faida kwenye Jamii.
 
Mute notification.

Mambo ya itaendelea siyataki kabisa.
 
Ok
.... Inaendelea..
Baada ya siku kwenda kama nilivyo simulia hapo mwanzo kwamba yule F" alikuwa na rafiki yake ambaye ni staff mwenzangu pale ofisin ,ingawa nilifanya Siri lakin yule staff (nimuite R")alinifuata na kunielezea amjuavyo F"kwamba hiv Bray baba unajua history ya huyu F"?
Nilimjibu simjui kiundan Zaid,akaanza kufunguka kwamba huyu F"ni mwenyej wa Songea (mngo ni) pia alikuwa ameolewa na ana watoto wawili ,,1)wa kike mwenye umr wa miaka 12 (2012 kwa kipind kile) na wa pili ana miaka 7.
Baada ya kuolewa alipewa tala ka na aliyekuwa mume wake.Sababu yeye F"anasema mama mkwe na mawif hawakumpenda ila baada ya talaka miez 3 mbele mzazi mwenza alipata ajali ya boda boda ya maajabu Iliyompelekea akatwe mguu na kuwa mlemavu.
Baada ya ajali inasemekana ndugu wa mume walimtuhumu huyu F ndio aliyeitengeneza hiyo ajal ,hivo ndugu wa mume walitaka kumzuru hivo wasamalia wema walimtorosha Ndipo alipokuja dar kuanza maisha upya........ inaendelea.
 
Swala la kuua wachawi ilikuwa ni Amri ya Torati kwa sasa Tuko kipindi cha neema ...

Mauaji ya mchawi (kimwili) ni Dhambi ya Mauaji na Ina adhabu yake Mbele za Mungu na Sheria za Nchi Pia.
Liwalo na liwe,,, na damu yake iwe juu yake.
 
Ila Zaka, si nilikuachia mbuzi wangu uwachunge, wapate msosi, wanenepe [emoji34] Mshahara wako wa mwezi huu umenunulia TECNO ukaamua uikumbuke jamii forums na kuandika upuuzi [emoji23][emoji23]

Nikikuta mbuzi wangu hawaeleweki ujue huna kazi
 
Unaweza kufungua password za ukoo,maana pana koo zingine damu zao hazipotei bure ikitoka damu ni lazima irudi na damu.
Sio KILA damu ni rahisi kuimwaga
Bila Shaka wee ni mchawi,,Bas kaa ukijua huo ukoo ndio mm,liwalo na Iiwe hadi sasa kwa taarifa yako nilisha mtanguliza kuzimu.
 
Kweri aiseee.... Una tatiso la kutojuwa wapi utumie r na wapi l.nrisoma udhi wako mwingine nikawasa uyu jamaa atakuwa ameishia dalasa la ngapi....anywei tuwendelee tu tutajua mbere kwa mbere.
[emoji23][emoji23][emoji23]
Halafu amesomea sijui ndo udokta, amepata ajira na bado kakabidhiwa ukuu wa idara ya visigino
 
Bila Shaka wee ni mchawi,,Bas kaa ukijua huo ukoo ndio mm,liwalo na Iiwe hadi sasa kwa taarifa yako nilisha mtanguliza kuzimu.
Aaaah tumerogwa tangu atujazaliwa tumboni hadi leo tunaishi bado tunarogwa still tunasurvive kwa nguvu iliyo kuu zaidi ya kuzimu. Ukitaka details zangu zingine nikutumie DM uzitume vizuri kuzimu. Kabla amjaniloga muiloge ile nguvu kuu kwanza ndipo mtaniweza.
Aaah mchawi, mganga na mwizi hawana haki ya kuishi na Jamii iliyostaarabika
 
Dume zima linasema MY we itakuwa ni kweli au upo kinondoni hopeless
 
Back
Top Bottom