Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
We acha tu umu jf kuna kira haina ya watu....😂😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23]
Halafu amesomea sijui ndo udokta, amepata ajira na bado kakabidhiwa ukuu wa idara ya visigino
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We acha tu umu jf kuna kira haina ya watu....😂😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23]
Halafu amesomea sijui ndo udokta, amepata ajira na bado kakabidhiwa ukuu wa idara ya visigino
🤣🤣🙌bado kakabidhiwa ukuu wa idara ya visigino
Ndio huyo mama nuru ?Umenikumbusha mke wangu wa kisabato, alijifanya kuniroga, nikampiga taraka za kisabato. Saizi yuko zake Geita analima magimbi....nyambafu kabisa.
[emoji16][emoji16]Amuna mi sijakozea kitu.ni tofawuti na uyo mreta udhi.
Samahanin wakuu , Sim nayotumia inashida hivo hiyo my ilijiandika automatically ,,Umetukosea Sana kutuita my, sikapendi hako kaneno fyoko kabisa
Duh umekaandika tena, wakati nimekwambia sikapendiSamahanin wakuu , Sim nayotumia inashida hivo hiyo my ilijiandika automatically ,,
Nafikiri mods wangeweka jukwaa specific la story za "itaendelea". Kwa maana wanapitia almost nyuzi zote, so zikiekwa huko waweke na automatic updates. Ikiendelea tu, watu wanajulishwa.
Tena waanze na yule wa lindi na wengine wote wenye tabia ya "itaendelea"Umenena
Nuru alikuwa ni replacement ya huyo mke wa kisabato. Bahati mbaya Nuru naye kishakuwa replaced, huwa sivumilii ujinga mimi.Ndio huyo mama nuru ?
Utamaliza butchers,Um
Nuru alikuwa ni replacement ya huyo mke wa kisabato. Bahati mbaya Nuru naye kishakuwa replaced, huwa sivumilii ujinga mimi.
Jamani my 🤣🤣🤣Duh umekaandika tena, wakati nimekwambia sikapendi
😂😂😂Jamani my 🤣🤣🤣
2011 bajaji Zilikua Zishajaa eeh?? Naomba Mnikumbushe... Nazeeka sasa Kumbukumbu Zinapotea
@Bray baba Mkuu endelea basi na story, wataalam wa saikolojia tunasubiri tukupe-ushauri..!Ok
.... Inaendelea..
Baada ya siku kwenda kama nilivyo simulia hapo mwanzo kwamba yule F" alikuwa na rafiki yake ambaye ni staff mwenzangu pale ofisin ,ingawa nilifanya Siri lakin yule staff (nimuite R")alinifuata na kunielezea amjuavyo F"kwamba hiv Bray baba unajua history ya huyu F"?
Nilimjibu simjui kiundan Zaid,akaanza kufunguka kwamba huyu F"ni mwenyej wa Songea (mngo ni) pia alikuwa ameolewa na ana watoto wawili ,,1)wa kike mwenye umr wa miaka 12 (2012 kwa kipind kile) na wa pili ana miaka 7.
Baada ya kuolewa alipewa tala ka na aliyekuwa mume wake.Sababu yeye F"anasema mama mkwe na mawif hawakumpenda ila baada ya talaka miez 3 mbele mzazi mwenza alipata ajali ya boda boda ya maajabu Iliyompelekea akatwe mguu na kuwa mlemavu.
Baada ya ajali inasemekana ndugu wa mume walimtuhumu huyu F ndio aliyeitengeneza hiyo ajal ,hivo ndugu wa mume walitaka kumzuru hivo wasamalia wema walimtorosha Ndipo alipokuja dar kuanza maisha upya........ inaendelea.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Si ndio hapo hili ni KE au ME?