Imeandikwa: Usimuache mwanamke mchawi aishi! Nimeapa kulipiza kwa gharama yoyote

Imeandikwa: Usimuache mwanamke mchawi aishi! Nimeapa kulipiza kwa gharama yoyote

Sehemu ya tatu.....
Baada ya kuja Dar kabla ya Mimi kujuana nae alikuwa yupo kwenye mahusiano na Mwanaume mwingine ambaye ni mume wa mtu(wakaachana ndio aliponipata Mimi).
Baada ya mm kuanza mahusiano nae, Kuna siku nilimtembelea alipopanga nikimkuta anapoishi yupo peke yake (mpangaji)akiwa anaishi ndan ya yadi(gereji)yeye tuu na mlinz ,,kwa kipind kile sikuweza kung'a mua chochote , maisha yaliendelea Kama kawaida..
Baada ya miez minne nilipata nafas ya kaz (selected) kwenda kuripoti mkoa mmoja karibu na daslaam,, ilinibidi niende kuaga pale ofisin (tempo) na yeye nikamtaarifu k uhusu mimi kwenda mkoa jiran, Baada ya kumwambia hivo akaniambia itabid aache kaz twende wote tukaishi pamoja,,, Nilikataa kata kata kwa kuwa had naingia nae kwa mahusiano Ilitokea tuu hivo hakuwa chaguo langu.(Kosa )

Tukaanza malumbano akasema kwa kuwa yeye hajasoma ndio maana naona aibu kuanza nae maisha ila atanionyesha yeye ni nan.
 
Inaendelea.......
Baada ya kuwa serious na mabishano ilibidi ajishushe na kuwa mpole Ila k wa shart moja la niende nikamsex kabla sijaondok a,, kutokana na stress za safar Sikuwa na mood hivo nilimkatalia ,,hakuwa teyar kwa Hilo, akaniambia tukaogelee k wake maana kumbuka nilienda ofcn kuaga, nilikubaliana nae,tulienda kwake aliniforc to sex Nilikataa kata kata,Kisha akaniambia nimuachie fulana yangu niliyokuwa nimeivaa ili akinimiss atakuwa anaivaa , nam bila hiana nilimpatia hiyo nguo Kisha akanipa shart jingine nikavaa Kisha Nikaondoka kwenda jia ndaa na safar(Kosa kuu).
.......itaendelea...
 
Hivi inakuwaje unashindwa kujua njama mbovu mbovu namna hii?

Ndio madhara ya kutembea na mama zenu
 
Inaendelea.......
Baada ya kuwa serious na mabishano ilibidi ajishushe na kuwa mpole Ila k wa shart moja la niende nikamsex kabla sijaondok a,, kutokana na stress za safar Sikuwa na mood hivo nilimkatalia ,,hakuwa teyar kwa Hilo, akaniambia tukaogelee k wake maana kumbuka nilienda ofcn kuaga, nilikubaliana nae,tulienda kwake aliniforc to sex Nilikataa kata kata,Kisha akaniambia nimuachie fulana yangu niliyokuwa nimeivaa ili akinimiss atakuwa anaivaa , nam bila hiana nilimpatia hiyo nguo Kisha akanipa shart jingine nikavaa Kisha Nikaondoka kwenda jia ndaa na safar(Kosa kuu).
.......itaendelea...
Unazingua bwana
 
Hivi inakuwaje unashindwa kujua njama mbovu mbovu namna hii?

Ndio madhara ya kutembea na mama zenu
Dunia ina mengi,, Wanawake ni Dada zetu,Shangaz zetu ,mama zetu ila ni viumbe katili sana pia kamwe usivionee huruma.
 
Inaendelea.......
Baada ya kuwa serious na mabishano ilibidi ajishushe na kuwa mpole Ila k wa shart moja la niende nikamsex kabla sijaondok a,, kutokana na stress za safar Sikuwa na mood hivo nilimkatalia ,,hakuwa teyar kwa Hilo, akaniambia tukaogelee k wake maana kumbuka nilienda ofcn kuaga, nilikubaliana nae,tulienda kwake aliniforc to sex Nilikataa kata kata,Kisha akaniambia nimuachie fulana yangu niliyokuwa nimeivaa ili akinimiss atakuwa anaivaa , nam bila hiana nilimpatia hiyo nguo Kisha akanipa shart jingine nikavaa Kisha Nikaondoka kwenda jia ndaa na safar(Kosa kuu).
.......itaendelea...
We jamaa andika kitu full hizi habari ya kujifanya shigongo ni upumbavu.
 
Nafikiri mods wangeweka jukwaa specific la story za "itaendelea". Kwa maana wanapitia almost nyuzi zote, so zikiekwa huko waweke na automatic updates. Ikiendelea tu, watu wanajulishwa.
Tena waanze na yule wa lindi na wengine wote wenye tabia ya "itaendelea"
Yule wa Lindi, hiyo story sijawahi soma ila watu wengi wanaiomgelea sana...hahah
 
Back
Top Bottom