Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unazingua bwanaInaendelea.......
Baada ya kuwa serious na mabishano ilibidi ajishushe na kuwa mpole Ila k wa shart moja la niende nikamsex kabla sijaondok a,, kutokana na stress za safar Sikuwa na mood hivo nilimkatalia ,,hakuwa teyar kwa Hilo, akaniambia tukaogelee k wake maana kumbuka nilienda ofcn kuaga, nilikubaliana nae,tulienda kwake aliniforc to sex Nilikataa kata kata,Kisha akaniambia nimuachie fulana yangu niliyokuwa nimeivaa ili akinimiss atakuwa anaivaa , nam bila hiana nilimpatia hiyo nguo Kisha akanipa shart jingine nikavaa Kisha Nikaondoka kwenda jia ndaa na safar(Kosa kuu).
.......itaendelea...
Mkuu,,hata kuwa na yey alinipata kimiujiza.Hivi inakuwaje unashindwa kujua njama mbovu mbovu namna hii?
Ndio madhara ya kutembea na mama zenu
Asante wew mwerevu bossTabibu mjingamjinga
Dunia ina mengi,, Wanawake ni Dada zetu,Shangaz zetu ,mama zetu ila ni viumbe katili sana pia kamwe usivionee huruma.Hivi inakuwaje unashindwa kujua njama mbovu mbovu namna hii?
Ndio madhara ya kutembea na mama zenu
We jamaa andika kitu full hizi habari ya kujifanya shigongo ni upumbavu.Inaendelea.......
Baada ya kuwa serious na mabishano ilibidi ajishushe na kuwa mpole Ila k wa shart moja la niende nikamsex kabla sijaondok a,, kutokana na stress za safar Sikuwa na mood hivo nilimkatalia ,,hakuwa teyar kwa Hilo, akaniambia tukaogelee k wake maana kumbuka nilienda ofcn kuaga, nilikubaliana nae,tulienda kwake aliniforc to sex Nilikataa kata kata,Kisha akaniambia nimuachie fulana yangu niliyokuwa nimeivaa ili akinimiss atakuwa anaivaa , nam bila hiana nilimpatia hiyo nguo Kisha akanipa shart jingine nikavaa Kisha Nikaondoka kwenda jia ndaa na safar(Kosa kuu).
.......itaendelea...
Yule wa Lindi, hiyo story sijawahi soma ila watu wengi wanaiomgelea sana...hahahNafikiri mods wangeweka jukwaa specific la story za "itaendelea". Kwa maana wanapitia almost nyuzi zote, so zikiekwa huko waweke na automatic updates. Ikiendelea tu, watu wanajulishwa.
Tena waanze na yule wa lindi na wengine wote wenye tabia ya "itaendelea"
itaendelea saa ngapi my