Imeandikwa: Usimuache mwanamke mchawi aishi! Nimeapa kulipiza kwa gharama yoyote

Imeandikwa: Usimuache mwanamke mchawi aishi! Nimeapa kulipiza kwa gharama yoyote

Kikawaida mwanaume ndio anaepaswa kuanzisha mahusiano athawais ni mtego na kuomba namba (Kosa kubwa ulilofanya😅😅😅😅)
 
Itakuwa umerogwa uwe mduwanzi na huyo demu wako. Yani unasimulia kisa kama unaandika comment. Mistari miwili, itaendelea.
 
Shida ya sisi wanaume tuna njaa sana ya papuchi. Kuna wanawake tunatembea nao lkn moyoni hatuwezi kuwaoa.
Ndiyo maana huwa sitongozi wanawake ovyo. Nishakoma
Mkuu,,hata kuwa na yey alinipata kimiujiza.
 
Wakuu habari zenu!!

Mimi ni member mwenzenu wa mda mrefu ingawa ni msomaji Zaid,,, kwanza Niwaombe radhi kwa uhandishi mbovu ufuatao Pia huwa ninatatizo la kuchanganya R kwenye L,,,,( Mnivumilie)

Mwaka 2011/11 nilifanikiwa kumaliza Elimu ya chuo Cha afya mkoa Fulani,,baada ya kumaliza chuo nilirudi mtaani kwa bahati nzur/mbaya nilifanikiwa kupata kibarua(tempo) kwenye zahanati Fulani jijini Dar es salaam nikiwa Kama Tabibu.

Nashukuru Mungu kazi ilienda vizur pamoja na changamoto Za hapa na pale za kiofisi...baada ya mazoea na staff wezangu , Nikiwa ofisin alikuja Dada mmoja kutibiwa akiwa na tatizo la kuumwa na visigino, Mimi nilimpatia matibabu kulingana na tatizo lake,lakini MWISHO Aliniomba namba ili awe ananijulisha jinsi atakavyo endelea,Sikuwa na hiana na wala sikujua lengo lake Mimi nilimpatia.(KOSA Kubwa Sana nilifanya)

Baada ya kumalizana nae,usiku alinitumia sms na alijitambulisha na nikamkumbuka maana Mimi sikuchukua namba yake.(kwa sababu sikuvutiwa nae pia alikuwa mkubwa kiumri Zaid yangu)

Bas aliendelea kunitumia sms nam kumreply ,,Hali hiyo iliendelea baada ya mwezi mmoja Aliniomba nimsindikize sehemu Fulani, nilimuuliza ni wapi huko akasema tukifika nitapaona na alisisitiza tutaongozana pamoja na rafiki yake,Ok nilimkubalia huyu katili tumuite "F"

Siku ilipowadia nilipanda dala dala Hadi hospital ya CCBRT (sikumbuki kituo jina lake) nilishuka na kuwakuta wananisubili na rafiki yake,baada ya kuwasalimu walikodi bajaji tukaenda Koko beach,,baada ya kufika pale ndio aliniambia hapa ndio alikusudia kunileta.

Kisha huyu F" Alienda kwa beach boy mmoja alitoa pesa akakodi nguo Za kuogelea Kisha akaniambia tukaogelee,,sikwenda kwa lengo Hilo pia Sikuwa na nguo Za kuogelea sikumkubalia

Aliniomba saana nikamwambia Sina nguo pia za kuogelea akasema nenda kwa beach boy pale mwambie akupe nguo utakazo maana nimeacha chenj,,baada ya kunishawishi nilikubaliana nae

Baada ya kupata nguo Za kuogelea Kisha akaniambia tukaogelee niliingia kwenye maji na kuanza kuogelea nae.(KOSA Kubwa Sana nililifanya)
Baada ya kumaliza kuogelea nae tulitoka na kutawanyika kila mmoja kuelekea kwake.

Baada ya wiki mbili mbele nilijikuta nimeshazini nae na tukaingia nae kwenye mahusiano,ingawa nilifanya Siri maana pale ofisin Kuna staff mdada alikuwa Wana umazoea nae sikutaka mtu ajue maana Dada huyu F alikuwa mkubwa kiumri Zaid kwangu.

Baada ya siku kwenda kama nilivyo simulia hapo mwanzo kwamba yule F" alikuwa na rafiki yake ambaye ni staff mwenzangu pale ofisin ,ingawa nilifanya Siri lakin yule staff (nimuite R")alinifuata na kunielezea amjuavyo F"kwamba hiv Bray baba unajua history ya huyu F"?

Nilimjibu simjui kiundan Zaid,akaanza kufunguka kwamba huyu F"ni mwenyej wa Songea (mngo ni) pia alikuwa ameolewa na ana watoto wawili ,,1)wa kike mwenye umr wa miaka 12 (2012 kwa kipind kile) na wa pili ana miaka 7.

Baada ya kuolewa alipewa tala ka na aliyekuwa mume wake.Sababu yeye F"anasema mama mkwe na mawif hawakumpenda ila baada ya talaka miez 3 mbele mzazi mwenza alipata ajali ya boda boda ya maajabu Iliyompelekea akatwe mguu na kuwa mlemavu.

Baada ya ajali inasemekana ndugu wa mume walimtuhumu huyu F ndio aliyeitengeneza hiyo ajal ,hivo ndugu wa mume walitaka kumzuru hivo wasamalia wema walimtorosha Ndipo alipokuja dar kuanza maisha upya........

Baada ya kuja Dar kabla ya Mimi kujuana nae alikuwa yupo kwenye mahusiano na Mwanaume mwingine ambaye ni mume wa mtu(wakaachana ndio aliponipata Mimi).

Baada ya mm kuanza mahusiano nae, Kuna siku nilimtembelea alipopanga nikimkuta anapoishi yupo peke yake (mpangaji)akiwa anaishi ndan ya yadi(gereji)yeye tuu na mlinz ,,kwa kipind kile sikuweza kung'a mua chochote , maisha yaliendelea Kama kawaida..

Baada ya miez minne nilipata nafas ya kaz (selected) kwenda kuripoti mkoa mmoja karibu na daslaam,, ilinibidi niende kuaga pale ofisin (tempo) na yeye nikamtaarifu k uhusu mimi kwenda mkoa jiran, Baada ya kumwambia hivo akaniambia itabid aache kaz twende wote tukaishi pamoja,,, Nilikataa kata kata kwa kuwa had naingia nae kwa mahusiano Ilitokea tuu hivo hakuwa chaguo langu.(Kosa )

Tukaanza malumbano akasema kwa kuwa yeye hajasoma ndio maana naona aibu kuanza nae maisha ila atanionyesha yeye ni nan.

Baada ya kuwa serious na mabishano ilibidi ajishushe na kuwa mpole Ila k wa shart moja la niende nikamsex kabla sijaondok a,, kutokana na stress za safar Sikuwa na mood hivo nilimkatalia ,,hakuwa teyar kwa Hilo, akaniambia tukaogelee k wake maana kumbuka nilienda ofcn kuaga, nilikubaliana nae,tulienda kwake aliniforc to sex Nilikataa kata kata,Kisha akaniambia nimuachie fulana yangu niliyokuwa nimeivaa ili akinimiss atakuwa anaivaa , nam bila hiana nilimpatia hiyo nguo Kisha akanipa shart jingine nikavaa Kisha Nikaondoka kwenda jia ndaa na safar(Kosa kuu).
Mkuu angalia usiishie jera,familia yako ikahangaika bure.
Yesu alipokuja alisema," Mimi nasema msilipe baya kwa baya..
lakini pia kumbuka wakati hiyo mistari inaandikwa sheria za jamuhuri ya muungano wa tanzani zisiziamini uwepo wa uchawi hazikuwepo,na wewe ukilipa kisasi utahukumiwa kwa mujiba wa sheria ya jamuhuri wa muungano wa tanzania.
 
Wachawi na waganga ilitakiwa wauliwe wote wao ndio chanzo cha maovu kwenye Jamii Ulaya walifanya hivyo wakapata kizazi kipya kinachofikiri kwa kutegemea akili walizopewa na Mwenyezi Mungu. Waganga ndio uwapa nguvu wezi majambazi wote ya kutenda uhalifu, wachawi awataki watu wawe na maendeleo. Waganga na washirikina wameharibu akili za watu kwa kuwapotosha eti huwezi fanikiwa bila dawa.
Nimeandika nikafuta, nikaandika tena nikafuta, mwishowe nikaamua nisiandike nilichotaka kukisema.
 
Nimeandika nikafuta, nikaandika tena nikafuta, mwishowe nikaamua nisiandike nilichotaka kukisema.
Ungeandika tu boss...

.hao jamaa huwaagua hata wanasiasa wetu ili wapate mvuto kwa wapiga kura.
 
Unanikumbusha Merlin chini ya dingi Arthur. Mtu akiwa mchawi ni kifo
Wachawi na waganga ilitakiwa wauliwe wote wao ndio chanzo cha maovu kwenye Jamii Ulaya walifanya hivyo wakapata kizazi kipya kinachofikiri kwa kutegemea akili walizopewa na Mwenyezi Mungu. Waganga ndio uwapa nguvu wezi majambazi wote ya kutenda uhalifu, wachawi awataki watu wawe na maendeleo. Waganga na washirikina wameharibu akili za watu kwa kuwapotosha eti huwezi fanikiwa bila dawa.
 
Daah huu uzi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kumbuka sisi wanaume ni dhaifu kwa wanawake.
Ushajiuliza mwanamke unamzidi umri lakini hata kumtongoza unashindwa. Mwanamke anaweza kukuvuruga hata nyumbani ukapaona pachungu japo unamzidi umri pamoja na elimu.
Hisia ikizd akili lazima uungue shika hisia zako uokoe nafsi yako... Acha huruma kwa mwanamke
 
Ni kweli nishanitokea. Kuna wanawake wawili nilitembea nao tena walinitega wao. Nilijuta kwenye hayo mahusiano.
Ukimaliza kupiga unajuta, imekuaje. Wa pili hivyo hivyo. Tangia hapo sitongozi mwanamke hata akijilengesha. Huyu niliyenaye ananitosha na nimeridhika naye.
Hisia ikizd akili lazima uungue shika hisia zako uokoe nafsi yako... Acha huruma kwa mwanamke
 
Wakuu habari zenu!!

Mimi ni member mwenzenu wa mda mrefu ingawa ni msomaji Zaid,,, kwanza Niwaombe radhi kwa uhandishi mbovu ufuatao Pia huwa ninatatizo la kuchanganya R kwenye L,,,,( Mnivumilie)

Mwaka 2011/11 nilifanikiwa kumaliza Elimu ya chuo Cha afya mkoa Fulani,,baada ya kumaliza chuo nilirudi mtaani kwa bahati nzur/mbaya nilifanikiwa kupata kibarua(tempo) kwenye zahanati Fulani jijini Dar es salaam nikiwa Kama Tabibu.

Nashukuru Mungu kazi ilienda vizur pamoja na changamoto Za hapa na pale za kiofisi...baada ya mazoea na staff wezangu , Nikiwa ofisin alikuja Dada mmoja kutibiwa akiwa na tatizo la kuumwa na visigino, Mimi nilimpatia matibabu kulingana na tatizo lake,lakini MWISHO Aliniomba namba ili awe ananijulisha jinsi atakavyo endelea,Sikuwa na hiana na wala sikujua lengo lake Mimi nilimpatia.(KOSA Kubwa Sana nilifanya)

Baada ya kumalizana nae,usiku alinitumia sms na alijitambulisha na nikamkumbuka maana Mimi sikuchukua namba yake.(kwa sababu sikuvutiwa nae pia alikuwa mkubwa kiumri Zaid yangu)

Bas aliendelea kunitumia sms nam kumreply ,,Hali hiyo iliendelea baada ya mwezi mmoja Aliniomba nimsindikize sehemu Fulani, nilimuuliza ni wapi huko akasema tukifika nitapaona na alisisitiza tutaongozana pamoja na rafiki yake,Ok nilimkubalia huyu katili tumuite "F"

Siku ilipowadia nilipanda dala dala Hadi hospital ya CCBRT (sikumbuki kituo jina lake) nilishuka na kuwakuta wananisubili na rafiki yake,baada ya kuwasalimu walikodi bajaji tukaenda Koko beach,,baada ya kufika pale ndio aliniambia hapa ndio alikusudia kunileta.

Kisha huyu F" Alienda kwa beach boy mmoja alitoa pesa akakodi nguo Za kuogelea Kisha akaniambia tukaogelee,,sikwenda kwa lengo Hilo pia Sikuwa na nguo Za kuogelea sikumkubalia

Aliniomba saana nikamwambia Sina nguo pia za kuogelea akasema nenda kwa beach boy pale mwambie akupe nguo utakazo maana nimeacha chenj,,baada ya kunishawishi nilikubaliana nae

Baada ya kupata nguo Za kuogelea Kisha akaniambia tukaogelee niliingia kwenye maji na kuanza kuogelea nae.(KOSA Kubwa Sana nililifanya)
Baada ya kumaliza kuogelea nae tulitoka na kutawanyika kila mmoja kuelekea kwake.

Baada ya wiki mbili mbele nilijikuta nimeshazini nae na tukaingia nae kwenye mahusiano,ingawa nilifanya Siri maana pale ofisin Kuna staff mdada alikuwa Wana umazoea nae sikutaka mtu ajue maana Dada huyu F alikuwa mkubwa kiumri Zaid kwangu.

Baada ya siku kwenda kama nilivyo simulia hapo mwanzo kwamba yule F" alikuwa na rafiki yake ambaye ni staff mwenzangu pale ofisin ,ingawa nilifanya Siri lakin yule staff (nimuite R")alinifuata na kunielezea amjuavyo F"kwamba hiv Bray baba unajua history ya huyu F"?

Nilimjibu simjui kiundan Zaid,akaanza kufunguka kwamba huyu F"ni mwenyej wa Songea (mngo ni) pia alikuwa ameolewa na ana watoto wawili ,,1)wa kike mwenye umr wa miaka 12 (2012 kwa kipind kile) na wa pili ana miaka 7.

Baada ya kuolewa alipewa tala ka na aliyekuwa mume wake.Sababu yeye F"anasema mama mkwe na mawif hawakumpenda ila baada ya talaka miez 3 mbele mzazi mwenza alipata ajali ya boda boda ya maajabu Iliyompelekea akatwe mguu na kuwa mlemavu.

Baada ya ajali inasemekana ndugu wa mume walimtuhumu huyu F ndio aliyeitengeneza hiyo ajal ,hivo ndugu wa mume walitaka kumzuru hivo wasamalia wema walimtorosha Ndipo alipokuja dar kuanza maisha upya........

Baada ya kuja Dar kabla ya Mimi kujuana nae alikuwa yupo kwenye mahusiano na Mwanaume mwingine ambaye ni mume wa mtu(wakaachana ndio aliponipata Mimi).

Baada ya mm kuanza mahusiano nae, Kuna siku nilimtembelea alipopanga nikimkuta anapoishi yupo peke yake (mpangaji)akiwa anaishi ndan ya yadi(gereji)yeye tuu na mlinz ,,kwa kipind kile sikuweza kung'a mua chochote , maisha yaliendelea Kama kawaida..

Baada ya miez minne nilipata nafas ya kaz (selected) kwenda kuripoti mkoa mmoja karibu na daslaam,, ilinibidi niende kuaga pale ofisin (tempo) na yeye nikamtaarifu k uhusu mimi kwenda mkoa jiran, Baada ya kumwambia hivo akaniambia itabid aache kaz twende wote tukaishi pamoja,,, Nilikataa kata kata kwa kuwa had naingia nae kwa mahusiano Ilitokea tuu hivo hakuwa chaguo langu.(Kosa )

Tukaanza malumbano akasema kwa kuwa yeye hajasoma ndio maana naona aibu kuanza nae maisha ila atanionyesha yeye ni nan.

Baada ya kuwa serious na mabishano ilibidi ajishushe na kuwa mpole Ila k wa shart moja la niende nikamsex kabla sijaondok a,, kutokana na stress za safar Sikuwa na mood hivo nilimkatalia ,,hakuwa teyar kwa Hilo, akaniambia tukaogelee k wake maana kumbuka nilienda ofcn kuaga, nilikubaliana nae,tulienda kwake aliniforc to sex Nilikataa kata kata,Kisha akaniambia nimuachie fulana yangu niliyokuwa nimeivaa ili akinimiss atakuwa anaivaa , nam bila hiana nilimpatia hiyo nguo Kisha akanipa shart jingine nikavaa Kisha Nikaondoka kwenda jia ndaa na safar(Kosa kuu).
Niletee maji yalikoshea maiti,kamba aliyojinyongea mtu,ubani maiti,ndimu kisirani,uzi ulioshonea sanda,sindano mbili za shaba,chumvi ya mawe,mayai viza,kiwembe kilichoota kutu na maji maji yaliyotoka kwenye pua ya maiti. Ukivipata hivyo niletee na kitambaa chekundu. Kazi ya usiku mmoja tu hiyo. Malipo baada ya watu kuanua tanga la huyo mbaya wako.
 
Inaendelea.........
Baada ya maandalizi ya Safari,nilifanikiwa kufika salama na kuanza upya maisha katika mkoa usika,,,Nilifanikiwa kununua fenicha na vitu muhimu baada ya kuingizwa kwenye payroll...Ingawa mkoa husika kulikuwa na maisha duni ya mzunguko wa pesa ila nilipambana mdogo mdogo Mambo yalikuwa shwar maana sikuwa na familia Wala mtegemez hata mmoja.

Baada ya mwez mmoja,,Kuna siku huyu F"alinipigia simu na kuniambia nimtumie 40 elfu mtoto wake anadaiwa shule,nilikataa kata kata na kumuambia iweje mm nimsomeshe mtoto wa mwanaume mwenzangu wakati baba yake yupo hai pia Mimi sina hata mtoto!!?

Tuligombana Sana maana alikuwa analalamika kwamba mimi baada ya kupata kaz nimebadilika na simtunzi,,ilinibidi nimueleze ukweli kwamba mimi naona sioni future Kati yetu isitoshe yeye Ana watoto pia kiumr kwangu ni mkubwa,,hivo sihitaj nimpotezee muda.

Baada ya hapo hatukutafutana Tena pia mm nilifuta namba yake. Sasa baada ya mwez mbele toka tuachane Rasmi,,nilihis tupo linyajaa ges hata nikinywa maji Kisha gafla ndani ya wiki moja sikuweza kusimamisha Wala kiungo cha kiume kutikisika hata niwekewe porno,,hivo nilihis hili si Jambo la kawaida

Baada ya mazoea na muingiliano na wanakijiji pale wilayani nilizoeana na mzee mmoja ambaye alitokea kuwa karibu na mm,,,nilimhadithia tukio zima huyo mzee ambaye alikuwa ni mganga wa jadi ( Apumzike kwa aman),,baada ya kumthimulia aliniambia nitafute kuku jogoo mwekundu Kisha akaniagua(sihamasishi Urozi)Kisha Hali yangu ikarudi Kama mwanzo.

Ingawa kwa kipindi hicho sikua na uhakika Kama huyu F ndio anafanya hivo au la,,, maisha yaliendelea.
Baada ya mda pale ofisini kwangu kuanzia boss wangu Hadi Hawa watu wa chini wakawa wananichukia bila kosa lolote,,nilivumilia haswa ujana na utoto pia ndio Kwanza nilikuwa na mwez wa nne kazin hivo nilichukulia poa labda upepo tuu utapita,,,taratibu ile chuki na boss wangu iliongezeka na kuwa kubwa pia maisha kwa upande wangu yakawa magumu kupita Kia's hata pesa za hapa na pale sikuwa napata pia nikipokea mshahara ikifika tar 23/24 Sina hata Mia,,ilinibidi nitafakali kwa kina ,sikijua ni akili yangu mwenyewe au ni nguvu za nje ilinibidi niache kaz mm mwenyewe na kuamua kurudi dar maenea ya tabata bima na kupanga chumba Kisha kuendelea na maisha ya mtaani,,,

Baada ya mwez mbele,nipata kaz Kama sikosei ni Boko ( mbele kidogo ya tegeta nyuki). Nilifanikiwa kufanya kaz pale Kisha mmiliki wa hiyo ofisi ghafla alianza kunichukia ndani ya siku 22 alinipigia mahesabu ya mshahara wangu Kisha akaniachisha kaz,,Nilirudi gheto sikuweza kutafakar kiundani kwa kina nadhan sikuwa na uzoefu na maisha ya mtaani(kumbuka nilikuwa ndio nimetoka chuo miez kadhaa nyuma)(2013/4)
Baada ya mwez mmoja mbele nilipata Tena kibarua kigamboni /Tungi,,kwa kifupi nilifanya kaz kwa maadili yote na ma staff wote walikuwa wananikubali ila Kuna staff mmoja aliweza kwenda nichomea kwa boss Kuna Mambo mabaya nayafanya kiliitishwa kikao baada ya mahojiano ilionekana nimechongewa kesi hivo niliambiwa niendelee na kaz tuu.

Baada ya miez kadhaa niliingia kwenye mahusiano na msichana mmoja Kisha Mambo yalienda vizuri,,,baada ya hapo miez kupita nilifanikiwa kupata nafas ya kaz serikalini mkoa mmoja jirani na Dar,,ilinibidi niende kuriport Kisha nilienda kuaga pale tempo na kuelekea kituo kipya Cha kazi.

Nilipofika nilifuata taratibu zote na kupewa kianzia maisha na kuanza upya maisha kutoka dar,Bas baada ya miez mitatu mbele hapo kituo kipya aliletwa boss mpya mdada/mmama
Maisha yaliendelea ups and down za hapa na pale,,niliendelea kupambana ghafla boss na baadhi ya mastaff wakaanza kuonyesha chuki bila sababu(kawaida yangu mm sio muongeaji Sana,sio mlevi ,sio mtu wa kujikweza pia sipendi kumchongea au kumfitini mtu yoyote kwa boss)

Hali hii iliendelea Sana hivo kwa kuwa nilikuwa na mtandao wangu kipindi hicho Cha JK ,nilianza kuandaa mipango ya kuhamia mkoa X labda inaweza nisaidia.
Baada ya mda mm na girl friend wangu bila sababu maalum aliniambia tuachane hayupo teyar kuwa na mm,hivo nilimsikiliza nikamwambia sawa nimekuelewa ilinibidi nikubali matokeo.

Pia toka niachane na yule F uwezo wa kuota ndoto ulipotea kabisa,,yaan ndoto yoyote sikuweza kuota na nilikuwa nikiota nikiamka sikumbuki chochote nilichoota,,,pia kila nilipokuwa naingia kwenye mahusiano na msichana,. wote walikuwa ni tofauti na Imani yangu ya dini.
....itaendelea.....


Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
...... Inaendelea........

Baada ya kuachana na girl friend,,nilipata girlfriend mwingine,,,pia maisha yaliendelea Kama kawaida pamoja na uchumi wangu kuwa mgumu kupita Kiasi,,Nilidumu nae huyo girlfriend kwa miez kadhaa Kisha nilifikia hatua ya kwenda kwao kujitambulisha,na hatua ya kumtolea posa mipango ikaanza,,,ghafla bin vuu huyo wife to be akanipigia simu bila ugomvi Wala sababu maalum akaniambia tuachane,,niliumia ila kwa kuwa sipelekeshw na mapenz na pia najiamini ilinibidi nikubaliane nae na kumpotezea,,,

Baada ya kuachana na F" ilipita takriban miaka 6 ila Cha kushangaza kila mwaka haswa mwanzo wa mwaka Kati ya mwez wa Kwanza au wa pili lazima anipigie na huwa alinikuwa anajifanya amekosea namba Kisha hujitambulisha yeye ni nan ,baada ya kumtambua huwa alikuwa ananiulizia Kuhusu kazini kunaendeleaje au zaid alikuwa ananiulizia Kama teyar nimeshafunga ndoa ,,,,Swali hili aliniuliza mfululizo Zaid ya miaka mitatu bila mm kumtambua huwa anamaana gan!,,kila alipokuwa ananipigia mwez wa Kwanza hakunipigia Tena Hadi mwaka mwingine mwez wa Kwanza au wa pili tuu na si Zaid ya miez hiyo,,,

Pamoja na kupoteza uwezo wa kuota njozi au nikiota nashindwa zikumbuka nikipatwa na Jambo lingine ambalo uwezo wa kukumbuka kitu/vitu ulikuwa mdogo Sana Kiasi kwamba nikienda hata dukan hushindwa kukumbuka nin nimeenda nunua.....

Baada ya maisha kuendelea mkoa X Hali ya maisha ilizidi kuwa mbaya pia kila nilichopangilia/kipanga sikufanikiwa kabisa,,,Na kila alipokuwa ananipigia simu kunisalimu alikuwa akiniulizia Kuhusu kazini bas baada ya siku kadhaa napatwa na mikosi au Hali ya kiuchum inayumba kupita Kiasi,,,

Kwa Mambo jins yalivyokuwa yanaenda nikaona isiwe tabu acha nipange mipango ili niweze amia mkoa mwingine kunusuru Hali ya maisha kiujumla....

Nilifanikiwa kuandaa mipango mikakati madhubuti ,,nilijipanga Kisha kuandaa Barua ya uhamisho na kuipeleka kwa wakubwa wangu Kisha mbele baada ya mwaka na nusu tangu nianze kaz mkoa X nikafanikiwa kuhamia mkoa Y mbali kabisa na mkoa X ,,,,.
Itaendelea ......

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom