Imeandikwa: Usimuache mwanamke mchawi aishi! Nimeapa kulipiza kwa gharama yoyote

Imeandikwa: Usimuache mwanamke mchawi aishi! Nimeapa kulipiza kwa gharama yoyote

Uchawi raha sana ukijua kuupangua,unakuwa unawachora sana wachawi
Nalog off  Z
 
Inaendelea....
Baada ya kufika mkoa Y,maisha yaliendelea vizuri kiofis na kiuchum kwa takriban miez miwili,baada ya hapo Mambo yakaanza kuyumba kwa mbali ,,,Baada ya mda nilianza mahusiano na msichana mmoja baada ya mwaka alinipeleka kwao na kujitambulisha, Mambo yalienda vizuri Kisha mwez mbele alinipigia simu na kunifahamisha kwamba hayupo teyar kuwa na mm,, niliumia Kisha nilimove on,,,

Baada ya hapo Kuna siku namba ngeni ilinipigia baada ya kupokea na salama ,alijitambulisha kwamba yeye ni F " nilimsikiliza nikamwambia alikuwa anasemaje,,akajibu alikuwa ananisalim na pia alikuwa anaulizia Kama nilishafunga ndoa pia ofisini kaz inaendeleaje..

Sikuwa na jibu Kisha nilikata simu na kufuta received call,,baada ya hapo Mambo yakazidi kuwa magumu haswa kiuchum pia kila nilipoanza mahusiano mapya sikudumu nayo bila sababu mwanamke husika katika mahusiano aliniacha bila sababu yoyote.Baada ya kuona hivo nikaona isiwe tabu acha niende nikaongeze elimu(kozi ya taaluma).

Nilifanikiwa kupata nchi fulan nje ya Tz,,hivo niliondoka baada ya mwaka kupita kwenye what's up iliingia namba mpya ikinisalim baada ya hapo kucheck profile niligundua ni huyo F"sikutaka maelezo nae yoyote hivo nilimblock,,baada ya kumaliza kozi nilirud kazin lakini Hali ilizidi kuwa mbaya maana kila sehemu nilipoingia nilionekana Kama kibaka hakuna mtu aliyenipenda yoyote,,,ndipo ndugu yangu mmoja aliniita pembeni na kunikalisha chini na kunielezea kwamba mimi sipo kawaida na inaonekana Kuna mtu kanitupia roho ya kukataliwa na kutokukubarika,,,baada ya kuangaika huko na huko nilienda Visiwan (Pemba)Kuna mzee ni ndugu yangu yupo huko ndipo kwenda kwa mtaalam mmoja.

Baada ya Safari ndefu tulifika kijijin hapo ambapo ni nyumba ipo mwituni peke yake ikizungukwa na makabuli ya kale,, baada ya hapo tulipokelewa na huyo Mzee na kumuelezea kinachonisumbua,,Baada ya dk 10 aliagiza kalai (beseni) lenye maji na kuletewa ,aliliweka chini na kuyazungusha maji baada ya hapo alitokea yule mbaya wangu kwenye Yale maji na yule mzee akaniambia huyu ndio mbaya wako,,,Je !?unataka tumfanye nn!?Mm bila hiana nilimwambia kwa jins nilivyoteseka na alivyonitesa nachotaka ni Kumuua,,Yule mzee akaniambia upo teyar kuua!?

Nikamwambia nipo teyar,,aliagiza kisu Kisha akanipa na kuniambia mchome hicho kisu kupitia kwenye hayo maji ,,,Mm sikuwa na pingamiz nilimchoma na ndan ya sekunde maji yote yalibadilika na kuwa mekundu( damu kabisa)...baada ya hapo tuliaga na kuondoka tulianza Safar ya kurud mkoa Y moyon nikiwa nimeridhika haswa na nilichokifanya.Baada ya kufika mkoa Y maisha yaliendelea na baada ya mwez mbele alinipigia simu rafik wa F" na kuniambia kwamba F hatunaye Tena alifariki kwa ajali ya kugongwa na gar na tulishamzika wiki tatu nyuma.na hapa ndipo ukawa mwanzo mpya wa maisha yangu bila ya mtesi wangu.(RIP F").
Mwisho.

My take:sitangazi uganga sipo teyar kumuelekeza members yoyote kwa lolote .
 
Ina maana ww hujui kusali ? Utaua watu wangapi kwa dunia ya sasa?
 
Ifike muda tusihurumiane kwenye maisha. Mtu anayekukwamisha kwenye maisha ni adui namba mmoja kwahiyo lazima apewe adhabu
Kuna jamaa namsikilizia ana 350k, sasa aendelee kujichanganya tu. Nimfanyie kitu mbaya
Wachawi ni maadui wakubwa sana kwenye maisha
 
Kuna mambo mengine lazima uchukue uamuzi mgumu. Huyo jamaa ameokoa wengi sana.
Mtu anayekwamisha mipango yako lazima umpige na nyundo kichwani
Ina maana ww hujui kusali ? Utaua watu wangapi kwa dunia ya sasa?
 
Ifike muda tusihurumiane kwenye maisha. Mtu anayekukwamisha kwenye maisha ni adui namba mmoja kwahiyo adhabu yake ni kifo.
Kuna jamaa namsikilizia ana 350k, sasa aendelee kujichanganya tu. Nimfanyie kitu mbaya
Umnchekesha sana[emoji848][emoji23][emoji23]
 
Pole sana kwa mapito uliyopitia ila jifunze kuandika vizuri. Haiwezekani mtabibu umemaliza chuo mpaka nje ya nchi umeenda hujui kuacha space, coma, wapi uweke herufi kubwa n.k. Nakupa onyo la mwisho jirekebishe.
 
Quran na Biblia zinasema wachawi wauwawe naunga mkono. Hawa wapumbavu ni kuwafuta kwenye ramani ya dunia, hawana maana wala faida.
 
Usimuache mtu mchawi aishi. Huwezi pata laana kwa kumwaga damu ya mchawi
 
Inaendelea....
Baada ya kufika mkoa Y,maisha yaliendelea vizuri kiofis na kiuchum kwa takriban miez miwili,baada ya hapo Mambo yakaanza kuyumba kwa mbali ,,,Baada ya mda nilianza mahusiano na msichana mmoja baada ya mwaka alinipeleka kwao na kujitambulisha, Mambo yalienda vizuri Kisha mwez mbele alinipigia simu na kunifahamisha kwamba hayupo teyar kuwa na mm,, niliumia Kisha nilimove on,,,

Baada ya hapo Kuna siku namba ngeni ilinipigia baada ya kupokea na salama ,alijitambulisha kwamba yeye ni F " nilimsikiliza nikamwambia alikuwa anasemaje,,akajibu alikuwa ananisalim na pia alikuwa anaulizia Kama nilishafunga ndoa pia ofisini kaz inaendeleaje..

Sikuwa na jibu Kisha nilikata simu na kufuta received call,,baada ya hapo Mambo yakazidi kuwa magumu haswa kiuchum pia kila nilipoanza mahusiano mapya sikudumu nayo bila sababu mwanamke husika katika mahusiano aliniacha bila sababu yoyote.Baada ya kuona hivo nikaona isiwe tabu acha niende nikaongeze elimu(kozi ya taaluma).

Nilifanikiwa kupata nchi fulan nje ya Tz,,hivo niliondoka baada ya mwaka kupita kwenye what's up iliingia namba mpya ikinisalim baada ya hapo kucheck profile niligundua ni huyo F"sikutaka maelezo nae yoyote hivo nilimblock,,baada ya kumaliza kozi nilirud kazin lakini Hali ilizidi kuwa mbaya maana kila sehemu nilipoingia nilionekana Kama kibaka hakuna mtu aliyenipenda yoyote,,,ndipo ndugu yangu mmoja aliniita pembeni na kunikalisha chini na kunielezea kwamba mimi sipo kawaida na inaonekana Kuna mtu kanitupia roho ya kukataliwa na kutokukubarika,,,baada ya kuangaika huko na huko nilienda Visiwan (Pemba)Kuna mzee ni ndugu yangu yupo huko ndipo kwenda kwa mtaalam mmoja.

Baada ya Safari ndefu tulifika kijijin hapo ambapo ni nyumba ipo mwituni peke yake ikizungukwa na makabuli ya kale,, baada ya hapo tulipokelewa na huyo Mzee na kumuelezea kinachonisumbua,,Baada ya dk 10 aliagiza kalai (beseni) lenye maji na kuletewa ,aliliweka chini na kuyazungusha maji baada ya hapo alitokea yule mbaya wangu kwenye Yale maji na yule mzee akaniambia huyu ndio mbaya wako,,,Je !?unataka tumfanye nn!?Mm bila hiana nilimwambia kwa jins nilivyoteseka na alivyonitesa nachotaka ni Kumuua,,Yule mzee akaniambia upo teyar kuua!?

Nikamwambia nipo teyar,,aliagiza kisu Kisha akanipa na kuniambia mchome hicho kisu kupitia kwenye hayo maji ,,,Mm sikuwa na pingamiz nilimchoma na ndan ya sekunde maji yote yalibadilika na kuwa mekundu( damu kabisa)...baada ya hapo tuliaga na kuondoka tulianza Safar ya kurud mkoa Y moyon nikiwa nimeridhika haswa na nilichokifanya.Baada ya kufika mkoa Y maisha yaliendelea na baada ya mwez mbele alinipigia simu rafik wa F" na kuniambia kwamba F hatunaye Tena alifariki kwa ajali ya kugongwa na gar na tulishamzika wiki tatu nyuma.na hapa ndipo ukawa mwanzo mpya wa maisha yangu bila ya mtesi wangu.(RIP F").
Mwisho.

My take:sitangazi uganga sipo teyar kumuelekeza members yoyote kwa lolote .
...Kumbe Uliisha lipiza???...
 
Wachawi uitwa wapumbavu sababu ndio viumbe wenye akili finyu kuliko kiumbe yeyeto chini ya jua, maana ujituma kweli kweli kufanya Kazi isiyo na mshahara wala faida si kwao hata kwa Jamii, adhabu yao kuu hukumu ya kifo.
 
Back
Top Bottom