Imebaki miaka 18 mafuta kuisha United Arab Emirates

Emirate of Dubai ambao ni wamiliki wa DP-WORLD hawana mafuta.

Kafanye homework yako vizuri.
 
Miaka kumi tu ijayo mafuta huenda yakaishiwa matumizi kabisa
 
What is the biggest weakness of the UAE government?


WEAKNESSES
  • Growing regional challenges to their prominent position as a trade hub.
  • High dependence of fiscal and external revenues on hydrocarbons.
  • Dependence on foreign labour (85% of the population is foreign)
  • Concentration of the national workforce in the public sector.
 
We Jamaa Tangu ulipodanganyaga kuhusu kukutana na aliens Miaka ya 90 na story ya kupewa Kanuni na sheria na hao aliens HUWA SIKUAMINI HATA KIDGO HATA KAMA UKISEMAA UKWELI 😂😂😂😂😂
 

Markets In United Arab Emirates fall on recession fears​

 
Wana punda zao huku Africa hawana wasiwasi.

Mbuga zetu ni zao, bandari yao soon watachukua na migodi.
 
Umeandika ushuzi na uongo mwingi. Mwaka 2015 aliyekuwa mgombea urais mwenye kashfa ya ufisadi kupitia CHADEMA, Lowassa ndo alisema akiupata urais atatumia rasilimali za nchi kukopa.
 
Ndio maana wanapambania bandari kwa mkataba wa milele
Mkataba wa kimangungo uliojaa hila.
 
The dynasties of the United Arab Emirates consist of the six ruling families of the seven Emirates.

  • The Nahyan (branch of the House of Al Falahi) are the ruling family of Abu Dhabi.
  • The Maktoum (branch of the House of Al Falasi) are the ruling family of Dubai.
  • The Al Qasimi (also spelled Al Qassimi) families rule two of the seven emirates: Sharjah and Ras Al Khaimah.
  • The Al Nuaimi are the ruling family of Ajman.
  • The Al Mualla are the ruling family of Umm Al Quwain.
  • The Al Sharqi are the ruling family of Fujairah.
 
Mijitu mengine mijinga nikuulize wewe umefaidika na nini na rasilimali zilizokuwemo nchini kwako? tz tuna kila aina ya madini na gesi yenye thamani ya mabilioni ya dola lakini hutafaidiki navyo,warabu ata mafuta yakiisha leo hawaweezi kufilisika wale wanajua kutumia rasilimali zao kuwanufaisha.
 
Umeshawahi kusoma kisa cha Nauru?
Nenda kasome uelewe mambo ya uchumi. Nauru was the richest country in the World. But now is among the poorest countries in the world.

Nenda kasome kisa cha Nauru kisha uje hapa.
 
Hiyo 4 billion ndiyo hawana hao. Hata Tanzania tumewapita na tu masikini (wa akili) gas tuliyonayo ukiibadili kwa mafuta ni zaidi ya pipa trillion 10.
Nimekwambia wewe kibibi. Ukitaka kujadiliana na mimi njoo na facts.

Mipasho ya kwenye madrasa wapelekee wapuuzi wenzako. Hapa tunaongea kwa facts.

Njoo na facts acha porojo.
 
Udini unakusumbua sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…