Imebaki miaka 18 mafuta kuisha United Arab Emirates

Imebaki miaka 18 mafuta kuisha United Arab Emirates

Nimekwambia wewe kibibi. Ukitaka kujadiliana na mimi njoo na facts.

Mipasho ya kwenye madrasa wapelekee wapuuzi wenzako. Hapa tunaongea kwa facts.

Njoo na facts acha porojo.
Una mawazo ya kimasikini kweli wewe.
Masikini siku zote anamwombea mabaya tajiri kwa kudhani tajiri akianguka basi utajiri utaenda kwake
 
Una mawazo ya kimasikini kweli wewe.
Masikini siku zote anamwombea mabaya tajiri kwa kudhani tajiri akianguka basi utajiri utaenda kwake
Leta facts wewe acha mbwembwe.
Topic tunayoongelea ni 18 to come United Arab Emirates itakuwa imeishiwa mafuta.

Wewe maoni yako ni yapi?
 
Mijitu mengine mijinga nikuulize wewe umefaidika na nini na rasilimali zilizokuwemo nchini kwako? tz tuna kila aina ya madini na gesi yenye thamani ya mabilioni ya dola lakini hutafaidiki navyo,warabu ata mafuta yakiisha leo hawaweezi kufilisika wale wanajua kutumia rasilimali zao kuwanufaisha.
hizo rasilimali ni za tanganyika, nakuuliza wewe bichwa flat uko kwenu makunduchi mna nini?.......stupid
 
Kweli tunawacheka UAE leo
Wao wamewekeza sana kwao na miradi na viwanda vya kila aina
Dunia inahamia kwenye magari ya umeme na hapo kuna batteries za magari ambapo wanaweza kuwa na viwanda pia hata vya magari
Sisi tunapambana kuwa na mlo mmoja tu
Hawategemei mkataba mmoja kwani kama ni njaa wachina wamemaliza misitu na kuiba rasilimali za Africa bila mikataba ya milele bali wanachota kama kwao

Waarabu wamenunua makampuni ya ulaya mengi sana na hata nusu ya majengo ya London ni ya kwao pamoja na makampuni

Sisi wenye dhahabu kila sehemu hatuna hata duka moja Dubai wala Paris

Halafu tuna uwezo wa kuwasema wao eti mafuta yanaisha

Sisi hata maji mwanza ya tabu wakati maji yamejaa
Wao unafikiri maji wanachota ziwa nyasa?

Tujiangalie sisi na tujiulize tunaenda wapi
Mkuu waache wajinga wajazane ujinga.
 
Kweli tunawacheka UAE leo
Wao wamewekeza sana kwao na miradi na viwanda vya kila aina
Dunia inahamia kwenye magari ya umeme na hapo kuna batteries za magari ambapo wanaweza kuwa na viwanda pia hata vya magari
Sisi tunapambana kuwa na mlo mmoja tu
Hawategemei mkataba mmoja kwani kama ni njaa wachina wamemaliza misitu na kuiba rasilimali za Africa bila mikataba ya milele bali wanachota kama kwao

Waarabu wamenunua makampuni ya ulaya mengi sana na hata nusu ya majengo ya London ni ya kwao pamoja na makampuni

Sisi wenye dhahabu kila sehemu hatuna hata duka moja Dubai wala Paris

Halafu tuna uwezo wa kuwasema wao eti mafuta yanaisha

Sisi hata maji mwanza ya tabu wakati maji yamejaa
Wao unafikiri maji wanachota ziwa nyasa?

Tujiangalie sisi na tujiulize tunaenda wapi
Siyo kweli. Hakuna viwanda vya kila aina huko.
Nitajie kiwanda chochote cha ndege kutoka huko.
 
Hiyo 4 billion ndiyo hawana hao. Hata Tanzania tumewapita na tu masikini (wa akili) gas tuliyonayo ukiibadili kwa mafuta ni zaidi ya pipa trillion 10.
79% ni wehu ndio wanaoiweka Chama Twawala madarakani!
 
The UAE's reserves-to-production is about 18 years
Sasa nani mkweli, tumia akili ya kawaida tu
The UAE's reserves-to-production is about 18 years
Nani mkweli?? Tumia akili ya kawaida.

The United Arab Emirates has proven reserves equivalent to 299.0 times its annual consumption. This means that, without Net Exports, there would be about 299 years of oil left (at current consumption levels and excluding unproven reserves).

Worldometer - real time world statistics › oil › united-arab-emirat..
 
Kuwa maskini ndo uzalendo wa mtanzania......

Utakuwa unajidanganya kwa kuamini unaweza kuendelea bila ushirikiano na watu wengine....kwenye biashara kuna kitu kinaitwa corporate business
 
Umeandika ushuzi na uongo mwingi. Mwaka 2015 aliyekuwa mgombea urais mwenye kashfa ya ufisadi kupitia CHADEMA, Lowassa ndo alisema akiupata urais atatumia rasilimali za nchi kukopa.
Sina haja ya kubishana na chawa. Najadili na watu waona jielewa. Ambao wapo kwa ajili ya maslahi ya nchi si ushabiki. Rejea kumbukumbu ya hotuba ya mama. Kipindi cha mwanzo alisameje juu ya madini kuchimbwa yaliyoko kwenye hifadhi au mbuga.

Unajua kinachoendelea Ngorongoro? Na mbuga ya Seregengeti mara tu baada ya mama kuingia madarakani?
Siwezi muongelea Lowasa hajawa Rais na hakuwahi kuwa Rais.
Naongelea waliopewa dhamana ya urais. Aliegawa madini kwa wageni kuchimba alikuwa Mkapa. Uongo huko wapi? Tanzania ilikuwa haipati kitu.
Ndo akaja Kikwete akasema kampuni za madini zinazochimba za kigeni zitoe millioni mia nne kwa Halmashauri kwa shughuli za maendeleo baada ya kuona tunapigwa.

Acha ushabiki tupo kutetea maslahi ya nchi. Tunaeleza ukweli bila chuki. Narudia kusema Mama Samia hafai anagawa raslimali za nchi ovyo. Na mwambieni asishupaze shingo asikilize wananchi. Akijifanya yeye mbabe watanzania tutamlilia MUNGU.
 
... ndio maana wanataka kuifungisha nchi yetu tukufu ndoa ya milele kwa faida zao! CCM na mafisadi hawaoni Hilo as long wamelipwa vihongo wako tayari kuliuza taifa.
Indeed tuna majitu majinga sana, tuna gas ya matrillion lakini wananchi wengi bado wanatumia kuni, imagine gas kama ile bado tuna migawo ya umeme na uliopo ni very expensive, tuna ardhi safi, maziwa na mito ya kuzalisha mpaka tukauza nje lakini hata mafuta ya kula na sukari tunaagiza kutoka nje, dhahabu tunachimba tangu 90's lakini hatuna hata dollar ya kuagiza mafuta, hatuna cha kuonyesha kwa huo utajiri zaidi ya mashimo waliyotuachia mabeberu, sasa wanataka kuuza bandari, maziwa na anga, hawa mbwa wata control mpaka maji yetu ya kunywa au ya kilimo tusipoangalia, DP ikataliwe kwa nguvu zote
 
Au huyu tulinae ni kawa plotted na wajomba zake?
 
Au huyu tulinae ni kawa plotted na wajomba zake?
Vipi wale wabunge wote, serikali inayowabambikia watu kesi za uhaini, mahakama zinazokubaliana na mkataba na vibaka wa JF wanaounga mkono DP, hao wote wako plotted? nafikiri ni akili mbovu tuu ya mtu mweusi
 
Back
Top Bottom