Kweli tunawacheka UAE leo
Wao wamewekeza sana kwao na miradi na viwanda vya kila aina
Dunia inahamia kwenye magari ya umeme na hapo kuna batteries za magari ambapo wanaweza kuwa na viwanda pia hata vya magari
Sisi tunapambana kuwa na mlo mmoja tu
Hawategemei mkataba mmoja kwani kama ni njaa wachina wamemaliza misitu na kuiba rasilimali za Africa bila mikataba ya milele bali wanachota kama kwao
Waarabu wamenunua makampuni ya ulaya mengi sana na hata nusu ya majengo ya London ni ya kwao pamoja na makampuni
Sisi wenye dhahabu kila sehemu hatuna hata duka moja Dubai wala Paris
Halafu tuna uwezo wa kuwasema wao eti mafuta yanaisha
Sisi hata maji mwanza ya tabu wakati maji yamejaa
Wao unafikiri maji wanachota ziwa nyasa?
Tujiangalie sisi na tujiulize tunaenda wapi