fidel castro wapili
JF-Expert Member
- Mar 18, 2017
- 3,497
- 2,911
Do world
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dubai mafuta yaliisha siku nyingi tu, na wala hawategemei mafuta, Real estate tu ya Dubai nusu mwaka tu ameingiza $28B ambazo ni zaidi ya Trilioni 60 za madafu, kwa mwaka wanaingiza Zaidi ya Trilioni 100 kwenye majengo tu.Baada ya sakata kuendelea kupamba moto huku na huku. Imenibidi nianze kuifuatilia United Arab Emirates. Nimefuatilia historia yao na mimefuatilia uchumi wao.
Chanzo kikubwa cha mapato katika nchi yao ni mafuta. Hiki ndicho chanzo kikubwa cha mapato.
Sasa cha kushangaza kabisa ni kutokana na mafuta kuisha. Kulingana na estimate za kitaalam mafuta hayo ndani ya miaka 18 yatakuwa yameisha.
Ka nchi ni kadogo na jangwa kila kona. Wanaona kabisa anguko lao linakuja kwa kasi.
Dalili za Nauru zinawanukia kwa kasi. Sasa wanatafuta kwa nguvu zote na kwa hila zote makoloni au ardhi katika nchi zingine.
Wanajaribu kutengeneza artificial tourism na vitu vingine vingi ili kuweza kujinusuru. Lakini kusema kweli anguko lao li karibu. Ndani ya miaka 18 tutashuhudia mengi mno yakiwapata.
Sisi kama nchi hatutakiwi kabisa kutumia natural resources zetu kwa pupa. Zipo wala haziozi. Tuzitumie kwa umakini sana.
Nitaendelea kueleza na kuleta references.
Dubai kabla ya Mafuta ilikua ni Hub ya Biashara, miaka na miaka Wahindi, Wa Iran, Watu toka Africa walifanya biashara pale,Swali zuri ..hivi Dubai Kabla ya mafuta palikuwaje?
Kwa faida ya wengine Mubadala ambayo ndio hela za Uae kwa ajili ya kuwekeza Nje zimewekeza makampuni zaidi ya 200, tena kampuni za maana kamaKweli tunawacheka UAE leo
Wao wamewekeza sana kwao na miradi na viwanda vya kila aina
Dunia inahamia kwenye magari ya umeme na hapo kuna batteries za magari ambapo wanaweza kuwa na viwanda pia hata vya magari
Sisi tunapambana kuwa na mlo mmoja tu
Hawategemei mkataba mmoja kwani kama ni njaa wachina wamemaliza misitu na kuiba rasilimali za Africa bila mikataba ya milele bali wanachota kama kwao
Waarabu wamenunua makampuni ya ulaya mengi sana na hata nusu ya majengo ya London ni ya kwao pamoja na makampuni
Sisi wenye dhahabu kila sehemu hatuna hata duka moja Dubai wala Paris
Halafu tuna uwezo wa kuwasema wao eti mafuta yanaisha
Sisi hata maji mwanza ya tabu wakati maji yamejaa
Wao unafikiri maji wanachota ziwa nyasa?
Tujiangalie sisi na tujiulize tunaenda wapi
Mashallah 😍Dubai kabla ya Mafuta ilikua ni Hub ya Biashara, miaka na miaka Wahindi, Wa Iran, Watu toka Africa walifanya biashara pale,
Picha Za Dubai kabla ya mafuta
View attachment 2723418
View attachment 2723419
Hata Uingereza alipo kwenda hapa hakutawala, bali waliingia mikataba ya Ushirikiano hasa kukomesha pirates baharini ili biashara ziendelee.
Hawana akili hiyo mzee. Si unaona mwenyewe mikataba ya kidwanzi. Mtu mwenye akili hawezi kuja na mkataba wa hivyo.Zikiisha huko watahamia huku afrika
Kujichotea rasilimali tu,maisha yao yataendelea kama kawaida
Ova
SalamalekoDubai mafuta yaliisha siku nyingi tu, na wala hawategemei mafuta, Real estate tu ya Dubai nusu mwaka tu ameingiza $28B ambazo ni zaidi ya Trilioni 60 za madafu, kwa mwaka wanaingiza Zaidi ya Trilioni 100 kwenye majengo tu.
![]()
Economy of Dubai - Wikipedia
en.m.wikipedia.org
Ni ujinga kudhani sehemu ambayo chini ya asilimia moja ya mapato yake yanatokana na mafuta eti itakufa sababu mafuta hakuna.
Waislam wametawala nchi hii miaka 15. Ndio maana umaskini umekuwa mwingi.Kabanga nickel inatarajiwa kuzalisha zaidi ya tani 40,000 kwa mwaka itakuwa inatema zaidi ya dollar billion mbili kwa mwaka lakini Ngara ndio wilaya maskini kabisa, na wana umeme wa maporomoko ya Rusumo mkubwa kuliko kidatu unasambaza nchi tatu , tumelogwa I guess
JangwaSwali zuri ..hivi Dubai Kabla ya mafuta palikuwaje?
Wanawaza kuuza au kugawa bure wakiamini watarudishiwa na Allah.Waislam wametawala nchi hii miaka 15. Ndio maana umaskini umekuwa mwingi.
Hapa sasa unaharibu Mkuu,Japo sijui kama umemaanisha au umeongea kimasihara.Waislam wametawala nchi hii miaka 15. Ndio maana umaskini umekuwa mwingi.
Huu ni ukweli mchunguHapa sasa unaharibu Mkuu,Japo sijui kama umemaanisha au umeongea kimasihara.
Ila uzi ni mzuri nilikuwa nasoma tu maoni ila hii sijaipenda.
Mijitu mengine mijinga nikuulize wewe umefaidika na nini na rasilimali zilizokuwemo nchini kwako? tz tuna kila aina ya madini na gesi yenye thamani ya mabilioni ya dola lakini hutafaidiki navyo,warabu ata mafuta yakiisha leo hawaweezi kufilisika wale wanajua kutumia rasilimali zao kuwanufaisha.
Kweli tunawacheka UAE leo
Wao wamewekeza sana kwao na miradi na viwanda vya kila aina
Dunia inahamia kwenye magari ya umeme na hapo kuna batteries za magari ambapo wanaweza kuwa na viwanda pia hata vya magari
Sisi tunapambana kuwa na mlo mmoja tu
Hawategemei mkataba mmoja kwani kama ni njaa wachina wamemaliza misitu na kuiba rasilimali za Africa bila mikataba ya milele bali wanachota kama kwao
Waarabu wamenunua makampuni ya ulaya mengi sana na hata nusu ya majengo ya London ni ya kwao pamoja na makampuni
Sisi wenye dhahabu kila sehemu hatuna hata duka moja Dubai wala Paris
Halafu tuna uwezo wa kuwasema wao eti mafuta yanaisha
Sisi hata maji mwanza ya tabu wakati maji yamejaa
Wao unafikiri maji wanachota ziwa nyasa?
Tujiangalie sisi na tujiulize tunaenda wapi
Kuwa maskini ndo uzalendo wa mtanzania......
Utakuwa unajidanganya kwa kuamini unaweza kuendelea bila ushirikiano na watu wengine....kwenye biashara kuna kitu kinaitwa corporate business