Imebaki miaka 18 mafuta kuisha United Arab Emirates

Imebaki miaka 18 mafuta kuisha United Arab Emirates

Venus Star

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2018
Posts
26,519
Reaction score
78,311
Baada ya sakata kuendelea kupamba moto huku na huku. Imenibidi nianze kuifuatilia United Arab Emirates. Nimefuatilia historia yao na mimefuatilia uchumi wao.

Chanzo kikubwa cha mapato katika nchi yao ni mafuta. Hiki ndicho chanzo kikubwa cha mapato.

Sasa cha kushangaza kabisa ni kutokana na mafuta kuisha. Kulingana na estimate za kitaalam mafuta hayo ndani ya miaka 18 yatakuwa yameisha.

Ka nchi ni kadogo na jangwa kila kona. Wanaona kabisa anguko lao linakuja kwa kasi.

Dalili za Nauru zinawanukia kwa kasi. Sasa wanatafuta kwa nguvu zote na kwa hila zote makoloni au ardhi katika nchi zingine.

Wanajaribu kutengeneza artificial tourism na vitu vingine vingi ili kuweza kujinusuru. Lakini kusema kweli anguko lao li karibu. Ndani ya miaka 18 tutashuhudia mengi mno yakiwapata.

Sisi kama nchi hatutakiwi kabisa kutumia natural resources zetu kwa pupa. Zipo wala haziozi. Tuzitumie kwa umakini sana.

Nitaendelea kueleza na kuleta references.
 
Oil reserves in the United Arab

Emirates, according to its government, are about 107 billion barrels, almost as big as Kuwait's claimed reserves.[1] Of the emirates, Abu Dhabi has most of the oil with 92 billion barrels (14.6×109 m3) while Dubai has 4 billion barrels (640×106 m3) and Sharjah has 1.5 billion barrels (240×106 m3). Most of the oil is in the Zakum field which is the third largest in the Middle East with an estimated 66 billion barrels (10.5×109 m3). The UAE produces about 2.9 million barrels per day (460×103 m3/d) of total oil liquids. The UAE's reserves-to-production is about 18 years
 
Baada ya sakata kuendelea kupamba moto huku na huku. Imenibidi nianze kuifuatilia United Arab Emirates. Nimefuatilia historia yao na mimefuatilia uchumi wao.

Chanzo kikubwa cha mapato katika nchi yao ni mafuta. Hiki ndicho chanzo kikubwa cha mapato.

Sasa cha kushangaza kabisa ni kutokana na mafuta kuisha. Kulingana na estimate za kitaalam mafuta hayo ndani ya miaka 18 yatakuwa yameisha.

Ka nchi ni kadogo na jangwa kila kona. Wanaona kabisa anguko lao linakuja kwa kasi.

Dalili za Nauru zinawanukia kwa kasi. Sasa wanatafuta kwa nguvu zote na kwa hila zote makoloni au ardhi katika nchi zingine.

Wanajaribu kutengeneza artificial tourism na vitu vingine vingi ili kuweza kujinusuru. Lakini kusema kweli anguko lao li karibu. Ndani ya miaka 18 tutashuhudia mengi mno yakiwapata.

Sisi kama nchi hatutakiwi kabida kutumia natural resources zetu kwa pupa. Zipo wala haziozi. Tuzitumie kwa umakini sana.

Nitaendelea kueleza na kuleta references.
Oil reserves in the United Arab

Emirates, according to its government, are about 107 billion barrels, almost as big as Kuwait's claimed reserves.[1] Of the emirates, Abu Dhabi has most of the oil with 92 billion barrels (14.6×109 m3) while Dubai has 4 billion barrels (640×106 m3) and Sharjah has 1.5 billion barrels (240×106 m3). Most of the oil is in the Zakum field which is the third largest in the Middle East with an estimated 66 billion barrels (10.5×109 m3). The UAE produces about 2.9 million barrels per day (460×103 m3/d) of total oil liquids. The UAE's reserves-to-production is about 18 years
Hiyo ni kama pace ya mahitaji na matumizi itabaki kama ilivyo hivi sasa.

Kwa jinsi teknolojia inavyokua na kubadilika kwa kasi sasa hivi na hizi campaign za climate change pamoja na mivutano ya kiuchumi inavyokwenda, huenda in 7 to 9 years mafuta yakakosa thamani na soko na hizo nchi za uchumi wa mafuta kuyumba sana.

Ndiyo maana wanatumia mikataba ya kilaghai kutafuta other resources zitakazoendelea kuzifanya nchi zao ziendelee kubaki kwenye economic races and maviongozi yetu yalivyo mapumbavu hayaoni yote hayo
 
Baada ya sakata kuendelea kupamba moto huku na huku. Imenibidi nianze kuifuatilia United Arab Emirates. Nimefuatilia historia yao na mimefuatilia uchumi wao.

Chanzo kikubwa cha mapato katika nchi yao ni mafuta. Hiki ndicho chanzo kikubwa cha mapato.

Sasa cha kushangaza kabisa ni kutokana na mafuta kuisha. Kulingana na estimate za kitaalam mafuta hayo ndani ya miaka 18 yatakuwa yameisha.

Ka nchi ni kadogo na jangwa kila kona. Wanaona kabisa anguko lao linakuja kwa kasi.

Dalili za Nauru zinawanukia kwa kasi. Sasa wanatafuta kwa nguvu zote na kwa hila zote makoloni au ardhi katika nchi zingine.

Wanajaribu kutengeneza artificial tourism na vitu vingine vingi ili kuweza kujinusuru. Lakini kusema kweli anguko lao li karibu. Ndani ya miaka 18 tutashuhudia mengi mno yakiwapata.

Sisi kama nchi hatutakiwi kabida kutumia natural resources zetu kwa pupa. Zipo wala haziozi. Tuzitumie kwa umakini sana.

Nitaendelea kueleza na kuleta references.
Lakini tukijiuliza enzi hizooo kabla ya kuuza mafuta walikula Nini hatutapata tabu ya kuwawazia.
 
Nilifika nchi moja hivi huko nje. Ni tajiri na wanakila kitu. Nikaingia katika duka la sonara nilikuwa na mkufu wangu wa silver nilihitaji usafishwe.
Ndipo nikapata kuongea na yule sonara alikuwa ni mtu mzima hivi mpersia alie hamia miaka mingi Ulaya toka miaka ya 70.

Alinambia unajua hii nchi wana dhahabu nyingi tu. Sikumuelewa. Nikamwambia mbona hawachimbi? Ndo akanambia wazungu wajanja. Dhahabu yao wamehifadhi kwa vizazi vijavyo. Ndo maana hawataki ichimba sasa.
Hapo hapo nikamkumbuka Mwl. Nyerere alie sema ni heri tusichimbe madini yetu. Siku vizazi vyetu wakipata ujuzi watachimba wao.

Mkapa akamuona Nyerere mjinga akaamua kuleta wawekezaji. Walichimba hadi meneo mengine tayari madini kadhaa yameisha, tumebakiwa na mashimo makubwa hata kufukia huwezi.

Ndo maana Nyerere kwenye migodi aliweka kambi za jeshi na kuanzisha hifadhi za wanyama kuliko kuwa na madini.

Nilishituka na kauli ya mama Samia mapema sana, alipotwaa madaraka akasema madini hata kama yako mbugani lazima tuyachimbe. Wataweka wawekezaji. Roho iliniuma sana. Toka hapo niliona huyu mama kaja kutapanya na kuharibu mali ya wa Tanzania. Nilijua hatuna kiongozi.

Nilijaribu kuandika humu lakini ilifutiliwa mbali. Ushabiki ni mbaya ebu watanzania tuwe na uchungu na maliasili ya nchi yetu. Kuna kundi la uongozi wapo kujinehemesha kwa namna yoyote wao na familia zao. Wakati nchi inauzwa. Alisema Ndungai ila kwakua tunaushabiki tulimtukana na kumuona hafai.

Huyu mama au Rais Samia hana mema na Tanzania, kuna ndoto nilimuota, narudia huyu mama si mtu mzuri. Anaongea maneno matamu lkn moyo wake huko mbali. Na nirahisi kutumiwa ili kugawa maliasili zetu.
 
Baada ya sakata kuendelea kupamba moto huku na huku. Imenibidi nianze kuifuatilia United Arab Emirates. Nimefuatilia historia yao na mimefuatilia uchumi wao.

Chanzo kikubwa cha mapato katika nchi yao ni mafuta. Hiki ndicho chanzo kikubwa cha mapato.

Sasa cha kushangaza kabisa ni kutokana na mafuta kuisha. Kulingana na estimate za kitaalam mafuta hayo ndani ya miaka 18 yatakuwa yameisha.

Ka nchi ni kadogo na jangwa kila kona. Wanaona kabisa anguko lao linakuja kwa kasi.

Dalili za Nauru zinawanukia kwa kasi. Sasa wanatafuta kwa nguvu zote na kwa hila zote makoloni au ardhi katika nchi zingine.

Wanajaribu kutengeneza artificial tourism na vitu vingine vingi ili kuweza kujinusuru. Lakini kusema kweli anguko lao li karibu. Ndani ya miaka 18 tutashuhudia mengi mno yakiwapata.

Sisi kama nchi hatutakiwi kabida kutumia natural resources zetu kwa pupa. Zipo wala haziozi. Tuzitumie kwa umakini sana.

Nitaendelea kueleza na kuleta references.
 
The United Arab Emirates has proven reserves equivalent to 299.0 times its annual consumption. This means that, without Net Exports, there would be about 299 years of oil left (at current consumption levels and excluding unproven reserves).

United Arab Emirates Oil Reserves, Production and Consumption Statistics - Worldometer
Au kingereza ndugu kinakupiga chenga?
Yaani unaambiwa hayo mafuta watumie wao tu wasipeleke kokote. Nchi yao ipo na watu milioni 9 sawa na wakazi wa Dar. Hebu jaribu kuwa serious.
 
Baada ya sakata kuendelea kupamba moto huku na huku. Imenibidi nianze kuifuatilia United Arab Emirates. Nimefuatilia historia yao na mimefuatilia uchumi wao.

Chanzo kikubwa cha mapato katika nchi yao ni mafuta. Hiki ndicho chanzo kikubwa cha mapato.

Sasa cha kushangaza kabisa ni kutokana na mafuta kuisha. Kulingana na estimate za kitaalam mafuta hayo ndani ya miaka 18 yatakuwa yameisha.

Ka nchi ni kadogo na jangwa kila kona. Wanaona kabisa anguko lao linakuja kwa kasi.

Dalili za Nauru zinawanukia kwa kasi. Sasa wanatafuta kwa nguvu zote na kwa hila zote makoloni au ardhi katika nchi zingine.

Wanajaribu kutengeneza artificial tourism na vitu vingine vingi ili kuweza kujinusuru. Lakini kusema kweli anguko lao li karibu. Ndani ya miaka 18 tutashuhudia mengi mno yakiwapata.

Sisi kama nchi hatutakiwi kabida kutumia natural resources zetu kwa pupa. Zipo wala haziozi. Tuzitumie kwa umakini sana.

Nitaendelea kueleza na kuleta references.
Well said !
IMG-20230813-WA0023.jpg


Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile app
 
Kweli tunawacheka UAE leo
Wao wamewekeza sana kwao na miradi na viwanda vya kila aina
Dunia inahamia kwenye magari ya umeme na hapo kuna batteries za magari ambapo wanaweza kuwa na viwanda pia hata vya magari
Sisi tunapambana kuwa na mlo mmoja tu
Hawategemei mkataba mmoja kwani kama ni njaa wachina wamemaliza misitu na kuiba rasilimali za Africa bila mikataba ya milele bali wanachota kama kwao

Waarabu wamenunua makampuni ya ulaya mengi sana na hata nusu ya majengo ya London ni ya kwao pamoja na makampuni

Sisi wenye dhahabu kila sehemu hatuna hata duka moja Dubai wala Paris

Halafu tuna uwezo wa kuwasema wao eti mafuta yanaisha

Sisi hata maji mwanza ya tabu wakati maji yamejaa
Wao unafikiri maji wanachota ziwa nyasa?

Tujiangalie sisi na tujiulize tunaenda wapi
 
Back
Top Bottom