Imedhihirika Hakuna kiongozi wa Upinzani Mwenye uwezo wa Kufanya Mdahalo na Balozi Dkt. Emmanueli Nchimbi

CCM wauaji wanaogopa kujibu maswali ya tuhuma za mauaji
 
CCM wauaji wanaogopa kujibu maswali ya tuhuma za mauaji
Maswali gani hayo? Huoni namna alivyo jibu maswali yote ya waandishi na wahariri kwa ufasaha na uhodari wa hali ya juu sana mpaka waandishi wa habari wakabaki hawana swali.
 
Tanzania inaangamiaπŸ˜₯
 
ukweli umekuhemsha gentleman 🀣

ukweli saa zingine unawasumbua sana kuupokea ee gentleman πŸ’
Ukweli gani zaidi ya kutumia nafasi alizopitia Kama getti la kuondokea.
Alafu wewe sio Nchimbi kweli ?
 
Mi nadhani makatibu wengine walihairisha mdaharo siku ile kwa sababu wengi walienda pale wakiwa na maswali yao muhimu na mtu pekee alietakiwa kuulizwa hakufika.

Unadhani kwamba Mnyika anaweza kumuuliza kativu wa ACT juu ya utekaji na mfumuko wa bei!
 
Mi nadhani makatibu wengine walihairisha mdaharo siku ile kwa sababu wengi walienda pale wakiwa na maswali yao muhimu na mtu pekee alietakiwa kuulizwa hakufika.

Unadhani kwamba Mnyika anaweza kumuuliza kativu wa ACT juu ya utekaji na mfumuko wa bei!
sasa si waandike tu hayo maswali yao na wampelekee pale ofisini kwakweπŸ’
 
Mi nadhani makatibu wengine walihairisha mdaharo siku ile kwa sababu wengi walienda pale wakiwa na maswali yao muhimu na mtu pekee alietakiwa kuulizwa hakufika.

Unadhani kwamba Mnyika anaweza kumuuliza kativu wa ACT juu ya utekaji na mfumuko wa bei!
Ndio maana nimesema hawakwenda kufanya mdahalo bali walikwenda kuuliza maswali na kujifunza masuala mbalimbali.ndio sababu kukosekana kwa kichwa na akili kubwa Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi ikabidi nao Wagome kuendelea na mdahalo.ndio maana nimesema ya kuwa siku nyingine wasiseme mdahalo bali waseme maswali ya ana kwa ana kwa katibu mkuu wa CCM Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi
 
😎
 

Attachments

  • IMG_5453.png
    899.8 KB · Views: 1
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…