Imejitokeza sintofahamu ya watoto kupotea na kukutwa wakiwa wamefariki huku miili yao ikiwa haina baadhi ya viungo, mamlaka ichuke hatua stahiki

Imejitokeza sintofahamu ya watoto kupotea na kukutwa wakiwa wamefariki huku miili yao ikiwa haina baadhi ya viungo, mamlaka ichuke hatua stahiki

Wakuu amani ya Mungu iwe nanyi.

Kumekua na taharuki kwa wakazi wa Temeke, Tandika, Mbagala na Vikindu kwa ujumla wake.

Imejitokeza sintofahamu ya watoto kupotea na kukutwa wakiwa wamefariki huku miili yao ikiwa haina baadhi ya viungo.

Majuma kadhaa yaliyopita maeneo ya Mbagala Mgeni nani miili ya watoto imekutwa huku baadhi ya viungo vikiwa havipo.

Wiki iliyoisha maeneo ya Tandika mtoto wa jirani yangu alikoswa kuchukuliwa na watekaji mara baada ya kufanya jaribio la kumteka mtoto, bahati nzuri mtoto alikimbia na kuja kusimulia kwa wazazi wake.

Juzi maeneo ya Kisemvule inaripotiwa mama mjamzito amekutwa amefariki huku sehemu zake za siri zikiwa zimenyofolewa.

Jana maeneo ya vikindu(kazole) nimepewa taarifa ya kukutwa kwa miili ya watoto wawili wanaodaiwa kuwa na miaka kati ya 11 mpaka 14 ikiwa haina baadhi ya viungo.

Vyombo vya habari mpaka sasa sijasikia ikiripoti tokio lolote kati ya hayo juu au yanayo shaabiana na hayo.

Rai yangu kwa mamlaka husika tunaomba wanaotenda haya matukio muwashughulikie haraka sana watatumalizia watoto wetu na jamaazetu.
Inapaswa yafanyike maombii kusambaratisha VIKAO VYA SIRI
 
Kusimama mbele ya watu ili wakukubali sio mchezo, inahitajika ushirikina wa hali ya juu. Hata kama hujui kuongea unawekewa maneno mdomoni katika ulimwengu wa roho. Utakuta mtu hata shule hajaenda ila akikohoa tu kila mtu anamsikiliza.
 
Wakuu amani ya Mungu iwe nanyi.

Kumekua na taharuki kwa wakazi wa Temeke, Tandika, Mbagala na Vikindu kwa ujumla wake.

Imejitokeza sintofahamu ya watoto kupotea na kukutwa wakiwa wamefariki huku miili yao ikiwa haina baadhi ya viungo.

Majuma kadhaa yaliyopita maeneo ya Mbagala Mgeni nani miili ya watoto imekutwa huku baadhi ya viungo vikiwa havipo.

Wiki iliyoisha maeneo ya Tandika mtoto wa jirani yangu alikoswa kuchukuliwa na watekaji mara baada ya kufanya jaribio la kumteka mtoto, bahati nzuri mtoto alikimbia na kuja kusimulia kwa wazazi wake.

Juzi maeneo ya Kisemvule inaripotiwa mama mjamzito amekutwa amefariki huku sehemu zake za siri zikiwa zimenyofolewa.

Jana maeneo ya vikindu(kazole) nimepewa taarifa ya kukutwa kwa miili ya watoto wawili wanaodaiwa kuwa na miaka kati ya 11 mpaka 14 ikiwa haina baadhi ya viungo.

Vyombo vya habari mpaka sasa sijasikia ikiripoti tokio lolote kati ya hayo juu au yanayo shaabiana na hayo.

Rai yangu kwa mamlaka husika tunaomba wanaotenda haya matukio muwashughulikie haraka sana watatumalizia watoto wetu na jamaazetu.
Pelekeni polisi hizo taarifa.
 
Kusimama mbele ya watu ili wakukubali sio mchezo, inahitajika ushirikina wa hali ya juu. Hata kama hujui kuongea unawekewa maneno mdomoni katika ulimwengu wa roho. Utakuta mtu hata shule hajaenda ila akikohoa tu kila mtu anamsikiliza.
Huwenda hawa viongozi bila ya kufanya hivyo mdomo unajaa mate mbele ya halaiki
 
Ng'ombe na mbuzi mbona wapo wengi, wangetumia wanyama badala ya binaadamu
Huu ndiyo ujinga wa uchawi kwenye uongozi na utajiri, mara nyingi shughuli huanzia kwenye kuchinja, njiwa, kuku, mbuzi ngombe baadae vyote hivi shetani huvikataa, hivyo kuhitaji damu na viungo vya binadamu. Bullshit black magic, better white magic!
 
Back
Top Bottom