Imejitokeza sintofahamu ya watoto kupotea na kukutwa wakiwa wamefariki huku miili yao ikiwa haina baadhi ya viungo, mamlaka ichuke hatua stahiki

Imejitokeza sintofahamu ya watoto kupotea na kukutwa wakiwa wamefariki huku miili yao ikiwa haina baadhi ya viungo, mamlaka ichuke hatua stahiki

Wakuu amani ya Mungu iwe nanyi.

Kumekua na taharuki kwa wakazi wa Temeke, Tandika, Mbagala na Vikindu kwa ujumla wake.

Imejitokeza sintofahamu ya watoto kupotea na kukutwa wakiwa wamefariki huku miili yao ikiwa haina baadhi ya viungo.

Majuma kadhaa yaliyopita maeneo ya Mbagala Mgeni nani miili ya watoto imekutwa huku baadhi ya viungo vikiwa havipo.

Wiki iliyoisha maeneo ya Tandika mtoto wa jirani yangu alikoswa kuchukuliwa na watekaji mara baada ya kufanya jaribio la kumteka mtoto, bahati nzuri mtoto alikimbia na kuja kusimulia kwa wazazi wake.

Juzi maeneo ya Kisemvule inaripotiwa mama mjamzito amekutwa amefariki huku sehemu zake za siri zikiwa zimenyofolewa.

Jana maeneo ya vikindu(kazole) nimepewa taarifa ya kukutwa kwa miili ya watoto wawili wanaodaiwa kuwa na miaka kati ya 11 mpaka 14 ikiwa haina baadhi ya viungo.

Vyombo vya habari mpaka sasa sijasikia ikiripoti tokio lolote kati ya hayo juu au yanayo shaabiana na hayo.

Rai yangu kwa mamlaka husika tunaomba wanaotenda haya matukio muwashughulikie haraka sana watatumalizia watoto wetu na jamaazetu.
Wizara husika zinasemaje
Wanasiasa nao hasa wanaotegemea kura na majukwaa ya udanganyifu wanasemaje
 
haya matukio yamekua yakijitokeza hasa majira haya ya chaguzi.
Tuyakemee kwa pamoja
Mwanasiasa ambaye amethibitika kwenda kwa waganga ni yule mtemi fulani ambaye anatumia majina ya watu kwenye vyeti vyake (nashangaa kwanini hakutumbuliwa kipindi Cha vyeti feki) Kipindi Cha nyuma alikua na mchepuko wa kipare, Ni mrefu, mpenda sifa na mpenda ugomvi hasa na watu waliomzidi pesa, anapenda kukopakopa na akikataliwa anakua mbogo.
 
Kuna vitu ni aibu kwa nchi wameona wizi wa rasilimali hautoshi mpaka na damu zetu wanataka tena, wanasiasa wa kiafrika ni mashetani kabisa
 
Juzi alipotea baby girl 8yrs old alichukuliwa na boda eti.karudi Leo na chupi mpya.mamake alienda Hadi mochwari aliambiwa kuna watoto watatu maiti zimepokelewa. Katoka mochwari kakutana na mtoto njiani.sijui hata umekuaje maana nimeumia mno
 
Juzi alipotea baby girl 8yrs old alichukuliwa na boda eti.karudi Leo na chupi mpya.mamake alienda Hadi mochwari aliambiwa kuna watoto watatu maiti zimepokelewa. Katoka mochwari kakutana na mtoto njiani.sijui hata umekuaje maana nimeumia mno
Mungu wangu
 
Juzi alipotea baby girl 8yrs old alichukuliwa na boda eti.karudi Leo na chupi mpya.mamake alienda Hadi mochwari aliambiwa kuna watoto watatu maiti zimepokelewa. Katoka mochwari kakutana na mtoto njiani.sijui hata umekuaje maana nimeumia mno

Inasikitisha sana ,binadamu wana tamaa sana.
 
Kusimama mbele ya watu ili wakukubali sio mchezo, inahitajika ushirikina wa hali ya juu. Hata kama hujui kuongea unawekewa maneno mdomoni katika ulimwengu wa roho. Utakuta mtu hata shule hajaenda ila akikohoa tu kila mtu anamsikiliza.
Wewe na wenzako wanaoamini Kama wewe ndio chanzo kikuu cha matukio haya kuwepo.

Kwamba bila ushirikina huwezi kuaminika kwa jamii yako?

Hujui kujieleza ama matendo yako maovu na machafu yamefuta Imani ya jamii juu yako.

Achana na Ushirikina, umeumbwa kamili, unaweza chochote ukiamua, sio mpaka ukaroge!
 
Huwa nashangaa sana watanzania wanavyo jitapa kimataifa kwamba Tanzania ni nchi ya Amani.

Yani hata kwenye Top mia ya nchi zenye Amani duniani, Tanzania haipo na haifai kuwepo.

Hii Amani tunayo hubiriwa ni Amani uchwara.

Nioneshe top 100 ya nchi zenye amani duniani
 
Wakuu amani ya Mungu iwe nanyi.

Kumekua na taharuki kwa wakazi wa Temeke, Tandika, Mbagala na Vikindu kwa ujumla wake.

Imejitokeza sintofahamu ya watoto kupotea na kukutwa wakiwa wamefariki huku miili yao ikiwa haina baadhi ya viungo.

Majuma kadhaa yaliyopita maeneo ya Mbagala Mgeni nani miili ya watoto imekutwa huku baadhi ya viungo vikiwa havipo.

Wiki iliyoisha maeneo ya Tandika mtoto wa jirani yangu alikoswa kuchukuliwa na watekaji mara baada ya kufanya jaribio la kumteka mtoto, bahati nzuri mtoto alikimbia na kuja kusimulia kwa wazazi wake.

Juzi maeneo ya Kisemvule inaripotiwa mama mjamzito amekutwa amefariki huku sehemu zake za siri zikiwa zimenyofolewa.

Jana maeneo ya vikindu(kazole) nimepewa taarifa ya kukutwa kwa miili ya watoto wawili wanaodaiwa kuwa na miaka kati ya 11 mpaka 14 ikiwa haina baadhi ya viungo.

Vyombo vya habari mpaka sasa sijasikia ikiripoti tokio lolote kati ya hayo juu au yanayo shaabiana na hayo.

Rai yangu kwa mamlaka husika tunaomba wanaotenda haya matukio muwashughulikie haraka sana watatumalizia watoto wetu na jamaazetu.

Allah atulinde

Tusubiri taarifa rasmi kutoka kwa vyombo vinavyohusika na mamlaka husika pamoja na ufafanuzi.

Dkt. Gwajima D kwa sababu naona inahusu watoto, je, mna taarifa yoyote kuhusu hili?
 
Back
Top Bottom