RWANDES
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 1,788
- 4,401
Leo katika maadhimisho ya baba wa taifa hayati Julius Kambarage Nyerere amefanyiwa ibada na viongozi mbalimbali mkoani Kagera akiwemo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania SAMIA SULUHU HASSAN.
Minongo'no mikubwa imekuja baada ya yeye kupewa kiti chake kwenye nyumba ya ibada. Hii naona kama nyumba ya ibada haiaminiki kwa kile kilichofanyika ka sababu ya usalaama wake? Au hii ni kawaida kwa kiongozi mkuu wa nchi.
Au kitendo kilichofanyika ni kawaida kwa mkuu wa nchi kupewa kiti chake?
Nimeuliza tu iliniweze kufahamu kama jambo hili ni la kawaida kwa wakuu wa nchi kuingia kwenye nyumba ya ibada na viti vyao.
Minongo'no mikubwa imekuja baada ya yeye kupewa kiti chake kwenye nyumba ya ibada. Hii naona kama nyumba ya ibada haiaminiki kwa kile kilichofanyika ka sababu ya usalaama wake? Au hii ni kawaida kwa kiongozi mkuu wa nchi.
Au kitendo kilichofanyika ni kawaida kwa mkuu wa nchi kupewa kiti chake?
Nimeuliza tu iliniweze kufahamu kama jambo hili ni la kawaida kwa wakuu wa nchi kuingia kwenye nyumba ya ibada na viti vyao.