Imekaaje Rais Samia kwenda na kiti chake kwenye ibada leo tarehe 14.10.2022 mkoani Kagera?

Imekaaje Rais Samia kwenda na kiti chake kwenye ibada leo tarehe 14.10.2022 mkoani Kagera?

RWANDES

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2019
Posts
1,788
Reaction score
4,401
Leo katika maadhimisho ya baba wa taifa hayati Julius Kambarage Nyerere amefanyiwa ibada na viongozi mbalimbali mkoani Kagera akiwemo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania SAMIA SULUHU HASSAN.
Minongo'no mikubwa imekuja baada ya yeye kupewa kiti chake kwenye nyumba ya ibada. Hii naona kama nyumba ya ibada haiaminiki kwa kile kilichofanyika ka sababu ya usalaama wake? Au hii ni kawaida kwa kiongozi mkuu wa nchi.

Au kitendo kilichofanyika ni kawaida kwa mkuu wa nchi kupewa kiti chake?

Nimeuliza tu iliniweze kufahamu kama jambo hili ni la kawaida kwa wakuu wa nchi kuingia kwenye nyumba ya ibada na viti vyao.

FB_IMG_1665764188616.jpg
 
Leo katika maadhimisho ya baba wa taifa hayati Julius Kambarage Nyerere amefanyiwa ibada na viongozi mbalimbali mkoani Kagera akiwemo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania SAMIA SULUHU HASSAN.
Minongo'no mikubwa imekuja baada ya yeye kupewa kiti chake kwenye nyumba ya ibada. Hii naona kama nyumba ya ibada haiaminiki kwa kile kilichofanyika ka sababu ya usalaama wake? Au hii ni kawaida kwa kiongozi mkuu wa nchi.

Au kitendo kilichofanyika ni kawaida kwa mkuu wa nchi kupewa kiti chake?

Nimeuliza tu iliniweze kufahamu kama jambo hili ni la kawaida kwa wakuu wa nchi kuingia kwenye nyumba ya ibada na viti vyao.

View attachment 2387240
Ukicheza tu vibaya na madhabahu, iwe kwa maneno au kwa vitendo, hauchelewi kuwa "one term president"

Ni bora kutàfuta uwakilishi, kuliko kuonyesha wewe kuwa ni maarufu na mkuu katika nyumba hizi za ibada. Yule mwenye kujiinua nafsi yake hutezwa, na mwenye kijishusha nafsi yake mbele za Mungu huinuliwa.
 
Ukicheza tu vibaya na madhabahu, iwe kwa maneno au kwa vitendo, hauchelewi kuwa "one term president"

Ni bora kutàfuta uwakilishi, kuliko kuonyesha wewe kuwa ni maarufu na mkuu katika nyumba hizi za ibada. Yule mwenye kujiinua nafsi yake hutezwa, na mwenye kijishusha nafsi yake mbele za Mungu huinuliwa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Chalamila bwana. Ameshamjua mama ni mtu wa kupenda makuzi ndio maana kavaa shati lenye picha ya samia badala ya nyerere. Hapo kwa akili ya chalamila ni kama anamsanifu tu.
 
Kwa siasa hizi za leo, atembee hata na chakula chake kwenye pot, mijitu ya yule jamaa bado roho imejikunja sana.
 
au anaogopa asije akakalia benchinkavu akaota sugu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Chalamila naona kaamua kuvaa kitenge Chenye picha picha Sura ya mama
 
Leo katika maadhimisho ya baba wa taifa hayati Julius Kambarage Nyerere amefanyiwa ibada na viongozi mbalimbali mkoani Kagera akiwemo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania SAMIA SULUHU HASSAN.
Minongo'no mikubwa imekuja baada ya yeye kupewa kiti chake kwenye nyumba ya ibada. Hii naona kama nyumba ya ibada haiaminiki kwa kile kilichofanyika ka sababu ya usalaama wake? Au hii ni kawaida kwa kiongozi mkuu wa nchi.

Au kitendo kilichofanyika ni kawaida kwa mkuu wa nchi kupewa kiti chake?

Nimeuliza tu iliniweze kufahamu kama jambo hili ni la kawaida kwa wakuu wa nchi kuingia kwenye nyumba ya ibada na viti vyao.

View attachment 2387240
Hana Imani uoga ndo umetanda. Anayotenda hayamfuraishi mtu yoyote.

Anaogopa kutangulizwa mbele ya haki kama mtangulizi wake.


Hana uhakika na kazi yake. Masdui ni wengi kuliko marafiki
 
Limevaa shati lenye picha ya mke wa mtu.. Huyu jamaa inaonekana mke wake hana wivu kabisa😂😂
Chalamila bwana. Ameshamjua mama ni mtu wa kupenda makuzi ndio maana kavaa shati lenye picha ya samia badala ya nyerere. Hapo kwa akili ya chalamila ni kama anamsanifu tu.
Hivi jamaa amewafanya nini?Mbona ni mtu wa masihara yasiyokera?Muacheni jamani!Khaaa!🤔🤔🤔🤔
 
Back
Top Bottom