Imekaaje Rais Samia kwenda na kiti chake kwenye ibada leo tarehe 14.10.2022 mkoani Kagera?

Imekaaje Rais Samia kwenda na kiti chake kwenye ibada leo tarehe 14.10.2022 mkoani Kagera?

Kiprotokali, Kiusalama na kwa Tukio husika la Kiongozi wa Nchi GENTAMYCINE sijaona tatizo lolote lile la Rais Samia (Muislamu) kuingia Kanisani (Ibadani) pamoja na Kiti (Viti) akiwa na Makamu wa Rais Dk. Philip Mpango katika Nyerere Day ya Jana huko kwa Watani zangu Wapendwa Wahaya Mkoani Kagera (Bukoba)

Ni kweli huyu Mama (Rais) huwa tunamkosoa sana (nami nikiwemo) tukiwa na Lengo la Kumjenga kwakuwa tunampenda ila naanza kuona Sasa kuwa Watanzania tunaanza Kumuonea na kuwa na Nongwa zetu za ama Kiimani (Dini) na Wivu wetu.

Hivi Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, Hayati Rais Mstaafu Mkapa na Hayati Rais Dk. Magufuli tena Wote wakiwa ni Wakristo Wakatoliki Wenzangu walikuwa hawaingii Misikitini?

Mbona Hayati Rais Dk. Magufuli alikuwa hadi anaingia Misikitini na 'Mamitambo' mengi ya Kiusalama kutoka kwa Watendaji wake na mlikuwa hamsemi chochote na iweje leo iwe Nongwa kwa Rais Samia kufanya hivyo Kanisani?

GENTAMYCINE ni Mtu wa Haki na Ukweli halafu sipendi Unafiki au kuona Mtu asiye na Kosa ama anaonewa au anasakamwa kwa mambo ya Kipumbavu (Kijuha) kutoka kwa Wapuuzi.

Mwacheni Mama (Rais Samia) afanye Kazi na kama ni Kumkosoa basi kuwe ni kwa Tija ili Kumjenga na Kumsaidia na siyo Kumsakama na Kumuonea tu kwa kila Kitu akifanyacho.

Kwako Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan tafadhali nakuomba tuzoee tu Sisi (Miswahili) kwani hatuna Jema wala Shukran hivyo Wewe endelea tu kuchapa Kazi na tambua ya kuwa Wanao Tukuka akina GENTAMYCINE tuko nyuma yako na tunakukubali na hata ukiniona nakupiga Dongo jua nataka tu Kukusahihisha mahala ila sikuchukii kabisa hata Malaika wa Mbinguni wanajua.

Macho na Masikio yote tu ni Sudan!!!
Uzuri Rais au serikali ishawajua watanzania wengi Wana ugonjwa wa akili, kwahiyo Wala usidhani Kama wanawafuatilia hizo kelele zao,

Walishupalia suala la Tozoo, sasaivi washalisahau wamerukia ishu ya Masanja na mkewe, na tayari wanajifanya wao Wana DNA za macho tu kujua baba halisi wa kila mtoto,
Sasa mkuu GENTAMYCINE hao watu utasema wazima kichwani?
 
Uzuri Rais au serikali ishawajua watanzania wengi Wana ugonjwa wa akili, kwahiyo Wala usidhani Kama wanawafuatilia hizo kelele zao,

Walishupalia suala la Tozoo, sasaivi washalisahau wamerukia ishu ya Masanja na mkewe, na tayari wanajifanya wao Wana DNA za macho tu kujua baba halisi wa kila mtoto,
Sasa mkuu GENTAMYCINE hao watu utasema wazima kichwani?
Cc: Mdini wa Kutukuka Tate Mkuu
 
Magufuli aliingia msikiti gani na hayo mamitambo ya usalama? Maana nakumbuka mara nyingi aliwakilishwa na Waziri Mkuu wake. Na wakati huo huo yeye mwenyewe alipohudhuria ibada Kanidani, mara zote hakwenda na kiti chake! Badala yake alikaa kwenye madawati ya kawaida kabisa awapo Kanisani kama waumini wengine.

Kwa taarifa yako, hili suala la Marais kuwa na Viti vyao maalum kanisani! Limekuwa likijitokeza zaidi kwa Marais kutoka imani nyingine!

Na kama ulikuwa hufahamu, Askofu Ngararekumtwa wa Jimbo la Iringa enzi za awamu ya nne, na akiwa ni rais wa Baraza la Maaskofu (TEC), alishawahi kumzuia Rais wa wakati huo kuingia na kiti chake Kanisani! Na huyo Rais alilazimika kuahirisha kuhudhuria hilo tukio. Maana kwa Kanisa, hiyo ni dharau.
Mkapimwe afya ya akili, huko kanisani watu wanaingia nusu uchi hamlalamiki
 
Ni kama tu wewe unavyo waogopa LIKUD na Selemani Matola.
Thubutu..... Moto wangu wanaujua na nimeshawaambia kama wanataka Words Battle na Mimi nisiye na Mpinzani hapa JamiiForums wasiwe wanakimbilia UN ( kwa Moderators ) Kunishtaki ili niadhibiwe bali wawe Wanapambana wao kama wao ili Niwanyooshe vizuri.
 
Magufuli aliingia msikiti gani na hayo mamitambo ya usalama? Maana nakumbuka mara nyingi aliwakilishwa na Waziri Mkuu wake. Na wakati huo huo yeye mwenyewe alipohudhuria ibada Kanidani, mara zote hakwenda na kiti chake! Badala yake alikaa kwenye madawati ya kawaida kabisa awapo Kanisani kama waumini wengine.

Kwa taarifa yako, hili suala la Marais kuwa na Viti vyao maalum kanisani! Limekuwa likijitokeza zaidi kwa Marais kutoka imani nyingine!

Na kama ulikuwa hufahamu, Askofu Ngararekumtwa wa Jimbo la Iringa enzi za awamu ya nne, na akiwa ni rais wa Baraza la Maaskofu (TEC), alishawahi kumzuia Rais wa wakati huo kuingia na kiti chake Kanisani! Na huyo Rais alilazimika kuahirisha kuhudhuria hilo tukio. Maana kwa Kanisa, hiyo ni dharau.
Mkuu, mimi nitakuuliza, jana Samia aliingia kanisani kama muumini wa dhehebu au kama Rais wa JMT?

Umetoa mfano wa Magufuli kwenda kanisani, Magufuli alikuwa anaenda kanisani kama Rais wa kama muumini wa kawaida?
 
Mkuu, mimi nitakuuliza, jana Samia aliingia kanisani kama muumini wa dhehebu au kama Rais wa JMT?

Umetoa mfano wa Magufuli kwenda kanisani, Magufuli alikuwa anaenda kanisani kama Rais wa kama muumini wa kawaida?
Akikujibu ipasavyo naenda Kunya ( Kuukweka ) Mubashara ( Live ) kabisa MP 1 Lugalo Dar es Salaam au 92KJ Sanga Sanga Morogoro mchana huu kweupe.
 
Magufuli aliingia msikiti gani na hayo mamitambo ya usalama? Maana nakumbuka mara nyingi aliwakilishwa na Waziri Mkuu wake. Na wakati huo huo yeye mwenyewe alipohudhuria ibada Kanidani, mara zote hakwenda na kiti chake! Badala yake alikaa kwenye madawati ya kawaida kabisa awapo Kanisani kama waumini wengine.

Kwa taarifa yako, hili suala la Marais kuwa na Viti vyao maalum kanisani! Limekuwa likijitokeza zaidi kwa Marais kutoka imani nyingine!

Na kama ulikuwa hufahamu, Askofu Ngararekumtwa wa Jimbo la Iringa enzi za awamu ya nne, na akiwa ni rais wa Baraza la Maaskofu (TEC), alishawahi kumzuia Rais wa wakati huo kuingia na kiti chake Kanisani! Na huyo Rais alilazimika kuahirisha kuhudhuria hilo tukio. Maana kwa Kanisa, hiyo ni dharau.
Lakini haikuwa sahihi kumlazimisha Mpango nae awe na kiti ili mpate uhalali wa yale mliyokusudia kuyafanya, Dkt Mpango tunamuona sana kanisani wala haendagi na kiti chake kwenye ibada ila juzi kwakuwa nyie hamkutaka kukaa kwenye mabenchi mkaona nayeye lazima awekewe kweli haya!
8d6ecc81-432f-41de-91d8-590ad71383b7.jpg
 
Lakini haikuwa sahihi kumlazimisha Mpango nae awe na kiti ili mpate uhalali wa yale mliyokusudia kuyafanya, Dkt Mpango tunamuona sana kanisani wala haendagi na kiti chake kwenye ibada ila juzi kwakuwa nyie hamkutaka kukaa kwenye mabenchi mkaona nayeye lazima awekewe kweli haya!View attachment 2387712
I never knew that even you can discuss Minor issue like this. As a Nation and Intellectuals We still have a long way to go.
 
Magufuli aliingia msikiti gani na hayo mamitambo ya usalama? Maana nakumbuka mara nyingi aliwakilishwa na Waziri Mkuu wake. Na wakati huo huo yeye mwenyewe alipohudhuria ibada Kanidani, mara zote hakwenda na kiti chake! Badala yake alikaa kwenye madawati ya kawaida kabisa awapo Kanisani kama waumini wengine.

Kwa taarifa yako, hili suala la Marais kuwa na Viti vyao maalum kanisani! Limekuwa likijitokeza zaidi kwa Marais kutoka imani nyingine!

Na kama ulikuwa hufahamu, Askofu Ngararekumtwa wa Jimbo la Iringa enzi za awamu ya nne, na akiwa ni rais wa Baraza la Maaskofu (TEC), alishawahi kumzuia Rais wa wakati huo kuingia na kiti chake Kanisani! Na huyo Rais alilazimika kuahirisha kuhudhuria hilo tukio. Maana kwa Kanisa, hiyo ni dharau.
Huyo aliekuwa anagoma kutembea na kiti chake yuko wapi leo......sisi watu wa usalama tuna kauli mbiu yetu isemayo "usalama kwanza"
 
Kiprotokali, Kiusalama na kwa Tukio husika la Kiongozi wa Nchi GENTAMYCINE sijaona tatizo lolote lile la Rais Samia (Muislamu) kuingia Kanisani (Ibadani) pamoja na Kiti (Viti) akiwa na Makamu wa Rais Dk. Philip Mpango katika Nyerere Day ya Jana huko kwa Watani zangu Wapendwa Wahaya Mkoani Kagera (Bukoba)

Ni kweli huyu Mama (Rais) huwa tunamkosoa sana (nami nikiwemo) tukiwa na Lengo la Kumjenga kwakuwa tunampenda ila naanza kuona Sasa kuwa Watanzania tunaanza Kumuonea na kuwa na Nongwa zetu za ama Kiimani (Dini) na Wivu wetu.

Hivi Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, Hayati Rais Mstaafu Mkapa na Hayati Rais Dk. Magufuli tena Wote wakiwa ni Wakristo Wakatoliki Wenzangu walikuwa hawaingii Misikitini?

Mbona Hayati Rais Dk. Magufuli alikuwa hadi anaingia Misikitini na 'Mamitambo' mengi ya Kiusalama kutoka kwa Watendaji wake na mlikuwa hamsemi chochote na iweje leo iwe Nongwa kwa Rais Samia kufanya hivyo Kanisani?

GENTAMYCINE ni Mtu wa Haki na Ukweli halafu sipendi Unafiki au kuona Mtu asiye na Kosa ama anaonewa au anasakamwa kwa mambo ya Kipumbavu (Kijuha) kutoka kwa Wapuuzi.

Mwacheni Mama (Rais Samia) afanye Kazi na kama ni Kumkosoa basi kuwe ni kwa Tija ili Kumjenga na Kumsaidia na siyo Kumsakama na Kumuonea tu kwa kila Kitu akifanyacho.

Kwako Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan tafadhali nakuomba tuzoee tu Sisi (Miswahili) kwani hatuna Jema wala Shukran hivyo Wewe endelea tu kuchapa Kazi na tambua ya kuwa Wanao Tukuka akina GENTAMYCINE tuko nyuma yako na tunakukubali na hata ukiniona nakupiga Dongo jua nataka tu Kukusahihisha mahala ila sikuchukii kabisa hata Malaika wa Mbinguni wanajua.

Macho na Masikio yote tu ni Sudan!!!
Umeongea point at list
 
Kiprotokali, Kiusalama na kwa Tukio husika la Kiongozi wa Nchi GENTAMYCINE sijaona tatizo lolote lile la Rais Samia (Muislamu) kuingia Kanisani (Ibadani) pamoja na Kiti (Viti) akiwa na Makamu wa Rais Dk. Philip Mpango katika Nyerere Day ya Jana huko kwa Watani zangu Wapendwa Wahaya Mkoani Kagera (Bukoba)

Ni kweli huyu Mama (Rais) huwa tunamkosoa sana (nami nikiwemo) tukiwa na Lengo la Kumjenga kwakuwa tunampenda ila naanza kuona Sasa kuwa Watanzania tunaanza Kumuonea na kuwa na Nongwa zetu za ama Kiimani (Dini) na Wivu wetu.

Hivi Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, Hayati Rais Mstaafu Mkapa na Hayati Rais Dk. Magufuli tena Wote wakiwa ni Wakristo Wakatoliki Wenzangu walikuwa hawaingii Misikitini?

Mbona Hayati Rais Dk. Magufuli alikuwa hadi anaingia Misikitini na 'Mamitambo' mengi ya Kiusalama kutoka kwa Watendaji wake na mlikuwa hamsemi chochote na iweje leo iwe Nongwa kwa Rais Samia kufanya hivyo Kanisani?

GENTAMYCINE ni Mtu wa Haki na Ukweli halafu sipendi Unafiki au kuona Mtu asiye na Kosa ama anaonewa au anasakamwa kwa mambo ya Kipumbavu (Kijuha) kutoka kwa Wapuuzi.

Mwacheni Mama (Rais Samia) afanye Kazi na kama ni Kumkosoa basi kuwe ni kwa Tija ili Kumjenga na Kumsaidia na siyo Kumsakama na Kumuonea tu kwa kila Kitu akifanyacho.

Kwako Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan tafadhali nakuomba tuzoee tu Sisi (Miswahili) kwani hatuna Jema wala Shukran hivyo Wewe endelea tu kuchapa Kazi na tambua ya kuwa Wanao Tukuka akina GENTAMYCINE tuko nyuma yako na tunakukubali na hata ukiniona nakupiga Dongo jua nataka tu Kukusahihisha mahala ila sikuchukii kabisa hata Malaika wa Mbinguni wanajua.

Macho na Masikio yote tu ni Sudan!!!
Kwa hili nakushauri tena soma unachotetea Vs Wanachokosoa kama vinaendana. Kiti cha Rais ni mamlaka, na Kanisa ni mamlaka pia. Kupeleka kiti cha Urais kanisani ni kama kupqmbanisha mamlaka. Unapoingia kwenye nyumba ya ibada unakuwa chini ya mamlaka ya Kanisa. Ndo maana ratiba inayofuatwa humo ni ya Kanisa na siyo ya Serikali. Mimi Huwa sifutilii vitu vidogo, lakini kwangu Jambo la kiimani ni kubwa Sana. Sijawahi kumuona Kikwete kaingia msikitini akaomba Mswala wake toka Ikulu. Hata Samia ameenda msikitini akiwa anakaa kwenye Mswala wa msikiti husika. Tuwashauri viongozi wetu unyenyekevu kwenye masuala ya kiimani na hasa unapoona jnahudhuria Imani isiyo yako unatakiwa kuwa makini Sana.
Umeiona picha ya Hichilema na ya Baideni wakiwa kanisani? Hawakupungukiwa chochote kukalia mabenchi Kwa Muda mfupi kuonyesha usawa wa kibinadamu mbele Mungu.
Taratibu tutaanza kuona Waziri Mkuu akienda kumsalimia Mbunge mgonjwa hospitali kinabebwa kiti cha Ikulu.
 
Back
Top Bottom