Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unachagulia watu habari za kujadili? Tatizo unalo wewe bila shaka.
Ila hii Nchi sijui ina tatizo gani.
Yani kiti chake Rais kuwa Kanisani imekuwa habari, tena nimeona hadi viongozi wa CHADEMA wanahoji.
Ukuu wa kidunia kuuleta kanisani ni dharau, ukiingia ukuu wa kidunia unauacha nje.
Ila hii Nchi sijui ina tatizo gani.
Yani kiti chake Rais kuwa Kanisani imekuwa habari, tena nimeona hadi viongozi wa CHADEMA wanahoji.
Unachagulia watu habari za kujadili? Tatizo unalo wewe bila shaka.
Ukuu wa kidunia kuuleta kanisani ni dharau, ukiingia ukuu wa kidunia unauacha nje.
Hizi protocol ni ndani ya nchi tu, Mbona huko nje haendi na hicho kiti?Protocol tu hizo
Wakati mwingine nashindwa kuelewa msingi wa haya malalamiko, mengi mpaka kuhusu viti.Magufuli aliingia msikiti gani na hayo mamitambo ya usalama? Maana nakumbuka mara nyingi aliwakilishwa na Waziri Mkuu wake. Na wakati huo huo yeye mwenyewe alipohudhuria ibada Kanidani, mara zote hakwenda na kiti chake! Badala yake alikaa kwenye madawati ya kawaida kabisa awapo Kanisani kama waumini wengine.
Kwa taarifa yako, hili suala la Marais kuwa na Viti vyao maalum kanisani! Limekuwa likijitokeza zaidi kwa Marais kutoka imani nyingine!
Na kama ulikuwa hufahamu, Askofu Ngararekumtwa wa Jimbo la Iringa enzi za awamu ya nne, na akiwa ni rais wa Baraza la Maaskofu (TEC), alishawahi kumzuia Rais wa wakati huo kuingia na kiti chake Kanisani! Na huyo Rais alilazimika kuahirisha kuhudhuria hilo tukio. Maana kwa Kanisa, hiyo ni dharau.
Yaani kiufupi hatutaki mje na hivyo viti vyenu Kanisani kwetu. Kama hamuwezi kuviacha huko kwenye ofisi/magari yenu, basi muache kuingia Kanisani kwetu.Wakati mwingine nashindwa kuelewa msingi wa haya malalamiko, mengi mpaka kuhusu viti.
Hivi tunashindania vitu vidogo ili iweje? tangu lini mkristu akawa wa kuhangaikia haya mambo ya ulimwengu? mnaenda kinyume na maandiko!.
Mkristu ameshaambiwa kwenye maandiko, aheshimu mamlaka zilizopo, sasa kama mamlaka zimeamua kuingia na kiti chao shida inatokea wapi? ajabu mnaanza kushindana na mamlaka!.
Tatizo linakuwa kubwa kama chimbuko la jambo huwa ni wanasiasa, hivyo mashabiki wa vyama husika hujikuta wanaingia kwenye malumbano bila kuruhusu bongo zao kutafakari, hivyo kuishia kuchotwa akili na wanasiasa.
Did he tell you that I'm his Spokesperson / Spokesman?Mwamposa sijamuona jana kawe vipi ndo mmemfukuza baba yetu apo kawe..?😃😃
Where do you get time to waste Educating that authentic Moron on this Platform?Wakati mwingine nashindwa kuelewa msingi wa haya malalamiko, mengi mpaka kuhusu viti.
Hivi tunashindania vitu vidogo ili iweje? tangu lini mkristu akawa wa kuhangaikia haya mambo ya ulimwengu? mnaenda kinyume na maandiko!.
Mkristu ameshaambiwa kwenye maandiko, aheshimu mamlaka zilizopo, sasa kama mamlaka zimeamua kuingia na kiti chao shida inatokea wapi? ajabu mnaanza kushindana na mamlaka!.
Tatizo linakuwa kubwa kama chimbuko la jambo huwa ni wanasiasa, hivyo mashabiki wa vyama husika hujikuta wanaingia kwenye malumbano bila kuruhusu bongo zao kutafakari, hivyo kuishia kuchotwa akili na wanasiasa.
Magufuli kaingia sana tu msikitini mnonaMagufuli aliingia msikiti gani na hayo mamitambo ya usalama? Maana nakumbuka mara nyingi aliwakilishwa na Waziri Mkuu wake. Na wakati huo huo yeye mwenyewe alipohudhuria ibada Kanidani, mara zote hakwenda na kiti chake! Badala yake alikaa kwenye madawati ya kawaida kabisa awapo Kanisani kama waumini wengine.
Kwa taarifa yako, hili suala la Marais kuwa na Viti vyao maalum kanisani! Limekuwa likijitokeza zaidi kwa Marais kutoka imani nyingine!
Na kama ulikuwa hufahamu, Askofu Ngararekumtwa wa Jimbo la Iringa enzi za awamu ya nne, na akiwa ni rais wa Baraza la Maaskofu (TEC), alishawahi kumzuia Rais wa wakati huo kuingia na kiti chake Kanisani! Na huyo Rais alilazimika kuahirisha kuhudhuria hilo tukio. Maana kwa Kanisa, hiyo ni dharau.