Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
Nioneshe na kiti chake cha Urais alichokalia, kama wanavyofanya kwenye makanisa yetu, hao ndugu zenu katika imaan.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nioneshe na kiti chake cha Urais alichokalia, kama wanavyofanya kwenye makanisa yetu, hao ndugu zenu katika imaan.
Uko uingereza nini mkuu sijawaHi kuona ukipiga un'gen'ge hata siku moja imekuaje leoDid he tell you that I'm his Spokesperson / Spokesman?
Jikite kwenye hoja. Maana dakika 0 tu hapa utaanza kuwalilia Mods, kutokana na tabia yako ya kupenda kudeka kama katoto ka mwisho!Did he tell you that I'm his Spokesperson / Spokesman?
Tuwekee ushahidi huo acha UDINI kenge wewe.Wewe popoma jibu hoja! Magufuli alikuwa anaingia na kiti chake Kanisani, au huko msikitini kama alivyofanya huyu mama?
Na unafahamu huo utaratibu wa kuingia na viti maalum vya Urais kwenye makanisa ya Kikatoliki hufanywa na Marais ambao ni Waislam? JK alijaribu kufanya hivi, akazuiliwa na na Askofu wa Jimbo la Iringa na rais wa TEC wa wakati huo!
Jibu hoja! Badala ya kujipendekeza na kuendeleza ule unafiki wako wa miaka nenda.
Mkuu kumbe na Wewe huwa unakuwa na muda wa Kujibizana na 'Mental Case' kama huyo?
Muongezee lingine tafadhali hilo halijamtosha.Tuwekee ushahidi huo acha UDINI kenge wewe.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Muongezee lingine tafadhali hilo halijamtosha.
Nikuwekee ushahidi wa nini wewe Mbulukenge na wakati kila kitu kinaonekana? Ushahidi kama na wewe ni popoma kama huyo popoma mwenzako!Tuwekee ushahidi huo acha UDINI kenge wewe.
Uwongo mwingineMagufuli aliingia msikiti gani na hayo mamitambo ya usalama? Maana nakumbuka mara nyingi aliwakilishwa na Waziri Mkuu wake. Na wakati huo huo yeye mwenyewe alipohudhuria ibada Kanidani, mara zote hakwenda na kiti chake! Badala yake alikaa kwenye madawati ya kawaida kabisa awapo Kanisani kama waumini wengine.
Kwa taarifa yako, hili suala la Marais kuwa na Viti vyao maalum kanisani! Limekuwa likijitokeza zaidi kwa Marais kutoka imani nyingine!
Na kama ulikuwa hufahamu, Askofu Ngararekumtwa wa Jimbo la Iringa enzi za awamu ya nne, na akiwa ni rais wa Baraza la Maaskofu (TEC), alishawahi kumzuia Rais wa wakati huo kuingia na kiti chake Kanisani! Na huyo Rais alilazimika kuahirisha kuhudhuria hilo tukio. Maana kwa Kanisa, hiyo ni dharau.
Kumuuliza Mtu kuwa kaambiwa Mimi ni Msemaji wa Mwamposa ndiyo Tusi / Kutukana?Jikite kwenye hoja. Maana dakika 0 tu hapa utaanza kuwalilia Mods, kutokana na tabia yako ya kupenda kudeka kama katoto ka mwisho!
Unaanza kutukana, ukijibiwa unakimbilia kuomba huruma ya wana jukwaa na Moderator.
Umeshindwa kujenga hoja, umebakia kujambajamba tu.Mkuu kumbe na Wewe huwa unakuwa na muda wa Kujibizana na 'Mental Case' kama huyo?
CARDLESS nakuaminia usikubali hebu mpe Dozi nyingine na hakikisha ya sasa hivi iwe ni Kali ili akuheshimu Milele Daima Amina.Nikuwekee ushahidi wa nini wewe Mbulukenge na wakati kila kitu kinaonekana? Ushahidi kama na wewe ni popoma kama huyo popoma mwenzako!
Yaani uache kwenda wewe ambaye kila mtu anafahamu tatizo lako! Niende mimi ambaye kila mtu anafahamu nipo mentally fit!!Kumuuliza Mtu kuwa kaambiwa Mimi ni Msemaji wa Mwamposa ndiyo Tusi / Kutukana?
Tafadhali utakuwa Unaugua Akili sema tu hujajigundua ila tuliokugundua tunakushauri wahi Mirembe Mental Hospital Mkoani Dodoma ukaanze Matibabu yako ya awali sawa?
Wewe hujambi?Umeshindwa kujenga hoja, umebakia kujambajamba tu.
Mwendawazimu huwa anajitambua?Yaani uache kwenda wewe ambaye kila mtu anafahamu tatizo lako! Niende mimi ambaye kila mtu anafahamu nipo mentally fit!!
'Anayekuweka' Kanifundisha.Uko uingereza nini mkuu sijawaHi kuona ukipiga un'gen'ge hata siku moja imekuaje leo
Wewe ni JUHAWakati mwingine nashindwa kuelewa msingi wa haya malalamiko, mengi mpaka kuhusu viti.
Hivi tunashindania vitu vidogo ili iweje? tangu lini mkristu akawa wa kuhangaikia haya mambo ya ulimwengu? mnaenda kinyume na maandiko!.
Mkristu ameshaambiwa kwenye maandiko, aheshimu mamlaka zilizopo, sasa kama mamlaka zimeamua kuingia na kiti chao shida inatokea wapi? ajabu mnaanza kushindana na mamlaka!.
Tatizo linakuwa kubwa kama chimbuko la jambo huwa ni wanasiasa, hivyo mashabiki wa vyama husika hujikuta wanaingia kwenye malumbano bila kuruhusu bongo zao kutafakari, hivyo kuishia kuchotwa akili na wanasiasa.
Kwahiyo CARDLESS ni Ng'ombe? Ngoja nikusakizie aje akupe Dozi unyooke. Usikimbie tu sawa?Wewe popoma, hakuna ng'ombe wa kupambana na mimi kwa maneno.
Aisee jamaa yangu popoma, poa bhana. Nikutakie asubuhi njema. Mimi naenda kujitafutia riziki. Wewe endelea kuwashughulikia wanyonge wako.Mwendawazimu huwa anajitambua?