Imekaaje Rais Samia kwenda na kiti chake kwenye ibada leo tarehe 14.10.2022 mkoani Kagera?

Tuwekee ushahidi huo acha UDINI kenge wewe.
 
Uwongo mwingine
 
Jikite kwenye hoja. Maana dakika 0 tu hapa utaanza kuwalilia Mods, kutokana na tabia yako ya kupenda kudeka kama katoto ka mwisho!

Unaanza kutukana, ukijibiwa unakimbilia kuomba huruma ya wana jukwaa na Moderator.
Kumuuliza Mtu kuwa kaambiwa Mimi ni Msemaji wa Mwamposa ndiyo Tusi / Kutukana?

Tafadhali utakuwa Unaugua Akili sema tu hujajigundua ila tuliokugundua tunakushauri wahi Mirembe Mental Hospital Mkoani Dodoma ukaanze Matibabu yako ya awali sawa?
 
Kumuuliza Mtu kuwa kaambiwa Mimi ni Msemaji wa Mwamposa ndiyo Tusi / Kutukana?

Tafadhali utakuwa Unaugua Akili sema tu hujajigundua ila tuliokugundua tunakushauri wahi Mirembe Mental Hospital Mkoani Dodoma ukaanze Matibabu yako ya awali sawa?
Yaani uache kwenda wewe ambaye kila mtu anafahamu tatizo lako! Niende mimi ambaye kila mtu anafahamu nipo mentally fit!!
 
Wewe ni JUHA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…