Imekaaje Rais Samia kwenda na kiti chake kwenye ibada leo tarehe 14.10.2022 mkoani Kagera?

Uzuri Rais au serikali ishawajua watanzania wengi Wana ugonjwa wa akili, kwahiyo Wala usidhani Kama wanawafuatilia hizo kelele zao,

Walishupalia suala la Tozoo, sasaivi washalisahau wamerukia ishu ya Masanja na mkewe, na tayari wanajifanya wao Wana DNA za macho tu kujua baba halisi wa kila mtoto,
Sasa mkuu GENTAMYCINE hao watu utasema wazima kichwani?
 
Cc: Mdini wa Kutukuka Tate Mkuu
 
Mkapimwe afya ya akili, huko kanisani watu wanaingia nusu uchi hamlalamiki
 
Ni kama tu wewe unavyo waogopa LIKUD na Selemani Matola.
Thubutu..... Moto wangu wanaujua na nimeshawaambia kama wanataka Words Battle na Mimi nisiye na Mpinzani hapa JamiiForums wasiwe wanakimbilia UN ( kwa Moderators ) Kunishtaki ili niadhibiwe bali wawe Wanapambana wao kama wao ili Niwanyooshe vizuri.
 
Mkuu, mimi nitakuuliza, jana Samia aliingia kanisani kama muumini wa dhehebu au kama Rais wa JMT?

Umetoa mfano wa Magufuli kwenda kanisani, Magufuli alikuwa anaenda kanisani kama Rais wa kama muumini wa kawaida?
 
Mkuu, mimi nitakuuliza, jana Samia aliingia kanisani kama muumini wa dhehebu au kama Rais wa JMT?

Umetoa mfano wa Magufuli kwenda kanisani, Magufuli alikuwa anaenda kanisani kama Rais wa kama muumini wa kawaida?
Akikujibu ipasavyo naenda Kunya ( Kuukweka ) Mubashara ( Live ) kabisa MP 1 Lugalo Dar es Salaam au 92KJ Sanga Sanga Morogoro mchana huu kweupe.
 
Lakini haikuwa sahihi kumlazimisha Mpango nae awe na kiti ili mpate uhalali wa yale mliyokusudia kuyafanya, Dkt Mpango tunamuona sana kanisani wala haendagi na kiti chake kwenye ibada ila juzi kwakuwa nyie hamkutaka kukaa kwenye mabenchi mkaona nayeye lazima awekewe kweli haya!
 
I never knew that even you can discuss Minor issue like this. As a Nation and Intellectuals We still have a long way to go.
 
Huyo aliekuwa anagoma kutembea na kiti chake yuko wapi leo......sisi watu wa usalama tuna kauli mbiu yetu isemayo "usalama kwanza"
 
Umeongea point at list
 
Kwa hili nakushauri tena soma unachotetea Vs Wanachokosoa kama vinaendana. Kiti cha Rais ni mamlaka, na Kanisa ni mamlaka pia. Kupeleka kiti cha Urais kanisani ni kama kupqmbanisha mamlaka. Unapoingia kwenye nyumba ya ibada unakuwa chini ya mamlaka ya Kanisa. Ndo maana ratiba inayofuatwa humo ni ya Kanisa na siyo ya Serikali. Mimi Huwa sifutilii vitu vidogo, lakini kwangu Jambo la kiimani ni kubwa Sana. Sijawahi kumuona Kikwete kaingia msikitini akaomba Mswala wake toka Ikulu. Hata Samia ameenda msikitini akiwa anakaa kwenye Mswala wa msikiti husika. Tuwashauri viongozi wetu unyenyekevu kwenye masuala ya kiimani na hasa unapoona jnahudhuria Imani isiyo yako unatakiwa kuwa makini Sana.
Umeiona picha ya Hichilema na ya Baideni wakiwa kanisani? Hawakupungukiwa chochote kukalia mabenchi Kwa Muda mfupi kuonyesha usawa wa kibinadamu mbele Mungu.
Taratibu tutaanza kuona Waziri Mkuu akienda kumsalimia Mbunge mgonjwa hospitali kinabebwa kiti cha Ikulu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…