Imekaaje Rais Samia kwenda na kiti chake kwenye ibada leo tarehe 14.10.2022 mkoani Kagera?

Thread closed by Tate Mkuu at 12:41 pm.
 
Mkuu, mimi nitakuuliza, jana Samia aliingia kanisani kama muumini wa dhehebu au kama Rais wa JMT?

Umetoa mfano wa Magufuli kwenda kanisani, Magufuli alikuwa anaenda kanisani kama Rais wa kama muumini wa kawaida?
Yaani ni hivi; Kanisa Katoliki lina taratibu zake. Hata kama wewe siyo muumini wake, unaruhusiwa kuingia! Isipokuwa ni lazima ufuaye baadhi ya masharti.

Mojawapo ni hilo la kuwekewa sehemu yako ya kukaa, kwa utaratibu wao! Na siyo kwa utaratibu wako! Ndiyo maana nimekumbusha tukio la jana liliwahi kutokea huko nyuma!


Kilichofuata ilikuwa ni kwa Rais wa wakati huo kuahirisha kuhudhuria sherehe aliyo alikwa na Kanisa, baada ya kuzuiliwa kistaarabu tu, kuingia na kiti chake maalum Kanisani.
 
Akikujibu ipasavyo naenda Kunya ( Kuukweka ) Mubashara ( Live ) kabisa MP 1 Lugalo Dar es Salaam au 92KJ Sanga Sanga Morogoro mchana huu kweupe.
Nimeshamjibu ipasavyo! Kama vipi uanze sasa hilo zoezi, haraka iwezekanavyo. Kuna vijana wangu wanakusubiri hapo Lugalo kwa hamu na shauku kubwa.
 
Mbona malalamiko yanazidi au mlikua mmemtegea mama samia mafuta ya mbuzi katoliki kwenye viti vyenu?
 
We jamaa nakuona mtu wa mrengo wa kushoto tu lakin leo nimekueelewa sana bob!!

Ntaaanza kufikilisha kichwa changu juu ya post zako
 
Nilikuwa nasema haijalishi nyumba ya ibada au kijiji ,kitingoji, wilay ,mkoa na nchi kwa ujumla lazima utakuja taratibu fulani ukienda against lazima patazua mjadala ...ukileta utaratibu mpya hata kama hauna maana mbaya lazima utaleta mtafaruku haya ndo Yale ya wapemba pia kupinga ujenzi wa kanisa ..
So mnayo haki ya kupinga na kutetea kulingana na taratibu zenu.
 
Hawaachiani maji mezani🤣😅😅JK
 
Lakini hii si inatokana na nia iliyoko moyoni mwa Mhusika? Hana nia ya kujiinua.

Nakumbuka Siku Jpm alibishana na Padre pale St Peters nilishangaa sana.

Hizi Doctrine hata kama si za Mungu wa kweli lalini zina nguvu......devine powers
 
Hiyo ni protocol ya nchi. Wewe ulitakaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…