Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umri namba tu. Hujawahi kuona msichana wa chuo ana birthday mbili kwa MwakaHuu ni muujiza naweza kusema hivyo
Mdogo wangu ana miaka 36,alianza darasa la kwanza na Ibrahim Ajib
Ilikuwakuwaje ,na inawezekanaje Ajib awe na miaka 26
Classnate wa primary kupishana miaka kumi????
Mdogo ako amezaliwa mwaka gani na Ajibu kazaliwa mwaka gani?Huu ni muujiza naweza kusema hivyo
Mdogo wangu ana miaka 36,alianza darasa la kwanza na Ibrahim Ajib
Ilikuwakuwaje ,na inawezekanaje Ajib awe na miaka 26
Classnate wa primary kupishana miaka kumi????
Mdogo wake alikuwa Njemba wa darasa!Alaumiwe ndugu yako aliyechelewa kupelekwa shule.
Ajib bado ni kijana
[emoji1787][emoji1787] nimecheka Sana Kuna jamaa angu mmoja tumesoma high school darasa moja yupo ihefu nilishangaa kumuona team ya taifa under 20Alaumiwe ndugu yako aliyechelewa kupelekwa shule.
Ajib bado ni kijana mdogo
Duuh ukute wapo sawa1986, Ajib anadai ni wa 96
Ebwanaemwengine huyu hapa
View attachment 2485102
Wanamichezo wengi nchini TANZANIA wanaosaini mikataba ya kazi wanadanganya umri.[emoji1787][emoji1787] nimecheka Sana Kuna jamaa angu mmoja tumesoma high school darasa moja yupo ihefu nilishangaa kumuona team ya taifa under 20
Ndiyo maana Ajib kashindwa kucheza mpira kwenye umri ambao kina Victor Osimhen wapo kwenye primeHuu ni muujiza naweza kusema hivyo
Mdogo wangu ana miaka 36,alianza darasa la kwanza na Ibrahim Ajib
Ilikuwakuwaje ,na inawezekanaje Ajib awe na miaka 26
Classnate wa primary kupishana miaka kumi????
Umri namba tu. Hujawahi kuona msichana wa chuo ana birthday mbili kwa Mwaka
AiseeWanamichezo wengi nchini TANZANIA wanaosaini mikataba ya kazi wanadanganya umri.
Mjomba wangu alishadanganya umri sana, alikuwa na vyeti vya kuzaliwa takribani 20