Smart Guy
JF-Expert Member
- Dec 19, 2016
- 6,808
- 6,934
[emoji16][emoji16][emoji16]Alaumiwe ndugu yako aliyechelewa kupelekwa shule.
Ajib bado ni kijana mdogo
Mkuu umenichekesha sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji16][emoji16][emoji16]Alaumiwe ndugu yako aliyechelewa kupelekwa shule.
Ajib bado ni kijana mdogo
Mkude kwa miaka 10 kacheza vizuri pale Simba. Kama kadanganya kwenye umri ni miaka 2 tuu.mkude je?
Dah kasoma chuo kikuu akiwa na miaka 7 [emoji87][emoji87][emoji87][emoji85][emoji85]. Mkuu au kasoma kifua kikuu???mwengine huyu hapa
View attachment 2485102
Hapo kamaliza muzee.Dah kasoma chuo kikuu akiwa na miaka 7 [emoji87][emoji87][emoji87][emoji85][emoji85]. Mkuu au kasoma kifua kikuu???
Kwani walianza shule wakiwa na umri sawa?Huu ni muujiza naweza kusema hivyo
Mdogo wangu ana miaka 36,alianza darasa la kwanza na Ibrahim Ajib
Ilikuwakuwaje ,na inawezekanaje Ajib awe na miaka 26
Classnate wa primary kupishana miaka kumi????
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mwengine huyu hapa
View attachment 2485102
Picha ya 9, 10 na 12 [emoji3][emoji3]Vijana wadogo hawa hapaView attachment 2485310
Mengine tuyaacheni tu ila waafrika wengi ni immortal.Duu huyu jamaa nimeanza kumsikia nikiwa na 7 yrs chakushangaza nakaribia kumzidi miaka.
Nakubaliana na weweShida inaanzia kwa desturi hiyo ya wazungu kuanza kushusha thamani ya mchezaji anapopindukia 30.
Mtu mweusi kuanza kuchoka uwanjani ni 35-7 na kumalizaka kabisa 42.
Mpira wenyewe tunaanza kucheza 20's, mwingine anaanza kushine 25, yaani acheze miaka 5 tu uanze kumpa mikataba ya matazamio, mwaka, miezi 6. Hiyo wangefanyiana wenyewe Makuku ya maabara.
Umenikumbusha mbali[emoji1787][emoji23] kipindi nasoma kuna brother mmoja alikua mkubwa sana nahis ananizidi hata miaka 10Mdogo wake alikuwa Njemba wa darasa!
Mdogo wako ameanza shule mwaka gani na amemaliza shule mwaka gani na ni shule gani aliosoma?Huu ni muujiza naweza kusema hivyo
Mdogo wangu ana miaka 36,alianza darasa la kwanza na Ibrahim Ajib
Ilikuwakuwaje ,na inawezekanaje Ajib awe na miaka 26
Classnate wa primary kupishana miaka kumi????
Hiyo miaka wanatoa kwenda wapi?Mara zote wachezaji Wengi Huwa wanatoa miaka kumi.
- 10.