rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Kina MadeluKwa nyie Wasukuma ni kawaida mtu kuanza darasa la kwanza akiwa na miaka 18 au zaidi....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kina MadeluKwa nyie Wasukuma ni kawaida mtu kuanza darasa la kwanza akiwa na miaka 18 au zaidi....
Alaumiwe ndugu yako aliyechelewa kupelekwa shule.
Ajib bado ni kijana mdogo
Duu huyu jamaa nimeanza kumsikia nikiwa na 7 yrs chakushangaza nakaribia kumzidi miaka.mwengine huyu hapa
View attachment 2485102
This is possible, nilianza standard 1 nikiwa na 5 years, advance nilimaliza na miaka 17, kuna jamaa humu anaitwa ROBERT HERIEL nilisoma nae shule moja ya advance Ila yeye tulivyoingia form six alihama shule, na kipindi hicho kwenye boli nilikuwa nakichafua balaa, bahati mbaya sikufanikiwa tu kutoboa[emoji3][emoji3] kama ningefanikiwa namm ningesema nna miaka 10 yaan ningechezea zile national team za under 10[emoji12][emoji12] maana nilikuwa mdogo mnooKuna jamaa wakati nipo form five yeye alikuwa form six na alikuwa anachezea Serengeti Boys ile Under 17 na alienda Gabon kwenye yale mashindano ya Afcon umri wake nilitilia shaka[emoji23][emoji23][emoji23]
Wachezaji wengi wa Kiafrika wanapunguza umri. Na jambo hili halihitaji mjadala.Huu ni muujiza naweza kusema hivyo
Mdogo wangu ana miaka 36,alianza darasa la kwanza na Ibrahim Ajib
Ilikuwakuwaje ,na inawezekanaje Ajib awe na miaka 26
Classnate wa primary kupishana miaka kumi????
Mdogo wako alichelewa kuanza shuleHuu ni muujiza naweza kusema hivyo
Mdogo wangu ana miaka 36,alianza darasa la kwanza na Ibrahim Ajib
Ilikuwakuwaje ,na inawezekanaje Ajib awe na miaka 26
Classnate wa primary kupishana miaka kumi????
ina jamaa kafyeka miaka 10, ha ha haHuu ni muujiza naweza kusema hivyo
Mdogo wangu ana miaka 36,alianza darasa la kwanza na Ibrahim Ajib
Ilikuwakuwaje ,na inawezekanaje Ajib awe na miaka 26
Classnate wa primary kupishana miaka kumi????
mkude je?Ajibu nimeanza kumsikia tangia niko sekondari leo ameshakuwa mdogo wangu
so ngoma ilianza shule na miaka 16, kama zile enzi zetu unasoma darasa la nne na jamaa ambaye amepanga chumba, kidevu kina visiki kibao 😛 😛 😛Mdogo wako alichelewa kuanza shule
Sio kwa hiyo miaka lakini, 26 ni kijana mdogo sana akilinganishwa na Ajibu.Alaumiwe ndugu yako aliyechelewa kupelekwa shule.
Ajib bado ni kijana mdogo
Ajib hawezi kuwa wa 96, haiwezekani kabisa[emoji23]1986, Ajib anadai ni wa 96
Hiyo mbona kawaida sanaHuu ni muujiza naweza kusema hivyo
Mdogo wangu ana miaka 36,alianza darasa la kwanza na Ibrahim Ajib
Ilikuwakuwaje ,na inawezekanaje Ajib awe na miaka 26
Classnate wa primary kupishana miaka kumi????
Acha fujo Christiano Ronaldo ana miaka 38 na ndio mchezaji anayelipwa kuliko mwanamichezo yyte duniani. Muhimu kiwango usikaririHuu ni muujiza naweza kusema hivyo
Mdogo wangu ana miaka 36,alianza darasa la kwanza na Ibrahim Ajib
Ilikuwakuwaje ,na inawezekanaje Ajib awe na miaka 26
Classnate wa primary kupishana miaka kumi????
Mdogo wako alikuwa MEMKWA.Huu ni muujiza naweza kusema hivyo
Mdogo wangu ana miaka 36,alianza darasa la kwanza na Ibrahim Ajib
Ilikuwakuwaje ,na inawezekanaje Ajib awe na miaka 26
Classnate wa primary kupishana miaka kumi????
Fanya mambo yako, acha unoko usio na maslahi kwako mkuu.Huu ni muujiza naweza kusema hivyo
Mdogo wangu ana miaka 36,alianza darasa la kwanza na Ibrahim Ajib
Ilikuwakuwaje ,na inawezekanaje Ajib awe na miaka 26
Classnate wa primary kupishana miaka kumi????
Hii kali ya records, miaka 7 ana degree.mwengine huyu hapa
View attachment 2485102