Imekuwaje Ibrahim Ajib ana miaka 26 wakati alisoma darasa moja na mdogo wangu mwenye miaka 36

Imekuwaje Ibrahim Ajib ana miaka 26 wakati alisoma darasa moja na mdogo wangu mwenye miaka 36

Wanamichezo wengi nchini TANZANIA wanaosaini mikataba ya kazi wanadanganya umri.


Mjomba wangu alishadanganya umri sana, alikuwa na vyeti vya kuzaliwa takribani 20
Ahaaa huyo alikuwa noma sana
 
Huu ni muujiza naweza kusema hivyo
Mdogo wangu ana miaka 36,alianza darasa la kwanza na Ibrahim Ajib
Ilikuwakuwaje ,na inawezekanaje Ajib awe na miaka 26
Classnate wa primary kupishana miaka kumi????
Kuna mawili, mdogo wako alichelewa kuanza shule au ajibu aliwahi kuanza shule
 
Vijana wadogo hawa hapa
1672349040988.jpg
 
Wana Michezo wengi ni waongo nakumbuka Kuna jamaa 2018 Namwona kwenye Serengeti Boys under 17 wakati huyo jamaa akiwa la Saba mm nlikuwa la pili na mwaka Huo nlikuwa na miaka 18 nashangaa mwenzangu hata 17 Hajafikisha
 
Wana Michezo wengi ni waongo nakumbuka Kuna jamaa 2018 Namwona kwenye Serengeti Boys under 17 wakati huyo jamaa akiwa la Saba mm nlikuwa la pili na mwaka Huo nlikuwa na miaka 18 nashangaa mwenzangu hata 17 Hajafikisha
[emoji23]
 
Huu ni muujiza naweza kusema hivyo
Mdogo wangu ana miaka 36,alianza darasa la kwanza na Ibrahim Ajib
Ilikuwakuwaje ,na inawezekanaje Ajib awe na miaka 26
Classnate wa primary kupishana miaka kumi????
Acha wivu ww. Kalalamike TFF bas.
 
Back
Top Bottom