Planet FSD
JF-Expert Member
- Oct 24, 2019
- 455
- 948
Yan hii umbwa imezaliwa 1989 afu 1996 iko udsm🤣🤣🤣?mwengine huyu hapa
View attachment 2485102
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yan hii umbwa imezaliwa 1989 afu 1996 iko udsm🤣🤣🤣?mwengine huyu hapa
View attachment 2485102
Kwa nyie Wasukuma ni kawaida mtu kuanza darasa la kwanza akiwa na miaka 18 au zaidi....Huu ni muujiza naweza kusema hivyo
Mdogo wangu ana miaka 36,alianza darasa la kwanza na Ibrahim Ajib
Ilikuwakuwaje ,na inawezekanaje Ajib awe na miaka 26
Classnate wa primary kupishana miaka kumi????
Du!Huu ni muujiza naweza kusema hivyo
Mdogo wangu ana miaka 36,alianza darasa la kwanza na Ibrahim Ajib
Ilikuwakuwaje ,na inawezekanaje Ajib awe na miaka 26
Classnate wa primary kupishana miaka kumi????
[emoji28][emoji28][emoji28]Alaumiwe ndugu yako aliyechelewa kupelekwa shule.
Ajib bado ni kijana mdogo
Aise ,ajib alivozaliwa TU aliigia lapili ,kwamiaka Ile waliozaliwa 1984,1985 ,1986 lakwanza hapa 1995 , bongo bolizozo1986, Ajib anadai ni wa 96
Huyu kazaliwa 1989 ila 1996 kaanza elimu ya chuo akiwa na umri wa miaka saba!mwengine huyu hapa
View attachment 2485102
Kuna mawili, mdogo wako alichelewa kuanza shule au ajibu aliwahi kuanza shuleHuu ni muujiza naweza kusema hivyo
Mdogo wangu ana miaka 36,alianza darasa la kwanza na Ibrahim Ajib
Ilikuwakuwaje ,na inawezekanaje Ajib awe na miaka 26
Classnate wa primary kupishana miaka kumi????
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Alaumiwe ndugu yako aliyechelewa kupelekwa shule.
Ajib bado ni kijana mdogo
Mwigulu anasema alisoma na Onyango chuo kimoja 🤣Vijana wadogo hawa hapaView attachment 2485310
Huyo zobi hatariVijana wadogo hawa hapaView attachment 2485310
[emoji23]Wana Michezo wengi ni waongo nakumbuka Kuna jamaa 2018 Namwona kwenye Serengeti Boys under 17 wakati huyo jamaa akiwa la Saba mm nlikuwa la pili na mwaka Huo nlikuwa na miaka 18 nashangaa mwenzangu hata 17 Hajafikisha
Qdadeky![emoji41]mwengine huyu hapa
View attachment 2485102
Acha wivu ww. Kalalamike TFF bas.Huu ni muujiza naweza kusema hivyo
Mdogo wangu ana miaka 36,alianza darasa la kwanza na Ibrahim Ajib
Ilikuwakuwaje ,na inawezekanaje Ajib awe na miaka 26
Classnate wa primary kupishana miaka kumi????
Onyango na Zobi wametisha,kumbe onyango anajulikana kimataifa kuwa ni kinda??Vijana wadogo hawa hapaView attachment 2485310