Choosen85
JF-Expert Member
- Jun 22, 2022
- 1,143
- 2,475
Wakuu mulibwanji? Mambo huku ni tabulele laaa.... Nilipokuwa chuo nlikuwa kwenye mahusiano na mdada mmoja wa Kiha nlimpenda sana na tulifanikiwa kupata mtoto 1, kiukweli nlitamani ndo awe wife kumbe nilikuwa najiandalia bomu hasa alipotangulia kupata kazi.
Alikuwa kasomea ualimu, nilianza pewa maneno makali sana kama mwanaume suruali, shetani, ilifikia hatua naambiwa nanuka. Nilijipanga nikaamua kuondoka zangu nilimuachia kila ktu nlichopata nae. Mtoto alimkatalia akasema ili nimchukue nihakikshe nimemuua nikamwambia mtoto nimekupa sasa ni wako.
Lakini ajabu visa vikawa haviishi, alikuwa akinitumia sms za kunitukana sana na maneno mengine ya hovyohovyo, sikuwa namjbu zaidi ya kumpuuza. Alianza watafuta ndugu na marafiki zangu anawaambia tuhuma kibao kuhusu mimi hiyo ni baada ya kuwa nlishaondoka.
Nilishangaa sana kwanini bado ananifatilia wakati namuaga aliniambiaga sepa huko. Ajabu hata nilikuwa nikibadili namba atapambana ataipata na ataanza kunitumia ma sms ya matusi mpaka kunitukania wazazi wangu.
Sasa imepita miaka 7 toka nimeachana nae, nilishaoa na nina mtoto 1 tayari nikajua mwenzangu alishasahau na pengne ana bwana ake maana umepita muda sasa wala hata sijui chochote kuhusu maisha yake. Jana usiku saa tatu. Nashangaa inaingia sms ya kejeli kucheck namba nikagundua ni ile ya yule muha ex wng.
Nilishangaa sana huyu mtu mbona imepita miaka mingi sana bado ana mambo yaleyale ana matatzo gani. Kwa kweli hata sikumalizia soma sms ile nilifuta hata sikuijbu kbs. Wakuu mtu kama huyu ni nini kinamsumbua. Je ni hasira au bado ananipenda au ananichukia tu? Karibu kwa maoni yenu.
Alikuwa kasomea ualimu, nilianza pewa maneno makali sana kama mwanaume suruali, shetani, ilifikia hatua naambiwa nanuka. Nilijipanga nikaamua kuondoka zangu nilimuachia kila ktu nlichopata nae. Mtoto alimkatalia akasema ili nimchukue nihakikshe nimemuua nikamwambia mtoto nimekupa sasa ni wako.
Lakini ajabu visa vikawa haviishi, alikuwa akinitumia sms za kunitukana sana na maneno mengine ya hovyohovyo, sikuwa namjbu zaidi ya kumpuuza. Alianza watafuta ndugu na marafiki zangu anawaambia tuhuma kibao kuhusu mimi hiyo ni baada ya kuwa nlishaondoka.
Nilishangaa sana kwanini bado ananifatilia wakati namuaga aliniambiaga sepa huko. Ajabu hata nilikuwa nikibadili namba atapambana ataipata na ataanza kunitumia ma sms ya matusi mpaka kunitukania wazazi wangu.
Sasa imepita miaka 7 toka nimeachana nae, nilishaoa na nina mtoto 1 tayari nikajua mwenzangu alishasahau na pengne ana bwana ake maana umepita muda sasa wala hata sijui chochote kuhusu maisha yake. Jana usiku saa tatu. Nashangaa inaingia sms ya kejeli kucheck namba nikagundua ni ile ya yule muha ex wng.
Nilishangaa sana huyu mtu mbona imepita miaka mingi sana bado ana mambo yaleyale ana matatzo gani. Kwa kweli hata sikumalizia soma sms ile nilifuta hata sikuijbu kbs. Wakuu mtu kama huyu ni nini kinamsumbua. Je ni hasira au bado ananipenda au ananichukia tu? Karibu kwa maoni yenu.