Imepita miaka 7 toka tumeachana, jana kanitumia SMS ya kejeli

Mueleze mkeo kuwa una mtoto, Huyo mwanamke kinachomsumbua ni mtoto kukosa baba. Akimuangalia anakukumbuka ni vile hana busara.
 
Tili'chee boss, lakka?
Uyo inaonyesha uko alipo hakuna kilicho muendea sawa.
Na hapo mtoto kashalishwa sumu na mama yake na atakuchukia tu.
Yote kwa yote usijaribu kubishana nae wala kujihusisha na kelele zake.
Mtoto akishakomaa akili atakutafuta tu labda usiwepo duniani, ila jitahidi pia kumhudumia mtoto.
Boss nilibe vo kukamba, vinasiliza naluta manje apa, zikomo.
 


Mnapendana, rudianeni, sisi hatuna shida, kiburi ni jambo baya sana, mnapendana ila mna viburi.
 
Kausha

Ukijibu ndio utampa moto.

Amekosa attention anaitafuta kwako.

Dawa ya Wanawake wa dizaini ni kula bonge la buyu

Usibadiki namba kabisa

Yaani kausha kama sio wewe.

Atachoka mwenyewe yaani hata usimblock.

Na meseji zake usizisome kabisa zikiingia tu FUTA bila kuzifungua.

Na simu yake usipokee.

USIMPE ATTENTION YAKO MWANAMKE MPUMBAVU UTAKUWA UNAMP BICHWA.
 
Asijaribu kukutana na mpumbafu Kama yule Ni vyema akanendelee kuwa kimya Hadi kiama

Usimuandekeze mwanamke mpumbafu
Akutane nae ajue hali ya mtoto wake..
Ila kama akiendelea kukaa kimya pia inaweza ikawa big issue yule mwanamke akijua jamaa anapo kaa na kuja kumwalibia kabisa....
 
Magonjwa ya akili yapo kabisa, watu huugua bila kujijua Sasa mshaachana Bado anakufuatilia huoni kuwa ana ugonjwa wa akili huyo!.
 
kweli kabisa Mangungo II mwanamke yeyote anayekuchukulia poa, revenge yako kali ni kutokumpa attention na mikausho mikali. ukifanya hivyo lazima achanganyikiwe. Hakuna kitu kinamuuma mwanamke kama kumkalia kimya na kumchunia kama wadau wengine wanavyosema.
 
kweli awe makini, kwa maelezo ya jamaa inaonesha bado anampenda. hivi unawezaje kurudiana na ex wako.
 
Akikutukana tena mfungulie kesi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…