Imepita wiki 3 mdomo wangu mkavu na kidonda kidogo kisicho na maumivu. Je, nina UKIMWI?

Imepita wiki 3 mdomo wangu mkavu na kidonda kidogo kisicho na maumivu. Je, nina UKIMWI?

Sikuridhika ndio so ndo nikajipa kirusi au ni mm tu na mawazo yangu
Ukimwi unaambukizwa kutokana na michubuko inayotokana na msuguano kati ya uume na uke sasa wewe mkono wako huo ukimwi uliiutoa wapi?

Au hiyo punyeto ulijipiga kwa kutumia mkono wa huyo mwanamke?mpaka sasa sijui kama nimekuelewa vizuri maelezo yako yapo so complicated.
 
Ukimwi unaambukizwa kutokana na michubuko inayotokana na msuguano kati ya uume na uke sasa wewe mkono wako huo ukimwi uliiutoa wapi?

Au hiyo punyeto ulijipiga kwa kutumia mkono wa huyo mwanamke?mpaka sasa sijui kama nimekuelewa vizuri maelezo yako yapo so complicated.
Sema google wanasema hizo dalili kama mdomo mkavu unaweza ikawa stress sana ila ulimi ss ndo sielewi
 
Kama unaogopa UKIMWI achana kabisa na tendo la kujamiiana maana unaweza kujilinda lakini bado mpenzi / mkeo akakuletea
 
Picha haziwezi kukupa majibu kamili, msaada utakaopata hapa ni comfort zone tu.

Nenda kapime mapema.

Ushauri wangu:
Oa mwanamke uishi naye, Kwa ishara hizi, Ngono wewe huiwezi. Utafanya ngono na kuweweseka sana. Tafuta mwanamke upime naye HIV uoe kabisa.
 
Kama unaogopa UKIMWI achana kabisa na tendo la kujamiiana maana unaweza kujilinda lakini bado mpenzi / mkeo akakuletea
Shida kwa ss ndo sijui mkuu wiki 3 zimepita ila ndo mdomo mkavu na kidonda kidogo kwenye lip ya juu na ulimi mweupe Sina homa wala kichwa apo sijui ss
 
Back
Top Bottom