Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba
Nenda hospital bhanaKwamba
Una umri gani?Shida kwa ss ndo sijui mkuu wiki 3 zimepita ila ndo mdomo mkavu na kidonda kidogo kwenye lip ya juu na ulimi mweupe Sina homa wala kichwa apo sijui ss
Wewe hauna ukimwi...wasiwasi wako tu. Ila tunza sana Afya yako, achana na Ngono zembeWell nilienda kwa show nikitumia Kinga sema baada ya show niliifuta mikono na towel nikaona sijaridhika nikapiga punyeto sijui labda apo kutokunawa umenipa vvu au stress ndo zinafanya niwe ivi
AkapimePole mkuu. 🥹🥹🥹🥹 hizo ni dalili za wali za VVU🥹🥹 kuna jamaa angu alipitia hali yako . Unahitaji kutiwa moyo sana katika kipindi hiki kigumu
Mtaalam sana wa hayo masuala..Nan uyo
Naomba namba zake basMtaalam sana wa hayo masuala..
Umejuaje mkuuWewe hauna ukimwi...wasiwasi wako tu. Ila tunza sana Afya yako, achana na Ngono zembe
Kwani wewe sheikh upo Tanzania gani isiyokuwa na kituo cha afya karibu?Sema google wanasema hizo dalili kama mdomo mkavu unaweza ikawa stress sana ila ulimi ss ndo sielewi
Sina homa kabisaKwani wewe sheikh upo Tanzania gani isiyokuwa na kituo cha afya karibu?
Nenda kapime,na hizi ndiyo gharama za uzinzi unaishi kwa wasiwasi sometimes huna homa yoyote.
Mdomo mkavu kunywa sana Maji, ulimi sugua unaposwaki kama wadau walivyokwambia, kidonda kuna homa sana siku hizi za mabadiliko ya hali ya hewa...virusi ungekua navyo ungejua. Kitu kigeni kikiingia kwenye mwili wako lazima uhisi tofauti... Kutoa hayo mawazo nakushauri kapime, ila sidhani kama una maambukiziUmejuaje mkuu
Achana na ngono, kama unaogopa ukimwi hivyo, bora utulie. Kwa maana utakufa kwa preshaUmejuaje mkuu
Sure ukosefu wa vitamin C unasababisha midomo mikavu na kubabukaPolee mkuu, Jitahidi kula sana machungwa na vitu vyenye wingi wa vitamin c,, unakosa vitamin c mwilini.. We kula machungwa, mapera, zabibu etc, kwa wiki tuu utakaa sawa.. Usisahau kusugua huo ulimi wakati wa kupiga mswaki. 😊
Sawa kaka acha nikapime ila demu anasema anaoMdomo mkavu kunywa sana Maji, ulimi sugua unaposwaki kama wadau walivyokwambia, kidonda kuna homa sana siku hizi za mabadiliko ya hali ya hewa...virusi ungekua navyo ungejua. Kitu kigeni kikiingia kwenye mwili wako lazima uhisi tofauti... Kutoa hayo mawazo nakusharuo kapime, ila sidhani kama una maambukizi
Then wasiwasi wa nini?Sina homa kabisa
Sema nilitumia Kinga sema baada ya show du niliifuta mikono na towel alafu nikapiga punyeto apo ndo inanitatiza itakuwa ndo nilipata apoSawa kaka acha nikapime ila demu anasema anao
Sawa mkuu apa nipime kama sina mm na ngono bas mpaka nioeThen wasiwasi wa nini?
Ila zingatia nilichokuambia mwanzo wewe na ngono ni vitu viwili tofauti hicho kitu achana nacho hukiwezi.
Hujui hata HIV inaambukizwaje🙄Sema nilitumia Kinga sema baada ya show du niliifuta mikono na towel alafu nikapiga punyeto apo ndo inanitatiza itakuwa ndo nilipata apo