Imepita wiki 3 mdomo wangu mkavu na kidonda kidogo kisicho na maumivu. Je, nina UKIMWI?

Imepita wiki 3 mdomo wangu mkavu na kidonda kidogo kisicho na maumivu. Je, nina UKIMWI?

Ss zimepita wiki 3 mkuu sema nilitumia Kinga sema baada ya show niliifuta mikono na towel alafu nikapiga punyeto apo ss ndo shaka langu
Ila Sina homa Hadi ss na mdomo mkavu tu apo na kadonda juu ya lips hakina maumivu
 
Ila mwanamke anasema anao japo nimetumia Kinga sema baada ya show niliifuta mikono na towel alafu nikapiga punyeto sijui ss kama apo ndo nilijipa ugonjwa
Mzee una matatzo gani?
Kama ulijua kwanini hukuwahi mapema kwenda kuchukua pep?
 
Mkuu wiki 3 zimepita ila na mdomo mkavu na kidonda kidogo kwenye lip ila Sina homa je na ukimwi
Tulizana usiwe na presha ukimwi haupatikani hivyo.
Ukimwi mpaka ule mla tope
 
Back
Top Bottom