LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 18,037
- 33,681
Hayo sio maneno yangu, bali ni maneno ya Vodacom Mpesa, wakinijulisha kuhusu muamala nilio ufanya asubuhi ya leo.
Miaka kadhaa iliyo pita hela hii ningeiweka kwenye akaunti ya Mr. Muggetta in the name of school fees.
( Nilikuwaga fala Mie.. Nizomeeni Kwa ufala nilio kuwaga nao)
Wewe unaesoma thread hii nakutamkia, siku moja mama ako mzazi atakuomba elfu Kumi ila wewe utamtumia Milioni Kumi.
Sema " NAPOKEA".
Breaking News: Meseji ya Bimkubwa hii hapa👇👇👇👇👇
Baba nashukuru Sana Mungu akubariki wewe na watoto wako. Ulipo toa Mungu akuzidishe mara millioni.
Me : Ameen 🙏🙏
Miaka kadhaa iliyo pita hela hii ningeiweka kwenye akaunti ya Mr. Muggetta in the name of school fees.
( Nilikuwaga fala Mie.. Nizomeeni Kwa ufala nilio kuwaga nao)
Wewe unaesoma thread hii nakutamkia, siku moja mama ako mzazi atakuomba elfu Kumi ila wewe utamtumia Milioni Kumi.
Sema " NAPOKEA".
Breaking News: Meseji ya Bimkubwa hii hapa👇👇👇👇👇
Baba nashukuru Sana Mungu akubariki wewe na watoto wako. Ulipo toa Mungu akuzidishe mara millioni.
Me : Ameen 🙏🙏