Imethibitishwa shilingi Milioni moja na elfu hamsini imetumwa kwa Mama yangu Mzazi

Imethibitishwa shilingi Milioni moja na elfu hamsini imetumwa kwa Mama yangu Mzazi

This is a case to refer...
Mpaka na wewe Mzee wa Quici Quidi plantator solo solo cediti?

Anyways Sasa hicho kimilioni moja kumtumia mama angu kinanishinda vipi?

Nimegraduate at the hill in 2011 and this is 2024 , Kweli nikose milioni? Wakili msomi?
 
Sio bahiri ni kwamba Mimi Sio fala sitoi hela kwenye mambo ya kifala fala

Am a generous person. Very generous person.

Am a Gemini.

Nilizaliwa tarehe 31 May ilikuwa siku ya Ijumaa.

That's why am down to earth. Nakuwaje bahiri.

Sasa nimezaliwa tarehe na siku kama hiyo naanzaje kuwa bahiri?

Si hata Mzee Wasirra atanishangaa.

Siku moja ntakutoa out you see for urself. You seems to be a Thomasic person.

" Money ain't a thing when u party with me"

🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Uko desperate sana na hata kuji control huwezi. Pole sana Mkuu tafuta msaada ili upate utulivu wa akili
 
Hivi inakuwaga ni mimi tu au ukituma kwa b mkubwa ........kuna kama mlipuko wa maokoto hivi unakuandama vibaya sana .......yaani utapa mpaka ukione....... .
 
Back
Top Bottom