Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpaka na wewe Mzee wa Quici Quidi plantator solo solo cediti?This is a case to refer...
🤣🤣🤣🤣Msamehe bure my dear kuna watu nafsi zao hazijawa wired kupokea taarifa nzuri.
Yani mtu anamuonea wivu hata mtu asie mjua duh 🤣🤣🤣Msamehe bure my dear kuna watu nafsi zao hazijawa wired kupokea taarifa nzuri.
tafakari kwanzaHow ? He is in heaven now. What are u talking about?
Chai ya magadi hainywekiBila screenshot ya muamala hii ni chai ya magadi.
Nilitaka nikutag kumbe umeshawasili...Yani mtu anamuonea wivu hata mtu asie mjua duh 🤣🤣🤣
Uko desperate sana na hata kuji control huwezi. Pole sana Mkuu tafuta msaada ili upate utulivu wa akiliSio bahiri ni kwamba Mimi Sio fala sitoi hela kwenye mambo ya kifala fala
Am a generous person. Very generous person.
Am a Gemini.
Nilizaliwa tarehe 31 May ilikuwa siku ya Ijumaa.
That's why am down to earth. Nakuwaje bahiri.
Sasa nimezaliwa tarehe na siku kama hiyo naanzaje kuwa bahiri?
Si hata Mzee Wasirra atanishangaa.
Siku moja ntakutoa out you see for urself. You seems to be a Thomasic person.
" Money ain't a thing when u party with me"
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂Nilitaka nikutag kumbe umeshawasili...
Afisa mwandamizi wa Cuba 🤣🤣
Ficha namba yako japo hapa shida sio shule shida ni umaskini wako mkuu.Ili uone namba yangu
Nani huyo 😅Afisa mwandamizi wa Cuba 🤣🤣