Imethibitishwa shilingi Milioni moja na elfu hamsini imetumwa kwa Mama yangu Mzazi

This is a case to refer...
Mpaka na wewe Mzee wa Quici Quidi plantator solo solo cediti?

Anyways Sasa hicho kimilioni moja kumtumia mama angu kinanishinda vipi?

Nimegraduate at the hill in 2011 and this is 2024 , Kweli nikose milioni? Wakili msomi?
 
Uko desperate sana na hata kuji control huwezi. Pole sana Mkuu tafuta msaada ili upate utulivu wa akili
 
Hivi inakuwaga ni mimi tu au ukituma kwa b mkubwa ........kuna kama mlipuko wa maokoto hivi unakuandama vibaya sana .......yaani utapa mpaka ukione....... .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…