Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 13,864
- 35,079
Mungu fundi hakika siku Kama ya Leo miaka mitatu iliyopita kulikuwa na mpaka mwembamba mno Kati ya roho ya lisu na mauti. Mungu ni mkubwa waliopanga mauwaji haya leo hatujui majaliwa yao. Pengine wao ndio wametangulia na kumuacha lisu anadunda duniani.
Mungu sio bi Jamila wa kigogo.
Mungu sio bi Jamila wa kigogo.