Imetimia miaka kumi tangu nianzishe ukoo wangu, maendeleo ni mazuri

Binafsi naionaga karma kama haina uhalisia, imagine dhulma na mauaji wanayofanya wanasiasa duniani kote bt still wanakula bata na familia zao miaka nenda rudi, je karma ina ubaguzi? Nipe darasa kidogo mkuu.
Karma...ni kitu halisi...Kuna jamaa anafanya utafiti Marekani...KWA UFUPI
mfano.watoto wasio na hatia wameuawa wakiwa shule...mtafiti kafuatilia kagundua kumbe babu yao au baba wa babu yao alikwisha mwaga damu isiyo na hatia....ISIPOKULAMBA WEWE ITALAMBA UZAO WAKO....
 
Hapo kwenye ndugu zako na mimi nipo
 
Binafsi naionaga karma kama haina uhalisia, imagine dhulma na mauaji wanayofanya wanasiasa duniani kote bt still wanakula bata na familia zao miaka nenda rudi, je karma ina ubaguzi? Nipe darasa kidogo mkuu.
Kwenye bible kuna mstari unasema,nawapatiliza wana naovu ya baba zao,hata kizazi cha tatu na cha nne.
Maisha yako ya leo huenda ni outcome ya matendo ya babu yako au baba wa babu yako
 
hao wanawake si kikwazo ni fursa adimu, ila kwa upande mwingine brother umetengeneza singo maza wengi
SIkuwa na lengo baya sema ile kujua natoka mjini nijikuta kila mwaka naletewa mimba si chini ya tatu,wambulu ni wazuri mno na hawajui kukataa
 
Upande wa pili kuna vijana wakienda majuu basi dharau kwa wazazi na ndugu,majivuno ,anasa,wanasahau walipotoka, jeuri , wakifilisika wanarudi huku kuleta Story nyingine na kuzipamba waonekane hawana Hatia. HAWAOMBI MSAMAHA
 
Upande wa pili kuna vijana wakienda majuu basi dharau kwa wazazi na ndugu,majivuno ,anasa,wanasahau walipotoka, jeuri , wakifilisika wanarudi huku kuleta Story nyingine na kuzipamba waonekane hawana Hatia. HAWAOMBI MSAMAHA
Uko sahihi ila bado anastahili upendo
 
Kweli kabisa,ukitaka kuwajua ndugu na rafiki wa kweli firisika
Mie nilichoka kiukweli asubuhi panakucha sijui niende wapi sijui nitakula nini na kipindi hicho mwanangu mdogo bado ananyonya......nilihamia kwenye pagale langu halina mlango....choo ni mifuko ya cement nimeunga unga simu sina...kila jina baya nilipewa...waliniita mpaka mchawi...mpaka kanisani nilikuwa kama kituko...Kuna siku mahubiri yalinihusu mimi kama mfano...wengine wakasema nina laana...wengine wakasema nina roho mbaya ndio maana sifanikiwi.......AISEE
 
Ilipaswa wahusika ndo wapate masaibu na si wasiohusika direct, na hapa ndo huona kama karma haina uhalisia.
 
Kwenye bible kuna mstari unasema,nawapatiliza wana naovu ya baba zao,hata kizazi cha tatu na cha nne.
Maisha yako ya leo huenda ni outcome ya matendo ya babu yako au baba wa babu yako
Sio kila kilicho kwenye maandiko kina uhalisia, tizama ufalme wa UK wamehusika direct kwenye ukoloni, na vizazi zaidi ya vitatu kwao tayari vimepita bt karma huioni kwao, karma haina uhalisia mkuu.

Kuna nadharia nyingi tunazitumia kujifariji bt ukizichunguza kwa utulivu hazina uhalisia kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…