Imetimia miaka kumi tangu nianzishe ukoo wangu, maendeleo ni mazuri

Imetimia miaka kumi tangu nianzishe ukoo wangu, maendeleo ni mazuri

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
Kuna uzi humu wa jamaa ambaye amezinguana na wazazi wake kwa miaka mitatu.

Mimi yakiwahi kunikuta, ni baada ya kukaa ughaibuni kwa miaka kadhaa na kurudi nchini mikono mitupu.

Dunia ina rangi nyingi sana, hakuna rangi sukuona, ndugu walinitenga sana, upendo wa wazazi sikuuona kabisa.

Mwaka 2013 rafiki yangu akanishauri kutafuta maisha mkoa X, nilienda na shilingi laki moja ila jamaa alikuwa mwenyeji maeneo yale na tulifanikiwa kufanya biashara ya kulangua mazao ya mbogamboga, tunanunua nyanya, hoho, vitunguu au pilipili na kutuma Dar.

Ndani ya mwaka mmoja nilikuwa na akiba ya kutosha bank, kumbuka hapo hakuna ndugu anayejua nilipo.

Niliweza kukodi mashamba na kujikita kwenye kilimo. Ule mkoa ulikuwa na wanawake wazuri sana wanaokuja kuomba vibarua shambani, sikubaki nyuma nilikuwa naingia nao kwenye mahusiano mafupi au marefu.

Kwa kipindi cha miaka kumi nimebahatika kupata watoto kama 30 na wanatumia ubini wangu.

Zoezi la uzalishaji linaendelea, nilinunua shamba kubwa mbali na wanakiji kwa gharama ya milioni tano tu, eneo lilikuwa msitu nilifyeka na Kuanza ufyatuaji wa tofali za kuchoma, kuchimba kisimana ujenzi wa vijumba slopes kumi kwa wake zangu, nimejenga pia bweni dogo kwa ajili ya watoto wa kiume.

Nikiwa kijijini mimi ni mwanakijiji haswaa, nikiwa Dar naishi kwenye single room.

Naweza kusema nina nafsi mbili.
Moja ni ile ya village life na nyingine ni urban life.

Lengo langu ni kutimiza watoto 50, sina ndugu ninayewasiliana nae zaidi ya wana JF nyie ndio ndugu zangu pamoja na watoto wangu na wanawake wanne niliozaa nao,ambao walikubali niishi nao kijijini

Watoto wangu hawawajui shangazi zao wala baba wadogo/wakubwa, bibi wala babu.

Inawezekana kabisa kuanzisha ukoo wako hujachelewa ndugu yangu.

Nikupe moyo ewe kijana uliyekata tamaa mjini bila kujali elimu yako,njoo manyara jikite na kilimo tafuta mke oa anzisha familia,huku kuna wanawake wazuri sana kama ilivyo ardhi yao nzuri

Tofauti ba ujinga ujinga ninaopost humu mimi ni mtu mzima,mwaka 1986 kombe la dunia,nilikuwa na miaka 8 niliangalizia nyumbani kwa Sheikh Yahya,magomeni,aliweka screen kubwa sana pale nje size ya kioo cha mbele cha fuso,pembeni kaoaki limossine yake milango sita
 
Kuna uzi humu wa jamaa ambaye amezinguana na wazazi wake kwa miaka mitatu.

Mimi yakiwahi kunikuta,ni baafa ya jukaa ughaibuni kwa miaka kadhaa na kurudi nchini mikono mitupu.

Dunia ina rangi nyingi sana,hakuna rangi sukuona,ndugu walinitenga sana,upendo wa wazazi sikuuona kabisa.

Mwaka 2013 rafiki yangu akanishauri kutafutamaisha mkoa X,niliendana silingi laki moja ila jamaa alikuwa mwenyeji maeneo yale na tulifanikiwakufanyabiashara ta kylangya mazao ya mbogamboga,tunanunuanyanya,hoho,vitunguu au pilipilina kutuma dar,


Ndani ya mwakammoja nilikuwa na akiba yakama milioni 8 bank,kumbuka hapo hakuna ndugu anayejua nilipo .

Niliweza kukodi mashamba na kujikita kwenye kilimo.
Ule mkoa ulikuwa na wanawake wazuri sana wanaokuja kuomba vibarua shambani,sikubaki nyuma nilikuwa naingia nao kwenye mahusiano mafupi au marefu

Kwa kipindi cha miaka kumi nimebahatika kupata watoto kama 30 na wanatumia ubini wangu,

Zoezi la uzalushaji linaendelea,ninunua shamba kubwa mbali na wanakiji kwagharama ya milioni tano tu,eneo lilikuwa msitu nilifyeka na juanza ufyataji wa tofali za kuchoma,kuchimba kisimana ujenzi wa vijumbaslooes kumi kwa wake zangu,nimejenga pia bweni dogo kwa ajili ya watoto wa kiume.

Nikiwa kijijini mimini mwanakijiji aswaa,nikiwa Dar naishi kwenye apartment ya single room Masaki.

Naweza kusema nina nafsi mbili.
Mojani ile ya village lifena nyingine ni urban life.

Lengo langu ni kutimiza watoti 50 ,sina ndugu ninayewasiliana nae zaidi ya wana JF nyie ndio ndugu zangu pamoja na watoto wangu na wanawake wanne niliozaa nao,ambao walikubali niishi nao kijijini

Watoto wangu hawawajui shangazi zao wala baba wadogo/wakubwa,bibi wala babu

Inawezekana kabisa kuanzisha ukoo wako hujachelewa ndugu yangu
Wily Gamba kazini.......riwaya zake
 
Ninao mpango kama huu maana Ukoo wa Mzee miyayusho sana, Mimi nitaenda mbali zaidi nitaanzisha kabila jipya kabisa sio ukoo tu. Lengo ni kufa na kuacha kabila la watu wasiopungua 500 ikiwa ni jumla ya Watoto, wajukuu na Wake watakaokubali kuambatana nami.
 
Kuna uzi humu wa jamaa ambaye amezinguana na wazazi wake kwa miaka mitatu.

Mimi yakiwahi kunikuta,ni baafa ya jukaa ughaibuni kwa miaka kadhaa na kurudi nchini mikono mitupu.

Dunia ina rangi nyingi sana,hakuna rangi sukuona,ndugu walinitenga sana,upendo wa wazazi sikuuona kabisa.

Mwaka 2013 rafiki yangu akanishauri kutafutamaisha mkoa X,niliendana silingi laki moja ila jamaa alikuwa mwenyeji maeneo yale na tulifanikiwakufanyabiashara ta kylangya mazao ya mbogamboga,tunanunuanyanya,hoho,vitunguu au pilipilina kutuma dar,


Ndani ya mwakammoja nilikuwa na akiba yakama milioni 8 bank,kumbuka hapo hakuna ndugu anayejua nilipo .

Niliweza kukodi mashamba na kujikita kwenye kilimo.
Ule mkoa ulikuwa na wanawake wazuri sana wanaokuja kuomba vibarua shambani,sikubaki nyuma nilikuwa naingia nao kwenye mahusiano mafupi au marefu

Kwa kipindi cha miaka kumi nimebahatika kupata watoto kama 30 na wanatumia ubini wangu,

Zoezi la uzalushaji linaendelea,ninunua shamba kubwa mbali na wanakiji kwagharama ya milioni tano tu,eneo lilikuwa msitu nilifyeka na juanza ufyataji wa tofali za kuchoma,kuchimba kisimana ujenzi wa vijumbaslooes kumi kwa wake zangu,nimejenga pia bweni dogo kwa ajili ya watoto wa kiume.

Nikiwa kijijini mimini mwanakijiji aswaa,nikiwa Dar naishi kwenye apartment ya single room Masaki.

Naweza kusema nina nafsi mbili.
Mojani ile ya village lifena nyingine ni urban life.

Lengo langu ni kutimiza watoti 50 ,sina ndugu ninayewasiliana nae zaidi ya wana JF nyie ndio ndugu zangu pamoja na watoto wangu na wanawake wanne niliozaa nao,ambao walikubali niishi nao kijijini

Watoto wangu hawawajui shangazi zao wala baba wadogo/wakubwa,bibi wala babu

Inawezekana kabisa kuanzisha ukoo wako hujachelewa ndugu yangu
Very interesting mkuu.
Maisha haya jamani.

Je kuna wakati unawa miss ndugu zako?
Ulivyofanikiwa hawajaanza kujipendekeza?

Unaonaje utoe uzi uwaeleze vijana kuwa kwenda ughaibuni sio guarantee ya kufanikiwa na uwaambie hata hapa Tz unaweza kufanikiwa?



(Sorry kama swali litakukwaza)
 
Back
Top Bottom