MAKONGOLOSII
JF-Expert Member
- Jul 31, 2024
- 413
- 640
Ni mwandishi na sio "muandishi". Anyway umeona kiswahili kilivyo kigumu eeh, Sasa acha kukosoa kosoa sana cha msingi ujumbe umefika.Huu ni aina gani ya uwandishi ndugu muandishi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni mwandishi na sio "muandishi". Anyway umeona kiswahili kilivyo kigumu eeh, Sasa acha kukosoa kosoa sana cha msingi ujumbe umefika.Huu ni aina gani ya uwandishi ndugu muandishi
Mkuu hapa Kwa wastani kila mwaka ulikua unapata watoto watatu, wastani wa kila baada ya miezi minne ulikua unapata mtoto. Uliwezaje kuudumia mfulizo huo wa mimba na Sasa watoto wako 30 wanapata malezi stahiki ya mdingi au ndio mateso.Kwa kipindi cha miaka kumi nimebahatika kupata watoto kama 30
Kawaida sana kwa kijijini,vyakula vingi sinunui,nifungue code tu niko Manyara porini ardhi nzuri sanaMkuu hapa Kwa wastani kila mwaka ulikua unapata watoto watatu, wastani wa kila baada ya miezi minne ulikua unapata mtoto. Uliwezaje kuudumia mfulizo huo wa mimba na Sasa watoto wako 30 wanapata malezi stahiki ya mdingi au ndio mateso.
Kuna kuumwa mwana familia, kupeleka shule watoto makazi nk. Hizo gharama uliwezaje kuzimudu ? ukizingatia ww ulienda kijijini na laki.Kawaida sana kwa kijijini,vyakula vingi sinunui,nifungue code tu niko Manyara porini ardhi nzuri sana
ManpowerKuna uzi humu wa jamaa ambaye amezinguana na wazazi wake kwa miaka mitatu.
Mimi yakiwahi kunikuta,ni baada ya kukaa ughaibuni kwa miaka kadhaa na kurudi nchini mikono mitupu.
Dunia ina rangi nyingi sana,hakuna rangi sukuona,ndugu walinitenga sana,upendo wa wazazi sikuuona kabisa.
Mwaka 2013 rafiki yangu akanishauri kutafuta maisha mkoa X,nilienda na silingi laki moja ila jamaa alikuwa mwenyeji maeneo yale na tulifanikiwa kufanya biashara ta kulangua mazao ya mbogamboga,tunanunua nyanya,hoho,vitunguu au pilipili na kutuma dar,
Ndani ya mwakammoja nilikuwa na akiba yakama milioni 8 bank,kumbuka hapo hakuna ndugu anayejua nilipo .
Niliweza kukodi mashamba na kujikita kwenye kilimo.
Ule mkoa ulikuwa na wanawake wazuri sana wanaokuja kuomba vibarua shambani,sikubaki nyuma nilikuwa naingia nao kwenye mahusiano mafupi au marefu
Kwa kipindi cha miaka kumi nimebahatika kupata watoto kama 30 na wanatumia ubini wangu,
Zoezi la uzalushaji linaendelea,ninunua shamba kubwa mbali na wanakiji kwagharama ya milioni tano tu,eneo lilikuwa msitu nilifyeka na juanza ufyataji wa tofali za kuchoma,kuchimba kisimana ujenzi wa vijumbaslooes kumi kwa wake zangu,nimejenga pia bweni dogo kwa ajili ya watoto wa kiume.
Nikiwa kijijini mimini mwanakijiji aswaa,nikiwa Dar naishi kwenye single room
Naweza kusema nina nafsi mbili.
Mojani ile ya village lifena nyingine ni urban life.
Lengo langu ni kutimiza watoti 50 ,sina ndugu ninayewasiliana nae zaidi ya wana JF nyie ndio ndugu zangu pamoja na watoto wangu na wanawake wanne niliozaa nao,ambao walikubali niishi nao kijijini
Watoto wangu hawawajui shangazi zao wala baba wadogo/wakubwa,bibi wala babu
Inawezekana kabisa kuanzisha ukoo wako hujachelewa ndugu yangu
Tofauti ba ujinga ujinga ninaopost humu mimi ni mtu mzima,mwaka 1986 kombe la dunia,nilikuwa na miaka 8 niliangalizia nyumbani kwa Sheikh Yahya,magomeni,aliweka screen kubwa sana pale nje size ya kioo cha mbele cha fuso,pembeni kaoaki limossine yake milango sita
Aaaah nkajua huyu ndo shem darling 😹Usiniambie hujui kwamba siye huyu shemeji yako? Wa kwetu ni Mdakuzi mwaya.
Huyu ananiudhiiiiiiiiii, ana ujinga mwingi.
Mkuu uulienda mkoa ganiKuna uzi humu wa jamaa ambaye amezinguana na wazazi wake kwa miaka mitatu.
Mimi yakiwahi kunikuta,ni baada ya kukaa ughaibuni kwa miaka kadhaa na kurudi nchini mikono mitupu.
Dunia ina rangi nyingi sana,hakuna rangi sukuona,ndugu walinitenga sana,upendo wa wazazi sikuuona kabisa.
Mwaka 2013 rafiki yangu akanishauri kutafuta maisha mkoa X,nilienda na silingi laki moja ila jamaa alikuwa mwenyeji maeneo yale na tulifanikiwa kufanya biashara ta kulangua mazao ya mbogamboga,tunanunua nyanya,hoho,vitunguu au pilipili na kutuma dar,
Ndani ya mwakammoja nilikuwa na akiba yakama milioni 8 bank,kumbuka hapo hakuna ndugu anayejua nilipo .
Niliweza kukodi mashamba na kujikita kwenye kilimo.
Ule mkoa ulikuwa na wanawake wazuri sana wanaokuja kuomba vibarua shambani,sikubaki nyuma nilikuwa naingia nao kwenye mahusiano mafupi au marefu
Kwa kipindi cha miaka kumi nimebahatika kupata watoto kama 30 na wanatumia ubini wangu,
Zoezi la uzalushaji linaendelea,ninunua shamba kubwa mbali na wanakiji kwagharama ya milioni tano tu,eneo lilikuwa msitu nilifyeka na juanza ufyataji wa tofali za kuchoma,kuchimba kisimana ujenzi wa vijumbaslooes kumi kwa wake zangu,nimejenga pia bweni dogo kwa ajili ya watoto wa kiume.
Nikiwa kijijini mimini mwanakijiji aswaa,nikiwa Dar naishi kwenye single room
Naweza kusema nina nafsi mbili.
Mojani ile ya village lifena nyingine ni urban life.
Lengo langu ni kutimiza watoti 50 ,sina ndugu ninayewasiliana nae zaidi ya wana JF nyie ndio ndugu zangu pamoja na watoto wangu na wanawake wanne niliozaa nao,ambao walikubali niishi nao kijijini
Watoto wangu hawawajui shangazi zao wala baba wadogo/wakubwa,bibi wala babu
Inawezekana kabisa kuanzisha ukoo wako hujachelewa ndugu yangu
Tofauti ba ujinga ujinga ninaopost humu mimi ni mtu mzima,mwaka 1986 kombe la dunia,nilikuwa na miaka 8 niliangalizia nyumbani kwa Sheikh Yahya,magomeni,aliweka screen kubwa sana pale nje size ya kioo cha mbele cha fuso,pembeni kaoaki limossine yake milango sita
Haaaa Eve jamaniiii! Si bora ningebaki tu single?Aaaah nkajua huyu ndo shem darling 😹
Mkuu amepuyanga dakika zote tisini eti UWANDISHI badala ya UANDISHI...Ni mwandishi na sio "muandishi". Anyway umeona kiswahili kilivyo kigumu eeh, Sasa acha kukosoa kosoa sana cha msingi ujumbe umefika.