RedPill Prophet
JF-Expert Member
- Apr 25, 2023
- 1,408
- 3,564
Kumbe yapo.Jamaa ameshakula sasa amemkinai mapema hapa anatafuta tu sababu ya kuingia mitaani.
Ila nawatahadharisha tu mtindo wa kuchezea mabinti za watu na kuwakimbia mkumbuke kuna kurogwa, ni vitu nimeshuhudia kwa macho yangu sikuhadithiwa.
Wewe una moyo mgumu sana, mwezi mmoja? Unakaa na malaika? Mimi siku 3 tu nishamchoka.Dah wazee, kutokuoa ni Bora kuliko kuoa, nimekaa Miaka mingi ya u-bachelor mpaka age ilipoanza kusonga hivi, maisha yangu yote yalikua ya furaha isiyo na kifani, Sina stress za hovyo hovyo naweza kujiamulia kwenda sehemu yoyote bila stress, mipango yangu Ilikua inaenda sawa kidogo nachokipata najibana nikajikita kununua mashamba, kiufupi maisha yalikua mazuri though nilikua na mchumba mmoja wa muda mrefu kidogo, nikasema nivute niiweke sawa nikatoe mahali baadae kidogo.
Ni mwezi mmoja tu Lakini stress nilizonazo ni kama nimekaa Miaka 70 kwenye ndoa, ogopa Mwanamke mjuaji , kiburi Cha chini chini asiefata maelekezo kichwa changu kinawaka moto vibaya mno Sina furaha tena nimemtimua aondoke amegoma naona hapa Mimi ndio nitimke kimya kimya nimuachie vitu nisepe.
Ninapokaa hapa Nina miaka 5 Sina mazoea na watu kabisa sipendi kuzoeana na siruhusu mtu anizoee zaidi ya salamu (haswa Majirani) Wananiona mkorofi sana kwa sababu ya kutopenda mazoea, alipofika hapa nilimwambia principle yangu huwa sipendi mazoea na watu zaidi ya salamu na vitu vingine vidogo vya ku-socialize Lakini mazoea lazima yawe na mipaka. Ooh ndani ya mwezi ameshajuana na watu mbalimbali Majirani woote wanamfahamu.
Ndani ya Mwezi mmoja tu Majirani wote wanajua identity yake tokea alipozaliwa na mikoa aliyoishi Hapo kabla, kiukweli Sielewi but moyo wangu una hasira sana. Kiukweli sipendi kufungua password ya maisha yangu kabisa tena kwa stranger Lakini huyu yeye akitekenywa tu anafunguka vibaya mno japo tokea amekuja nimeshamwambia Zaidi ya mara 1000 never trust anybody Kila unaemuona mbele yako muone kama threat kwenye maisha yako, Lakini aelewi.
Kwa sehemu mbalimbali nilipopita Kwa nature ya mabinti kama huyu nilienae Ilikua rahisi sana kusex nae bila hata ya kumtongoza kwa sababu unachokifanya ni kutengeneza mazoea tu na trust kwa sababu wamejengwa kuamini watu mapema huwa wanaliwa kizembe tu.
Mmewezaje kukaa na Mwanamke mjuaji? Unalomwambia hafanyi? Wala maelekezo hafati?
Nimeona kwamba katika Maisha watu tupo na character tofauti tofauti, tumezaliwa katika mazingira tofauti tunapokutana ukubwani kimbembe Cha kubadilishana tabia ndio kinaanza unakua mwana saikolojia, sosholojia na filosofia bila kupenda.
Navyoona huko mbeleni kama naenda kupiga mtu vibaya mno.
🤣🤣🤣🙌Mimi mwenyewe soon namfukuza mtu...
NAKAZIAKataa ndoa
Ndoa ni msongamano
Tunza kibunda chako!!
Mademu wanavyopenda tamthilia na internet yeye muda huo anautowa wapi? Au huna TV na hulipii subscription? Umemnunulia smartphone? Unamuwekea bando?Nikitoka job namkuta yupo na Majirani huko nje, story zake tukiwa tunaongea. pia weekend huwa nashinda ndani asubuhi mpaka jioni akitoka nje akiwa anafanya shughuli zake, utamsikia Mimi Dodoma hivi na vile....eeeh Nina ndugu yangu pale....nimekaa sana pale.....nimesoma Hapo.....hata Mama yangu alishaugua huo ugonjwa.....chuma hayo majani yanatobu UTI. Nadhani umenielewa kaka, Sasa hiyo situation ya kuongea ongea sana sijisikii vizuri kabisa.
nlitegemea kukutana na haya maandishi page ya kwanza,, ila hata hivyo hujachelewa sana 😊😎NAKAZIA
NAKAZIA
NAKAZIA
Jumamosi mnatakiwa ushinde naye ndani siku nzima jioni unatoka ukirudi unakesha naye mpaka Jumapili jioni, sawa.Nikitoka job namkuta yupo na Majirani huko nje, story zake tukiwa tunaongea. pia weekend huwa nashinda ndani asubuhi mpaka jioni akitoka nje akiwa anafanya shughuli zake, utamsikia Mimi Dodoma hivi na vile....eeeh Nina ndugu yangu pale....nimekaa sana pale.....nimesoma Hapo.....hata Mama yangu alishaugua huo ugonjwa.....chuma hayo majani yanatobu UTI. Nadhani umenielewa kaka, Sasa hiyo situation ya kuongea ongea sana sijisikii vizuri kabisa.
Hahaha umenifanya roboti siyonlitegemea kukutana na haya maandishi page ya kwanza,, ila hata hivyo hujachelewa sana 😊😎
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Mi alijichanganya eti anaenda kwao, kesho yake asubuhi nikampeleka Ubungo!
Hizi stress zisikie tu, wanawake wanaojielewa sijui wanapatikana wapi!
Hamna, kwenye mada kama hizi huwa lazima nikutane nayo mwanzoni kabisa.hahaha umenifanya roboti siyo
Hapana ndugu yangu, Kuna siku nimemzingua sana akampigia simu mama yake, nikamwambia Mama yake jinsi ilivyo, tatizo ni jambo moja tu ambalo linaleta mgogoro, Mazoea Mazoea na watu ndio chanzo. Na Mimi tokea nimezaliwa kwa mzee wangu Familia yetu mzee wangu alikuwa anapinga sana mazoea ya hovyo na watu watu, ndio principle niliyokuwa nayo.Jamaa ameshakula sasa amemkinai mapema hapa anatafuta tu sababu ya kuingia mitini.
Ila nawatahadharisha tu mtindo wa kuchezea mabinti za watu na kuwakimbia mkumbuke kuna kurogwa, ni vitu nimeshuhudia kwa macho yangu sikuhadithiwa.
Mbona wanaojielewa wapo wengi? Vijana si mnataka tako? aliwadanganya nani tako na akili vinakaa sehemu moja?Mi alijichanganya eti anaenda kwao, kesho yake asubuhi nikampeleka Ubungo!
Hizi stress zisikie tu, wanawake wanaojielewa sijui wanapatikana wapi!
NAKAZIAWakubwa wanashauri vijana msioe hamtaki