Imetosha Kikwete Kusemwa, Mlitaka afanyeje?

Imetosha Kikwete Kusemwa, Mlitaka afanyeje?

Umewaza kama nlivokua nawaza uraisi mfumo na mfumo ndo ulimkata lowasa first....Lowasa ni kkkt na mfumo unamtaka Rc mpk hapo JK angefanya nn kwa mfano na je jk pekee ndo alikua na maamuz dhid ya kina mzeee mkapa??
 
Hakuna ubaya aliyofanya JK hata mmoja;

Unataka kuniambia JK ndio alikuwa ni last say nani awe Rais au asiwe? Au mlitaka amwambie lowassa asichukue form ?

Naomba kurudia tena, decision ya nani aende nani asiende, sio individual decision , ni group decision yaani inner circle wale ma elite. Kama elite wapo 12 , mmoja atakuwa na nguvu ya kuamua maamuzi ya wote ?

Edo alishakataliwa first day , JK anaingiaje ?
Au nafasi ya Urais ni ushikaji na family decision! ?

Kosa la JK lipo wap?

Wekeni hard evidence

Ishu ya Richmond , Edo hajui taratibu za utumishi na namna govt inafanya kazi ?

Kama kweli alipikiwa zengwe, then he was never smart and unfit for the throne
Wewe ndio unaanzisha Uzi makusudi Ili mzee Kikwete ashambuliwe

Unachofanya ni Unafiq Uliotukuka 🐼
 
Wewe mtetee tu, lakini kaa ukijua msingi wa matatizo ya afya ya Lowassa unaelezwa kuchangiwa na fitna za mzee wa Msoga.

Yule ni kigagula wa kikwere.
Kwahiyo alimroga?

Au kuukosa Urais ndio kulimpa maradhi?, kwahiyo ilikuwa lazima awe Rais?

Maradhi kama yalisababishwa na kuukosa Urais duh hii itakuwa kali ya mwaka.
Kama alipigwa kitu, basi jua ilikuwa akuanzaye mmalizaye maana hiyo ndio style ya Mkwere yule.
 
Tangu Lowassa afe, maneno yote mabaya yanaenda kwa JK , kwenye jamii yako iliyokuzunguka kama haikukubali au haikuoni unafaa kwenye jambo fulani kuna tatizo?

Who is lowassa by the way kwenye nchi hiyo kwamba ilitakiwa ni lazima aje kuwa Rais wa JMT?

Lowassa hakuonekana kama ana maadili ya kuwa Rais, Jamii iliyomzunguka ndio ilimuona HAIFAI tangu na baada.

Suala la kumuondoa Lowassa halikuwa ni maamuzi ya JK binafsi. yalikuwa ni maamuzi ya Inner Circle na JK hana uwezo wa kumuahidi mtu nafasi kubwa kama hiyo yenye maamuzi ya wengi ni ujinga kuona hata wasomi wanaimba wimbo wa usaliti;

Chadema pia ilimkataa lowassa first hand na wao ndio walisema CCM inaenda kumsimamisha FISADI, au tuweke ushahidi?

Mlitaka kamati ya CCM ipoteze reputation kumsimamisha lowassa? He is just a human na kufa kila mtu atakufa na kifo sio ishara ya huruma.

Kwamba JK alimsaliti lowassa kwani nafasi ya Urais ni ushikaji au ni nafasi ya familia ? Anatoa tu subjectively !?

Kuwa Rais ni competency na acceptance ya watu wako , Lowassa was destined to be the president that never was.

Kumlaumu JK kwa failure ya Edo ni sawa na kumlaumu Shetani kwenye mythical story ya Adam na Eva kwenye imaginary garden. If it was meant Adam na Hawa waishi kwenye garden , kwanini serpent the deceiver nae akawa sehemu ya garden?

The story is myth , it never happened but it happens always !

JK aachwe na hana kosa wala baya, na hakuwa anamtaka hata huyo JPM, that should tell kuwa hata angetaka lowassa apite, the inner cycle ilishasema NO !

Jk had to respect the agreed decision or else arudishe kadi ya CCM, simple like that .

JK this JK that , by the way kwani lowassa ni Nani? Si ni mtu kama watu wengine waliowahi kuutaka urais na kuukosa, anatofauti gani na hao ?

Yaani unautaka Urais kwa kutegemea favor za mtu fulani, he was supposed to fight for his own course na sio ushikaji sijui tumetoka mbali, it never worked that way .

JK hana baya na azidi kuishi maisha marefu

Mkafanye kazi sasa ; lowassa wa watu kaenda zake kwa amani apumzike.
Mkuu, kutokana na hii mada yako, hivi ni kwamba unalalamika, unashauri, unashutumu, unahitimisha, ama unaweka msisitizo? Ni haki ya kikatiba ya watu kutoa maoni yao, haijalishi kama yanakufurahisha ama la.
 
Tulitaka JK ama aombe radhi kwa ubaya wote aliomtendea marehemu au akae kimya, kuliko kujivika unafiki wa kishirikina kutoka huko msoga ndani ndani.
Aombe radhi kwa lipi? Hii nchi ina wapumbavu wengi sana.

Kwani Lowasa alishawahi kukulalamikia hadharani kwamba anafanyiwa ubaya na JK?

Tatizo lenu mnapenda sana kujitungia stori na kupenda uzushi usiokuwa na mashiko.

Weka ushahidi hapa kwamba JK na EL walikuwa na ugomvi.
 
Akiwa hai hakukwenda kumjulia hali....
Akiwa hai hakumsifia kwa mema....
Alipokufa akakimbilia kumzika...
Alipokufa akakimbilia kumsifia...

JK kama sio mchawi atakuwa nani?
Ni kiongozi gani aliwahi kusifiwa akiwa hai? Wapo waliokuwa wanamchukia Magufuli lakini alipofariki walimsifia.

JK hana tofauti na binadamu mwingine yeyote kwahiyo kama ilivyo desturi yetu mtu husifiwa akiwa ametangulia mbele ya haki.

Hata JK angetangulia bado EL angeenda msibani na kumsifia sasa unashangaa nini hapo?
 
Ukweli unaujua Ila umetanguliza tumbo lakombele kuliko utaifa.

Kwani umeahidiwa Nini Hadi unajichafua kiasihichi?
Lowasa aliwahi kutoka hadharani kulalamika kwamba JK ndiye alimsaliti?

Au ni mawazo yako tu yanakupeleka na kukuendesha? Maana hakuna mahali Lowasa alimtaja JK kwa kumsababishia baya lolote.
 
This is too subjective brother, it does not nullify the claim that JK ni msaliti!


Weka data

Suala la kwenda kumuona akiwa anaumwa, hata mimi sikwenda, je ni usaliti?

Kwani ni sheria kumuona EDO ?

Weka data tuache hisia

Kosa la JK ni lipi kwa EDO , usaliti ni upi

Au ndio
Kikombe cha babu kuwa kila mtu anakunywa bila ya kuwa na why and how
Mkuu watu wengi humu wanaendeshwa na mihemko wala sio facts. Eti JK alaumiwe kwa EL kukosa urais?

JK hana mamlaka ya kuamua nani awe Rais ndiyo maana kuna vyombo mbalimbali vinafanya vetting ya nani anafaa hivyo lawama kwa JK ni za kupuuzwa tu.

Halafu unakuta lijitu limeenda hadi chuo halafu linaishi kwa uzushi wa vijiweni kwamba EL alikosa urais kisa JK alimsaliti.

Upumbav ni janga halisi kwa watu wengi.
 
Nakwambia hivi, last say ya Lowassa asiwe rais ilikuwa mikononi mwa Kikwete. WanaCCM walishaamua Lowassa awe mgombea wao na watanzania walishaamua Lowassa awe rais wao, lakini JK akasema never, never, never forever.
Una uhakika wanaccm wote walitaka Edo awe Rais? Na uhakika gani unao kwamba watanzania waliamua Edo awe Rais wao?

Huwa mnafanyia wapi tafiti zenu? Acheni kujidanganya kwenye vijiwe vya kahawa mnaokoteza vijistori basi unakimbilia Jf.

JK hana mamlaka ya kuwachagulia watanzania nani awe Rais bali mchakato unaanzia ndani ya chama kisha wanaachiwa watanzania waamue.

Kama watanzania waliamua Edo awe Rais mbona alivyoenda upande wa pili hakufanikiwa kuwa Rais?
 
So what ? Ni lazima kufanya hivo ?they were never friends , ni watu wanaofahamiana tu .

Sio lazima kumjulia hali, kuna sheria inasema ni lazima aende?

Msilazimishe vitu ambavyo HAVIPO
Lowassa was not a saint , ni mtu kama watu wengine
Akili yako haiko sawa, na hauna ubinadamu.
 
So what ? Ni lazima kufanya hivo ?they were never friends , ni watu wanaofahamiana tu .

Sio lazima kumjulia hali, kuna sheria inasema ni lazima aende?

Msilazimishe vitu ambavyo HAVIPO
Lowassa was not a saint , ni mtu kama watu wengine

Sasa JK mwenyewe juzi kasema walikuwa marafiki wakubwa alafu wewe unasema hawakuwahi kuwa marafiki. Bado unataka tukuchukulie Serious kwa ulichoandika.

Ni Wajínga pekee watakaochukulia maoni yako kwa uthabiti. Hii ni kama futuhi.
 
Back
Top Bottom