Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
🤣🤣🤣🤣Mwanamke akikupenda anakupigania sana. Sisi wanaume hatuwezi hivi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣Mwanamke akikupenda anakupigania sana. Sisi wanaume hatuwezi hivi.
Haya yooote yanayosemwa juu ya Kikwete na Lowassa yasingesemwa iwapo Kikwete angetuongoza kupata katiba mpya yenye kuwapa wananchi uhuru wa kuchagua viongozi wake pasi na kutegemea nguvu ya dola ambayo inamilikiwa na rais. Hata Lowassa mwenyewe, pengine angepigania tuwe na katiba nzuri, asingekosa urais 2015. Tumepata fundisho gani? Hizi ni lawama za kujitakia, wacha watu wamkaange!So what ? Ni lazima kufanya hivo ?they were never friends , ni watu wanaofahamiana tu .
Sio lazima kumjulia hali, kuna sheria inasema ni lazima aende?
Msilazimishe vitu ambavyo HAVIPO
Lowassa was not a saint , ni mtu kama watu wengine
Asante Sana aspAkiwa hai hakukwenda kumjulia hali....
Akiwa hai hakumsifia kwa mema....
Alipokufa akakimbilia kumzika...
Alipokufa akakimbilia kumsifia...
JK kama sio mchawi atakuwa nani?
Ni lazima?Hakwenda kumjulia hali edo hospitali
Jmn huyu Masai aliniuma Sana kukatwa jina lake mm Niko namtumbo ila wilayanzima ilikuwa inamkubali lowasa as if alipata kuwa kijana waoNakwambia hivi, last say ya Lowassa asiwe rais ilikuwa mikononi mwa Kikwete. WanaCCM walishaamua Lowassa awe mgombea wao na watanzania walishaamua Lowassa awe rais wao, lakini JK akasema never, never, never forever.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ubaya na alimteua kuwa Waziri Mkuu?? Kikwete kambi yake yote aliipa nafasi.Tulitaka JK ama aombe radhi kwa ubaya wote aliomtendea marehemu au akae kimya, kuliko kujivika unafiki wa kishirikina kutoka huko msoga ndani ndani.
JK alimteua LOWASSA kuwa Waziri Mkuu kipindi Lowassa ameshafariki si ndio????Akiwa hai hakukwenda kumjulia hali....
Akiwa hai hakumsifia kwa mema....
Alipokufa akakimbilia kumzika...
Alipokufa akakimbilia kumsifia...
JK kama sio mchawi atakuwa nani?
Kama watanzania mliamua mbona hakuwa Rais sasa? Si aligombea kupitia CDM?Nakwambia hivi, last say ya Lowassa asiwe rais ilikuwa mikononi mwa Kikwete. WanaCCM walishaamua Lowassa awe mgombea wao na watanzania walishaamua Lowassa awe rais wao, lakini JK akasema never, never, never forever.
Wewe ndio unaanzisha Uzi makusudi Ili mzee Kikwete ashambuliwe
Unachofanya ni Unafiq Uliotukuka 🐼
Jinga kabisa wewe kama unataka uaminike kwa huu uharo wako uliharisha hapa ni kwa nn huyo jk alilikata jina edo kwenda kwenye kamati kuu ili ijulikane ni kweli alikuwa hatakiwi.Tangu Lowassa afe, maneno yote mabaya yanaenda kwa JK , kwenye jamii yako iliyokuzunguka kama haikukubali au haikuoni unafaa kwenye jambo fulani kuna tatizo?
Who is lowassa by the way kwenye nchi hiyo kwamba ilitakiwa ni lazima aje kuwa Rais wa JMT?
Lowassa hakuonekana kama ana maadili ya kuwa Rais, Jamii iliyomzunguka ndio ilimuona HAIFAI tangu na baada.
Suala la kumuondoa Lowassa halikuwa ni maamuzi ya JK binafsi. yalikuwa ni maamuzi ya Inner Circle na JK hana uwezo wa kumuahidi mtu nafasi kubwa kama hiyo yenye maamuzi ya wengi ni ujinga kuona hata wasomi wanaimba wimbo wa usaliti;
Chadema pia ilimkataa lowassa first hand na wao ndio walisema CCM inaenda kumsimamisha FISADI, au tuweke ushahidi?
Mlitaka kamati ya CCM ipoteze reputation kumsimamisha lowassa? He is just a human na kufa kila mtu atakufa na kifo sio ishara ya huruma.
Kwamba JK alimsaliti lowassa kwani nafasi ya Urais ni ushikaji au ni nafasi ya familia ? Anatoa tu subjectively !?
Kuwa Rais ni competency na acceptance ya watu wako , Lowassa was destined to be the president that never was.
Kumlaumu JK kwa failure ya Edo ni sawa na kumlaumu Shetani kwenye mythical story ya Adam na Eva kwenye imaginary garden. If it was meant Adam na Hawa waishi kwenye garden , kwanini serpent the deceiver nae akawa sehemu ya garden?
The story is myth , it never happened but it happens always !
JK aachwe na hana kosa wala baya, na hakuwa anamtaka hata huyo JPM, that should tell kuwa hata angetaka lowassa apite, the inner cycle ilishasema NO !
Jk had to respect the agreed decision or else arudishe kadi ya CCM, simple like that .
JK this JK that , by the way kwani lowassa ni Nani? Si ni mtu kama watu wengine waliowahi kuutaka urais na kuukosa, anatofauti gani na hao ?
Yaani unautaka Urais kwa kutegemea favor za mtu fulani, he was supposed to fight for his own course na sio ushikaji sijui tumetoka mbali, it never worked that way .
JK hana baya na azidi kuishi maisha marefu
Mkafanye kazi sasa ; lowassa wa watu kaenda zake kwa amani apumzike.
Very beautiful philosophical reflection! I salute and concur with you Megalodon!Tangu Lowassa afe, maneno yote mabaya yanaenda kwa JK , kwenye jamii yako iliyokuzunguka kama haikukubali au haikuoni unafaa kwenye jambo fulani kuna tatizo?
Who is lowassa by the way kwenye nchi hiyo kwamba ilitakiwa ni lazima aje kuwa Rais wa JMT?
Lowassa hakuonekana kama ana maadili ya kuwa Rais, Jamii iliyomzunguka ndio ilimuona HAIFAI tangu na baada.
Suala la kumuondoa Lowassa halikuwa ni maamuzi ya JK binafsi. yalikuwa ni maamuzi ya Inner Circle na JK hana uwezo wa kumuahidi mtu nafasi kubwa kama hiyo yenye maamuzi ya wengi ni ujinga kuona hata wasomi wanaimba wimbo wa usaliti;
Chadema pia ilimkataa lowassa first hand na wao ndio walisema CCM inaenda kumsimamisha FISADI, au tuweke ushahidi?
Mlitaka kamati ya CCM ipoteze reputation kumsimamisha lowassa? He is just a human na kufa kila mtu atakufa na kifo sio ishara ya huruma.
Kwamba JK alimsaliti lowassa kwani nafasi ya Urais ni ushikaji au ni nafasi ya familia ? Anatoa tu subjectively !?
Kuwa Rais ni competency na acceptance ya watu wako , Lowassa was destined to be the president that never was.
Kumlaumu JK kwa failure ya Edo ni sawa na kumlaumu Shetani kwenye mythical story ya Adam na Eva kwenye imaginary garden. If it was meant Adam na Hawa waishi kwenye garden , kwanini serpent the deceiver nae akawa sehemu ya garden?
The story is myth , it never happened but it happens always !
JK aachwe na hana kosa wala baya, na hakuwa anamtaka hata huyo JPM, that should tell kuwa hata angetaka lowassa apite, the inner cycle ilishasema NO !
Jk had to respect the agreed decision or else arudishe kadi ya CCM, simple like that .
JK this JK that , by the way kwani lowassa ni Nani? Si ni mtu kama watu wengine waliowahi kuutaka urais na kuukosa, anatofauti gani na hao ?
Yaani unautaka Urais kwa kutegemea favor za mtu fulani, he was supposed to fight for his own course na sio ushikaji sijui tumetoka mbali, it never worked that way .
JK hana baya na azidi kuishi maisha marefu
Mkafanye kazi sasa ; lowassa wa watu kaenda zake kwa amani apumzike.
Tangu Lowassa afe, maneno yote mabaya yanaenda kwa JK , kwenye jamii yako iliyokuzunguka kama haikukubali au haikuoni unafaa kwenye jambo fulani kuna tatizo?
Who is lowassa by the way kwenye nchi hiyo kwamba ilitakiwa ni lazima aje kuwa Rais wa JMT?
Lowassa hakuonekana kama ana maadili ya kuwa Rais, Jamii iliyomzunguka ndio ilimuona HAIFAI tangu na baada.
Suala la kumuondoa Lowassa halikuwa ni maamuzi ya JK binafsi. yalikuwa ni maamuzi ya Inner Circle na JK hana uwezo wa kumuahidi mtu nafasi kubwa kama hiyo yenye maamuzi ya wengi ni ujinga kuona hata wasomi wanaimba wimbo wa usaliti;
Chadema pia ilimkataa lowassa first hand na wao ndio walisema CCM inaenda kumsimamisha FISADI, au tuweke ushahidi?
Mlitaka kamati ya CCM ipoteze reputation kumsimamisha lowassa? He is just a human na kufa kila mtu atakufa na kifo sio ishara ya huruma.
Kwamba JK alimsaliti lowassa kwani nafasi ya Urais ni ushikaji au ni nafasi ya familia ? Anatoa tu subjectively !?
Kuwa Rais ni competency na acceptance ya watu wako , Lowassa was destined to be the president that never was.
Kumlaumu JK kwa failure ya Edo ni sawa na kumlaumu Shetani kwenye mythical story ya Adam na Eva kwenye imaginary garden. If it was meant Adam na Hawa waishi kwenye garden , kwanini serpent the deceiver nae akawa sehemu ya garden?
The story is myth , it never happened but it happens always !
JK aachwe na hana kosa wala baya, na hakuwa anamtaka hata huyo JPM, that should tell kuwa hata angetaka lowassa apite, the inner cycle ilishasema NO !
Jk had to respect the agreed decision or else arudishe kadi ya CCM, simple like that .
JK this JK that , by the way kwani lowassa ni Nani? Si ni mtu kama watu wengine waliowahi kuutaka urais na kuukosa, anatofauti gani na hao ?
Yaani unautaka Urais kwa kutegemea favor za mtu fulani, he was supposed to fight for his own course na sio ushikaji sijui tumetoka mbali, it never worked that way .
JK hana baya na azidi kuishi maisha marefu
Mkafanye kazi sasa ; lowassa wa watu kaenda zake kwa amani apumzike.
Kundi liliitwa boyz 2 men, sio wale waimbaji wa rnb wa marekani bali ni kundi la marafiki wawili wakubwa wa kisiasa nchini. Walienda vizuri tu katika siasa zao wakisaidiana kukamata madaraka yenye hadhi na utukufu wa nchi. Mbeleni mmoja wao akamsaliti na kumtosa mwenzake afilie mbali kisiasa. Sasa kwa mukhtadha huo unategemea watu waseme nini juu ya kadhia ya usaliti kwa mwenzake? Acha asemwe mpaka ajutie dhambi ya usaliti. Usaliti haujawahi kumpa mtu raha maishani
Kundi liliitwa boyz 2 men, sio wale waimbaji wa rnb wa marekani bali ni kundi la marafiki wawili wakubwa wa kisiasa nchini. Walienda vizuri tu katika siasa zao wakisaidiana kukamata madaraka yenye hadhi na utukufu wa nchi. Mbeleni mmoja wao akamsaliti na kumtosa mwenzake afilie mbali kisiasa. Sasa kwa mukhtadha huo unategemea watu waseme nini juu ya kadhia ya usaliti kwa mwenzake? Acha asemwe mpaka ajutie dhambi ya usaliti. Usaliti haujawahi kumpa mtu raha maishani