Imetosha Kikwete Kusemwa, Mlitaka afanyeje?

Imetosha Kikwete Kusemwa, Mlitaka afanyeje?

watajuana wenyewe. mambo yenyewe yako shagalabagala duniani tunapita samba mapangala
 
So what ? Ni lazima kufanya hivo ?they were never friends , ni watu wanaofahamiana tu .

Sio lazima kumjulia hali, kuna sheria inasema ni lazima aende?

Msilazimishe vitu ambavyo HAVIPO
Lowassa was not a saint , ni mtu kama watu wengine
Haya yooote yanayosemwa juu ya Kikwete na Lowassa yasingesemwa iwapo Kikwete angetuongoza kupata katiba mpya yenye kuwapa wananchi uhuru wa kuchagua viongozi wake pasi na kutegemea nguvu ya dola ambayo inamilikiwa na rais. Hata Lowassa mwenyewe, pengine angepigania tuwe na katiba nzuri, asingekosa urais 2015. Tumepata fundisho gani? Hizi ni lawama za kujitakia, wacha watu wamkaange!
 
Binafsi naungana na mtoa hoja.. kuna maamuzi huwezi fanya mwenyewe hata kwenye level za familia, au kazini lazima kuna committee/Management ikae ifanye maamuzi ndipo muendelee na jambo fulani.
Sasa jaribu kuwaza suala la maamuzi nani awe Rais wa Nchi halafu leo uje ulaumu mtu mmoja.
 
Akiwa hai hakukwenda kumjulia hali....
Akiwa hai hakumsifia kwa mema....
Alipokufa akakimbilia kumzika...
Alipokufa akakimbilia kumsifia...

JK kama sio mchawi atakuwa nani?
Asante Sana asp

Mm niishie hapa mleta mada Ni jk mwenywe mtupu
 
Nakwambia hivi, last say ya Lowassa asiwe rais ilikuwa mikononi mwa Kikwete. WanaCCM walishaamua Lowassa awe mgombea wao na watanzania walishaamua Lowassa awe rais wao, lakini JK akasema never, never, never forever.
Jmn huyu Masai aliniuma Sana kukatwa jina lake mm Niko namtumbo ila wilayanzima ilikuwa inamkubali lowasa as if alipata kuwa kijana wao

Ona sasa walio ingia badala yake
 
Tulitaka JK ama aombe radhi kwa ubaya wote aliomtendea marehemu au akae kimya, kuliko kujivika unafiki wa kishirikina kutoka huko msoga ndani ndani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ubaya na alimteua kuwa Waziri Mkuu?? Kikwete kambi yake yote aliipa nafasi.
 
Akiwa hai hakukwenda kumjulia hali....
Akiwa hai hakumsifia kwa mema....
Alipokufa akakimbilia kumzika...
Alipokufa akakimbilia kumsifia...

JK kama sio mchawi atakuwa nani?
JK alimteua LOWASSA kuwa Waziri Mkuu kipindi Lowassa ameshafariki si ndio????
 
Tangu Lowassa afe, maneno yote mabaya yanaenda kwa JK , kwenye jamii yako iliyokuzunguka kama haikukubali au haikuoni unafaa kwenye jambo fulani kuna tatizo?

Who is lowassa by the way kwenye nchi hiyo kwamba ilitakiwa ni lazima aje kuwa Rais wa JMT?

Lowassa hakuonekana kama ana maadili ya kuwa Rais, Jamii iliyomzunguka ndio ilimuona HAIFAI tangu na baada.

Suala la kumuondoa Lowassa halikuwa ni maamuzi ya JK binafsi. yalikuwa ni maamuzi ya Inner Circle na JK hana uwezo wa kumuahidi mtu nafasi kubwa kama hiyo yenye maamuzi ya wengi ni ujinga kuona hata wasomi wanaimba wimbo wa usaliti;

Chadema pia ilimkataa lowassa first hand na wao ndio walisema CCM inaenda kumsimamisha FISADI, au tuweke ushahidi?

Mlitaka kamati ya CCM ipoteze reputation kumsimamisha lowassa? He is just a human na kufa kila mtu atakufa na kifo sio ishara ya huruma.

Kwamba JK alimsaliti lowassa kwani nafasi ya Urais ni ushikaji au ni nafasi ya familia ? Anatoa tu subjectively !?

Kuwa Rais ni competency na acceptance ya watu wako , Lowassa was destined to be the president that never was.

Kumlaumu JK kwa failure ya Edo ni sawa na kumlaumu Shetani kwenye mythical story ya Adam na Eva kwenye imaginary garden. If it was meant Adam na Hawa waishi kwenye garden , kwanini serpent the deceiver nae akawa sehemu ya garden?

The story is myth , it never happened but it happens always !

JK aachwe na hana kosa wala baya, na hakuwa anamtaka hata huyo JPM, that should tell kuwa hata angetaka lowassa apite, the inner cycle ilishasema NO !

Jk had to respect the agreed decision or else arudishe kadi ya CCM, simple like that .

JK this JK that , by the way kwani lowassa ni Nani? Si ni mtu kama watu wengine waliowahi kuutaka urais na kuukosa, anatofauti gani na hao ?

Yaani unautaka Urais kwa kutegemea favor za mtu fulani, he was supposed to fight for his own course na sio ushikaji sijui tumetoka mbali, it never worked that way .

JK hana baya na azidi kuishi maisha marefu

Mkafanye kazi sasa ; lowassa wa watu kaenda zake kwa amani apumzike.
Jinga kabisa wewe kama unataka uaminike kwa huu uharo wako uliharisha hapa ni kwa nn huyo jk alilikata jina edo kwenda kwenye kamati kuu ili ijulikane ni kweli alikuwa hatakiwi.

Jk anasababu za kulaumiwa kwa kupindisha mchakato wa kimaamuzi kwa kukata jina la lowasa kwakuwa alijua atachaguliwa tu kwa vyovyote vile.

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
 
Tangu Lowassa afe, maneno yote mabaya yanaenda kwa JK , kwenye jamii yako iliyokuzunguka kama haikukubali au haikuoni unafaa kwenye jambo fulani kuna tatizo?

Who is lowassa by the way kwenye nchi hiyo kwamba ilitakiwa ni lazima aje kuwa Rais wa JMT?

Lowassa hakuonekana kama ana maadili ya kuwa Rais, Jamii iliyomzunguka ndio ilimuona HAIFAI tangu na baada.

Suala la kumuondoa Lowassa halikuwa ni maamuzi ya JK binafsi. yalikuwa ni maamuzi ya Inner Circle na JK hana uwezo wa kumuahidi mtu nafasi kubwa kama hiyo yenye maamuzi ya wengi ni ujinga kuona hata wasomi wanaimba wimbo wa usaliti;

Chadema pia ilimkataa lowassa first hand na wao ndio walisema CCM inaenda kumsimamisha FISADI, au tuweke ushahidi?

Mlitaka kamati ya CCM ipoteze reputation kumsimamisha lowassa? He is just a human na kufa kila mtu atakufa na kifo sio ishara ya huruma.

Kwamba JK alimsaliti lowassa kwani nafasi ya Urais ni ushikaji au ni nafasi ya familia ? Anatoa tu subjectively !?

Kuwa Rais ni competency na acceptance ya watu wako , Lowassa was destined to be the president that never was.

Kumlaumu JK kwa failure ya Edo ni sawa na kumlaumu Shetani kwenye mythical story ya Adam na Eva kwenye imaginary garden. If it was meant Adam na Hawa waishi kwenye garden , kwanini serpent the deceiver nae akawa sehemu ya garden?

The story is myth , it never happened but it happens always !

JK aachwe na hana kosa wala baya, na hakuwa anamtaka hata huyo JPM, that should tell kuwa hata angetaka lowassa apite, the inner cycle ilishasema NO !

Jk had to respect the agreed decision or else arudishe kadi ya CCM, simple like that .

JK this JK that , by the way kwani lowassa ni Nani? Si ni mtu kama watu wengine waliowahi kuutaka urais na kuukosa, anatofauti gani na hao ?

Yaani unautaka Urais kwa kutegemea favor za mtu fulani, he was supposed to fight for his own course na sio ushikaji sijui tumetoka mbali, it never worked that way .

JK hana baya na azidi kuishi maisha marefu

Mkafanye kazi sasa ; lowassa wa watu kaenda zake kwa amani apumzike.
Very beautiful philosophical reflection! I salute and concur with you Megalodon!
 
Kundi liliitwa boyz 2 men, sio wale waimbaji wa rnb wa marekani bali ni kundi la marafiki wawili wakubwa wa kisiasa nchini. Walienda vizuri tu katika siasa zao wakisaidiana kukamata madaraka yenye hadhi na utukufu wa nchi. Mbeleni mmoja wao akamsaliti na kumtosa mwenzake afilie mbali kisiasa. Sasa kwa mukhtadha huo unategemea watu waseme nini juu ya kadhia ya usaliti kwa mwenzake? Acha asemwe mpaka ajutie dhambi ya usaliti. Usaliti haujawahi kumpa mtu raha maishani
 
Tangu Lowassa afe, maneno yote mabaya yanaenda kwa JK , kwenye jamii yako iliyokuzunguka kama haikukubali au haikuoni unafaa kwenye jambo fulani kuna tatizo?

Who is lowassa by the way kwenye nchi hiyo kwamba ilitakiwa ni lazima aje kuwa Rais wa JMT?

Lowassa hakuonekana kama ana maadili ya kuwa Rais, Jamii iliyomzunguka ndio ilimuona HAIFAI tangu na baada.

Suala la kumuondoa Lowassa halikuwa ni maamuzi ya JK binafsi. yalikuwa ni maamuzi ya Inner Circle na JK hana uwezo wa kumuahidi mtu nafasi kubwa kama hiyo yenye maamuzi ya wengi ni ujinga kuona hata wasomi wanaimba wimbo wa usaliti;

Chadema pia ilimkataa lowassa first hand na wao ndio walisema CCM inaenda kumsimamisha FISADI, au tuweke ushahidi?

Mlitaka kamati ya CCM ipoteze reputation kumsimamisha lowassa? He is just a human na kufa kila mtu atakufa na kifo sio ishara ya huruma.

Kwamba JK alimsaliti lowassa kwani nafasi ya Urais ni ushikaji au ni nafasi ya familia ? Anatoa tu subjectively !?

Kuwa Rais ni competency na acceptance ya watu wako , Lowassa was destined to be the president that never was.

Kumlaumu JK kwa failure ya Edo ni sawa na kumlaumu Shetani kwenye mythical story ya Adam na Eva kwenye imaginary garden. If it was meant Adam na Hawa waishi kwenye garden , kwanini serpent the deceiver nae akawa sehemu ya garden?

The story is myth , it never happened but it happens always !

JK aachwe na hana kosa wala baya, na hakuwa anamtaka hata huyo JPM, that should tell kuwa hata angetaka lowassa apite, the inner cycle ilishasema NO !

Jk had to respect the agreed decision or else arudishe kadi ya CCM, simple like that .

JK this JK that , by the way kwani lowassa ni Nani? Si ni mtu kama watu wengine waliowahi kuutaka urais na kuukosa, anatofauti gani na hao ?

Yaani unautaka Urais kwa kutegemea favor za mtu fulani, he was supposed to fight for his own course na sio ushikaji sijui tumetoka mbali, it never worked that way .

JK hana baya na azidi kuishi maisha marefu

Mkafanye kazi sasa ; lowassa wa watu kaenda zake kwa amani apumzike.

Uko sahihi, japo Mimi na hao wanaccm na ccm yao ni Maji na mafuta.
 
Kundi liliitwa boyz 2 men, sio wale waimbaji wa rnb wa marekani bali ni kundi la marafiki wawili wakubwa wa kisiasa nchini. Walienda vizuri tu katika siasa zao wakisaidiana kukamata madaraka yenye hadhi na utukufu wa nchi. Mbeleni mmoja wao akamsaliti na kumtosa mwenzake afilie mbali kisiasa. Sasa kwa mukhtadha huo unategemea watu waseme nini juu ya kadhia ya usaliti kwa mwenzake? Acha asemwe mpaka ajutie dhambi ya usaliti. Usaliti haujawahi kumpa mtu raha maishani

Nyie ndio mliwaita sio wao kujiita

Leta data JK anajiita boys 2 men kwa Edo
Weka hapa

Mliwaita byie kwa fantasy zenu

Msilazimishe vitu havipo
 
Kundi liliitwa boyz 2 men, sio wale waimbaji wa rnb wa marekani bali ni kundi la marafiki wawili wakubwa wa kisiasa nchini. Walienda vizuri tu katika siasa zao wakisaidiana kukamata madaraka yenye hadhi na utukufu wa nchi. Mbeleni mmoja wao akamsaliti na kumtosa mwenzake afilie mbali kisiasa. Sasa kwa mukhtadha huo unategemea watu waseme nini juu ya kadhia ya usaliti kwa mwenzake? Acha asemwe mpaka ajutie dhambi ya usaliti. Usaliti haujawahi kumpa mtu raha maishani

Sio JK ama Lowassa, hao wote hawakustahili kuwa Marais wa nchi hii. Ni wahuni wawili waliofarakana kwa sababu ya maslahi ya kimadaraka.
 
Back
Top Bottom