Yimakatso
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 7,060
- 9,468
Wewe ukimuona JK hakufaa kuwa kiongozi bora wapo Watanzania mamilioni wanamuona ndiye Rais bora kuwahi kutokea nchi hii.Acha asemwe tu, hata akiamua kujinyonga ni sawa tu. Rais wa ovyo kuwahi kutokea nchini.