Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo dola moja ni sh 2400/$1Ndugu zangu,
Hayawi hayawi sasa yamekuwa, ushauri wa JF baada ya mahojiano ya BBC umepokelewa japo hatujatangaziwa rasmi.
Kama ilivyokuwa BBC Hard talk mpango wa Tundu Lissu pia harakati zilifanywa kuomba mahojiano na Richard Quest wa CNN na Shaka Ssali wa Voa, hadi sasa habari zisizo rasmi Tundu Lissu hataenda Marekani.
Baada ya kudadisi na kautafiti nimegundua sababu ni hizi mbili lakini hazijawekwa wazi;
1.) Mapokeo hasi ya mahojiano ya BBC dhidi ya Lissu kutoka kwa watanzania
2.) Akiendelea na ziara atashindwa kujitetea dhidi ya hoja ya Spika wa Bunge kuwa amepona. Hivyo wadau wamemshauri kuwa kuendelea kuzurura kunampunguzia sababu ya kujitetea. Hii inaitwa chezea mshahara usichezee kazi.
Nitazidi kuwajuza kuhusu yatakayojiri hususani suala la maombi ya ukimbizi wa kisiasa kwa ndugu yetu Ansbert Ngurumo.
Acha ujuaji Richard Quest ni Journalist na ameshajoji viongozi wengi wa kisiasa wakiwamo marais nk.Si mtangazaji (MC) ni mwanahabari (Journalist). ''Journalism is all round proffession"Mzee unafeli sana
Richard Quest ni mtangazaji wa biashara CNN!
Sasa Tundu Lissu yeye ni habari za kisiasa,wapi na wapi wewe mduwanzi!?
Atamuhoji amuweke kwenye kipindi gani?Kipindi cha RQ ni cha siasa?
Mbuzi wa maziwa!
Nimeipenda signature yako inatoa taswira halisi ya hofu yako, pole sana ngosha!Lisu Chaliii hahahaa
Alijua Ni Tanzania Daima
Aibu tupu
Shaka Ssali sawa lakini sio kwa Richard Quest, na kwa kuwa umekosea kiufundi kwa kumuingiza Richard Quest sasa ni dhahiri haujui lolote. Inaelekea mahojiano hayo ya BBC yamewaumiza kweli. Akitaka ataenda na asipotaka ataacha.Ndugu zangu,
Hayawi hayawi sasa yamekuwa, ushauri wa JF baada ya mahojiano ya BBC umepokelewa japo hatujatangaziwa rasmi.
Kama ilivyokuwa BBC Hard talk mpango wa Tundu Lissu pia harakati zilifanywa kuomba mahojiano na Richard Quest wa CNN na Shaka Ssali wa Voa, hadi sasa habari zisizo rasmi Tundu Lissu hataenda Marekani.
Baada ya kudadisi na kautafiti nimegundua sababu ni hizi mbili lakini hazijawekwa wazi;
1.) Mapokeo hasi ya mahojiano ya BBC dhidi ya Lissu kutoka kwa watanzania
2.) Akiendelea na ziara atashindwa kujitetea dhidi ya hoja ya Spika wa Bunge kuwa amepona. Hivyo wadau wamemshauri kuwa kuendelea kuzurura kunampunguzia sababu ya kujitetea. Hii inaitwa chezea mshahara usichezee kazi.
Nitazidi kuwajuza kuhusu yatakayojiri hususani suala la maombi ya ukimbizi wa kisiasa kwa ndugu yetu Ansbert Ngurumo.
Ndo mnavojidanganya...hayawi sasa yamekua ...mnatapatapa sana...kama hamtegemei mtandao humu mnatafta niniLissu kaona ni rahisi sana kutembelea vyombo vya habari kuliko kutembelea wananchi wa Jimbo lake na watanzania tuliomuombea apone.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kijana hujui kitu, Quest huwa anafanya mahojiano mara nyingi tu na wanasisa.Shaka Ssali sawa lakini sio kwa Richard Quest, na kwa kuwa umekosea kiufundi kwa kumuingiza Richard Quest sasa ni dhahiri haujui lolote. Inaelekea mahojiano hayo ya BBC yamewaumiza kweli. Akitaka ataenda na asipotaka ataacha.
Umeshindwa mtihani wewe. Mwenzio amekwambia Richard Quest ni mtangazaji wa biashara; a.k yake ni Quest means business".Acha ujuaji Richard Quest ni Journalist na ameshajoji viongozi wengi wa kisiasa wakiwamo marais nk.Si mtangazaji (MC) ni mwanahabari (Journalist). ''Journalism is all round proffession"
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaweka source ya hbr yako mkuu ... Hapa sio kijijin kwenu unaaminika kila unaloongea, tupia source tuhakikishe wenyewNdugu zangu,
Hayawi hayawi sasa yamekuwa, ushauri wa JF baada ya mahojiano ya BBC umepokelewa japo hatujatangaziwa rasmi.
Kama ilivyokuwa BBC Hard talk mpango wa Tundu Lissu pia harakati zilifanywa kuomba mahojiano na Richard Quest wa CNN na Shaka Ssali wa Voa, hadi sasa habari zisizo rasmi Tundu Lissu hataenda Marekani.
Baada ya kudadisi na kautafiti nimegundua sababu ni hizi mbili lakini hazijawekwa wazi;
1.) Mapokeo hasi ya mahojiano ya BBC dhidi ya Lissu kutoka kwa watanzania
2.) Akiendelea na ziara atashindwa kujitetea dhidi ya hoja ya Spika wa Bunge kuwa amepona. Hivyo wadau wamemshauri kuwa kuendelea kuzurura kunampunguzia sababu ya kujitetea. Hii inaitwa chezea mshahara usichezee kazi.
Nitazidi kuwajuza kuhusu yatakayojiri hususani suala la maombi ya ukimbizi wa kisiasa kwa ndugu yetu Ansbert Ngurumo.
5 Things Uhuru Told Richard Quest During Interview [VIDEO]Mzee unafeli sana
Richard Quest ni mtangazaji wa biashara CNN!
Sasa Tundu Lissu yeye ni habari za kisiasa,wapi na wapi wewe mduwanzi!?
Atamuhoji amuweke kwenye kipindi gani?Kipindi cha RQ ni cha siasa?
Mbuzi wa maziwa!
5 Things Uhuru Told Richard Quest During Interview [VIDEO]Umeshindwa mtihani wewe. Mwenzio amekwambia Richard Quest ni mtangazaji wa biashara; a.k yake ni Quest means business".
Ndugu zangu,
Hayawi hayawi sasa yamekuwa, ushauri wa JF baada ya mahojiano ya BBC umepokelewa japo hatujatangaziwa rasmi.
Kama ilivyokuwa BBC Hard talk mpango wa Tundu Lissu pia harakati zilifanywa kuomba mahojiano na Richard Quest wa CNN na Shaka Ssali wa Voa, hadi sasa habari zisizo rasmi Tundu Lissu hataenda Marekani.
Baada ya kudadisi na kautafiti nimegundua sababu ni hizi mbili lakini hazijawekwa wazi;
1.) Mapokeo hasi ya mahojiano ya BBC dhidi ya Lissu kutoka kwa watanzania
2.) Akiendelea na ziara atashindwa kujitetea dhidi ya hoja ya Spika wa Bunge kuwa amepona. Hivyo wadau wamemshauri kuwa kuendelea kuzurura kunampunguzia sababu ya kujitetea. Hii inaitwa chezea mshahara usichezee kazi.
Nitazidi kuwajuza kuhusu yatakayojiri hususani suala la maombi ya ukimbizi wa kisiasa kwa ndugu yetu Ansbert Ngurumo.
Kwa wanaopotosha kuwa Quest hafanyi mahojiano na wanasiasa, hapa yupo na Uhuru Kenyatta
5 Things Uhuru Told Richard Quest During Interview [VIDEO]
Ukimuombea Mtu usikae kusubr shukran, lissu inabd amshukur Mungu kwanz, na kama akifika tz i hop atawashkur watanzania .. unajuaje kama watu wa huko hawakumuombea ?? Na sis tunaamin vp kama ww ulimuombea??Lissu kaona ni rahisi sana kutembelea vyombo vya habari kuliko kutembelea wananchi wa Jimbo lake na watanzania tuliomuombea apone.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakudadavua, mimi ni mzee mwenzio, sio kijana kama unavyodhani, umekosea au niseme uzusha, kama hataenda atakuwa na sababu nyingine; ungesema alitaka akutane na Mrs. Christine Amanpour ningekuelewa. Acha uzushi, ni dhambi.Kijana hujui kitu, Quest huwa anafanya mahojiano mara nyingi tu na wanasisa.
hadi sasa habari zisizo rasmi Tundu Lissu hataenda Marekani.