Tetesi: Imevuja, Chadema na Tundu Lissu wachomoa kukutana na Richard Quest wa CNN

Tetesi: Imevuja, Chadema na Tundu Lissu wachomoa kukutana na Richard Quest wa CNN

Ndugu zangu,

Hayawi hayawi sasa yamekuwa, ushauri wa JF baada ya mahojiano ya BBC umepokelewa japo hatujatangaziwa rasmi.

Kama ilivyokuwa BBC Hard talk mpango wa Tundu Lissu pia harakati zilifanywa kuomba mahojiano na Richard Quest wa CNN na Shaka Ssali wa Voa, hadi sasa habari zisizo rasmi Tundu Lissu hataenda Marekani.

Baada ya kudadisi na kautafiti nimegundua sababu ni hizi mbili lakini hazijawekwa wazi;
1.) Mapokeo hasi ya mahojiano ya BBC dhidi ya Lissu kutoka kwa watanzania
2.) Akiendelea na ziara atashindwa kujitetea dhidi ya hoja ya Spika wa Bunge kuwa amepona. Hivyo wadau wamemshauri kuwa kuendelea kuzurura kunampunguzia sababu ya kujitetea. Hii inaitwa chezea mshahara usichezee kazi.

Nitazidi kuwajuza kuhusu yatakayojiri hususani suala la maombi ya ukimbizi wa kisiasa kwa ndugu yetu Ansbert Ngurumo.

Kwa wanaopotosha kuwa Quest hafanyi mahojiano na wanasiasa, hapa yupo na Uhuru Kenyatta
5 Things Uhuru Told Richard Quest During Interview [VIDEO]
DUMB, CNN anaye handle political affairs ni Christine Amanpur ,
Richard Quest anashughulikia Economic Fairs (trade and commerce)

poor you
 
Ndugu zangu,

Hayawi hayawi sasa yamekuwa, ushauri wa JF baada ya mahojiano ya BBC umepokelewa japo hatujatangaziwa rasmi.

Kama ilivyokuwa BBC Hard talk mpango wa Tundu Lissu pia harakati zilifanywa kuomba mahojiano na Richard Quest wa CNN na Shaka Ssali wa Voa, hadi sasa habari zisizo rasmi Tundu Lissu hataenda Marekani.

Baada ya kudadisi na kautafiti nimegundua sababu ni hizi mbili lakini hazijawekwa wazi;
1.) Mapokeo hasi ya mahojiano ya BBC dhidi ya Lissu kutoka kwa watanzania
2.) Akiendelea na ziara atashindwa kujitetea dhidi ya hoja ya Spika wa Bunge kuwa amepona. Hivyo wadau wamemshauri kuwa kuendelea kuzurura kunampunguzia sababu ya kujitetea. Hii inaitwa chezea mshahara usichezee kazi.

Nitazidi kuwajuza kuhusu yatakayojiri hususani suala la maombi ya ukimbizi wa kisiasa kwa ndugu yetu Ansbert Ngurumo.

Kwa wanaopotosha kuwa Quest hafanyi mahojiano na wanasiasa, hapa yupo na Uhuru Kenyatta
5 Things Uhuru Told Richard Quest During Interview [VIDEO]
Haya hongera naona ushaingiza buku saba yako hapo lumumba..
 
Ndugu watanzania wenzangu msisikilize porojo zozote kutoka kwa mtu mwenye haraka ya kunyonyesha mtoto mchanga , Ratiba ya ziara ya Mh Lissu imewekwa humu na Erythrocyte .
kamanda imevuja, haendi tena, ni bora angeutumia huu muda kufanya ''mock interview'' kama ilivyopendekezwa na wadau humu.
 
TL hawazii mshahara wa ubunge asilani maana kwa hakika ingekuwa hivyo angeilambalamba serikali au bunge dhaifu hela matibabu.gharama za matibabu zilizotumika ni zaidi ya mishahara ya mbunge kwa vipindi sita.

Ndugu zangu,

Hayawi hayawi sasa yamekuwa, ushauri wa JF baada ya mahojiano ya BBC umepokelewa japo hatujatangaziwa rasmi.

Kama ilivyokuwa BBC Hard talk mpango wa Tundu Lissu pia harakati zilifanywa kuomba mahojiano na Richard Quest wa CNN na Shaka Ssali wa Voa, hadi sasa habari zisizo rasmi Tundu Lissu hataenda Marekani.

Baada ya kudadisi na kautafiti nimegundua sababu ni hizi mbili lakini hazijawekwa wazi;
1.) Mapokeo hasi ya mahojiano ya BBC dhidi ya Lissu kutoka kwa watanzania
2.) Akiendelea na ziara atashindwa kujitetea dhidi ya hoja ya Spika wa Bunge kuwa amepona. Hivyo wadau wamemshauri kuwa kuendelea kuzurura kunampunguzia sababu ya kujitetea. Hii inaitwa chezea mshahara usichezee kazi.

Nitazidi kuwajuza kuhusu yatakayojiri hususani suala la maombi ya ukimbizi wa kisiasa kwa ndugu yetu Ansbert Ngurumo.

Kwa wanaopotosha kuwa Quest hafanyi mahojiano na wanasiasa, hapa yupo na Uhuru Kenyatta
5 Things Uhuru Told Richard Quest During Interview [VIDEO]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanaume yeyote aliumbwa kuwa na adui. Sasa mwanaume akikosa adui nje ya NYUMBA yake, kuna uwezekano mkubwa akajenga uadui na mke wake au WATOTO wake na chanzo kikawa nani ale NYAMA kubwa.
 
Ndugu zangu,

Hayawi hayawi sasa yamekuwa, ushauri wa JF baada ya mahojiano ya BBC umepokelewa japo hatujatangaziwa rasmi.

Kama ilivyokuwa BBC Hard talk mpango wa Tundu Lissu pia harakati zilifanywa kuomba mahojiano na Richard Quest wa CNN na Shaka Ssali wa Voa, hadi sasa habari zisizo rasmi Tundu Lissu hataenda Marekani.

Baada ya kudadisi na kautafiti nimegundua sababu ni hizi mbili lakini hazijawekwa wazi;
1.) Mapokeo hasi ya mahojiano ya BBC dhidi ya Lissu kutoka kwa watanzania
2.) Akiendelea na ziara atashindwa kujitetea dhidi ya hoja ya Spika wa Bunge kuwa amepona. Hivyo wadau wamemshauri kuwa kuendelea kuzurura kunampunguzia sababu ya kujitetea. Hii inaitwa chezea mshahara usichezee kazi.

Nitazidi kuwajuza kuhusu yatakayojiri hususani suala la maombi ya ukimbizi wa kisiasa kwa ndugu yetu Ansbert Ngurumo.

Kwa wanaopotosha kuwa Quest hafanyi mahojiano na wanasiasa, hapa yupo na Uhuru Kenyatta
5 Things Uhuru Told Richard Quest During Interview [VIDEO]
Watanzania tumekuwa wajinga mno mpaka hatuwezi kutumia hata akili ya kawaida tu. Mgonjwa yeyote anakuwa amepona Dr wake akitamka hivyo siyo Ndugai wala Makonda. Safari za Lissu inaweza kuwa ni sehemu ya recuperation iliyoruhusiwa na Dr wake na kukubalika na anayegharamia. Kama serkali na bunge wangekuwa rafiki, angeweza kurudi na kwenda tena Belgium kliniki wakati wowote kama alivyopangiwa na Dr wake.
 
Mzee unafeli sana

Richard Quest ni mtangazaji wa biashara CNN!

Sasa Tundu Lissu yeye ni habari za kisiasa,wapi na wapi wewe mduwanzi!?

Atamuhoji amuweke kwenye kipindi gani?Kipindi cha RQ ni cha siasa?

Mbuzi wa maziwa!
Haha ha Wakudadavuwa aka NW michosho unalo hilo!
Yaani pamoja na kupewa cheo bado ni mbulula kiasi hicho hata hujui RQ pale CNN anahusika na department gani?
Kila siku nakukumbushs kuwa mambo mengine yamezidi uwezo wako, endelea kuwafungia kina Ambaluti bwana! Huko unafit kabisa
 
Ndugu zangu,

Hayawi hayawi sasa yamekuwa, ushauri wa JF baada ya mahojiano ya BBC umepokelewa japo hatujatangaziwa rasmi.

Kama ilivyokuwa BBC Hard talk mpango wa Tundu Lissu pia harakati zilifanywa kuomba mahojiano na Richard Quest wa CNN na Shaka Ssali wa Voa, hadi sasa habari zisizo rasmi Tundu Lissu hataenda Marekani.

Baada ya kudadisi na kautafiti nimegundua sababu ni hizi mbili lakini hazijawekwa wazi;
1.) Mapokeo hasi ya mahojiano ya BBC dhidi ya Lissu kutoka kwa watanzania
2.) Akiendelea na ziara atashindwa kujitetea dhidi ya hoja ya Spika wa Bunge kuwa amepona. Hivyo wadau wamemshauri kuwa kuendelea kuzurura kunampunguzia sababu ya kujitetea. Hii inaitwa chezea mshahara usichezee kazi.

Nitazidi kuwajuza kuhusu yatakayojiri hususani suala la maombi ya ukimbizi wa kisiasa kwa ndugu yetu Ansbert Ngurumo.

Kwa wanaopotosha kuwa Quest hafanyi mahojiano na wanasiasa, hapa yupo na Uhuru Kenyatta
5 Things Uhuru Told Richard Quest During Interview [VIDEO]


Labda unggesema Christiane Amanpour? quest na Lissu wapi na wapi?
 
Ndugu zangu,

Hayawi hayawi sasa yamekuwa, ushauri wa JF baada ya mahojiano ya BBC umepokelewa japo hatujatangaziwa rasmi.

Kama ilivyokuwa BBC Hard talk mpango wa Tundu Lissu pia harakati zilifanywa kuomba mahojiano na Richard Quest wa CNN na Shaka Ssali wa Voa, hadi sasa habari zisizo rasmi Tundu Lissu hataenda Marekani.

Baada ya kudadisi na kautafiti nimegundua sababu ni hizi mbili lakini hazijawekwa wazi;
1.) Mapokeo hasi ya mahojiano ya BBC dhidi ya Lissu kutoka kwa watanzania
2.) Akiendelea na ziara atashindwa kujitetea dhidi ya hoja ya Spika wa Bunge kuwa amepona. Hivyo wadau wamemshauri kuwa kuendelea kuzurura kunampunguzia sababu ya kujitetea. Hii inaitwa chezea mshahara usichezee kazi.

Nitazidi kuwajuza kuhusu yatakayojiri hususani suala la maombi ya ukimbizi wa kisiasa kwa ndugu yetu Ansbert Ngurumo.

Kwa wanaopotosha kuwa Quest hafanyi mahojiano na wanasiasa, hapa yupo na Uhuru Kenyatta
5 Things Uhuru Told Richard Quest During Interview [VIDEO]
Pole zake ila Lisu is fit upstairs maana kwenye kujenga hoja kaonyesha kwenye hard talk
 
Acha ujuaji Richard Quest ni Journalist na ameshajoji viongozi wengi wa kisiasa wakiwamo marais nk.Si mtangazaji (MC) ni mwanahabari (Journalist). ''Journalism is all round proffession"

Sent using Jamii Forums mobile app

Wewe ni mbuzi!

Kahoji viongozi wa kidunia yes,kawahoji nini?Biashara tupu!

Eti all around profession,guess what,noooooo!

Kuna specialization,na RQ ka-specialize kwenye BN!

Acha umama wewe kirusi wa CCM!

CCM inawafanya mnapoteza akili kabisa!

What a waste!
 
Wewe ni mbuzi!

Kahoji viongozi wa kidunia yes,kawahoji nini?Biashara tupu!

Eti all around profession,guess what,noooooo!

Kuna specialization,na RQ ka-specialize kwenye BN!

Acha umama wewe kirusi wa CCM!

CCM inawafanya mnapoteza akili kabisa!

What a waste!
Ha ha matusi yanaonesha ulsivyo na hoja, kwa hiyo hajui lingine zaidi ya siasa? au swali alilomuuliza Kenyatta kuwa utagombea mara ya tatu ni swali la kibiashara?nimyi mmewekwa mitandaoni kutukana watu na sio kujenga hoja.
 
Nacheka kama mazuri kweli poleni sana Lumumba ha ha ha ha kweli mtaweweseka haswa... huu ni mwendokasi kweli kweli hii ziara msizani ni ya kushtukiza kma zile feki za bandarini..
 
Back
Top Bottom